Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,937
Vijana katika ubora wenu
Mungu akusaidie, najua hujui ulitendalo wala uliongealo. kuna mtu mmoja alikuwa anamwona na kumwambia mkewe kuwa ana sura mbaya, hataki hata kutoka naye, mke alipata shida sana. kuna siku yule handsom alipata ajali, uso anaoringia uliharibika na ulemavu juu. akawa na sura mbaya kuliko ya mkewe, na kujikuta amebaki mzigo kwa mkewe tena kwasababu zaidi ya kuharibika huo uso anaoringia alilemaa. hapo ndio mwanaume alikuwa mdogo kama piliton manake mkewe naye aliona kama haendani na mwanaume kabisa hata kutoka naye ni fedheha. mwombe Mungu akusamehe na akusaidie akili yako ikue, kwasababu haujui kesho yako.Mimi naishi na mwanamke ambaye ana sura mbaya yaani unaona hata aibu kutoka nae out, watu wengi hasa wanawake wananisema mimi ni handsome sistahili kuwa na mke huyo, ila anaihudumia vizuri ananipa peace of mind japo ana kauvivu kidogo yaani anapenda kulala lala, hata kupunguza nyasi nyumbani hadi akodi kibarua. Hajui kubuni miradi, ila ni mvumilivu hanisumbui kwenye pesa. Ananilinda sana, yaani kama kuna watu nawadai anakomaa nao kisawasawa. Sifa hizo zimenifanya niishi nae hadi leo.
Ila sasa ana wivu balaa, yaani asione simu imepigwa kwangu au miss calls lazima ajue ni nani, na kama ni mwanamke lazima akomae nae kwa nn kanipigia.
Nikijaribu kutongoza michepuko huwa inanikatalia eti wanamuogopa mke wangu. Nimeweka password kwenye simu yangu naye kaweka, nashindwa kumchunguza kama kuna watu wanampiga mashine. Zamani alikuwa na marafiki wengi wa kiume kuliko wanawake yaani ni very social to mens than womens. Nashindwa kumsoma kabisa. Ila toka nimuoe mwaka 2003 hajawahi kunizingua katika suala la unyumba, yaani hata nikitaka 0713 anaweza nipa bila kulalama. Watoto anaonizalia, wanafanan naye. Nataka watoto wazuri kama mimi, baada ya kuzaa nae watoto wawili, sasa ana mimba tena ya mtoto wa tatu, namsikilizia.
Wewe hujawahi kutoa tigo mkuu??"hata nikimuomba 0713 ananipa bila kulalama" hapo tyuuuu nimenukuu
nimeishiwa na nguvu
F***la uyo analeta story za ajabWe ni Kichaa nini? Kwani huyo mkeo ulimuoa kwenye giza? Au ulimpenda ukiwa umelewa hujitambui!
Wa mkoani uyo we huoni anaandika "mens and womens" wakat ukizaliwa dsm ni form sixUnaishi daslam sehemu gani?!
Wa mkoani uyo we huoni anaandika "mens and womens" wakat ukizaliwa dsm ni form sixUnaishi daslam sehemu gani?!