Mke wangu ana sura mbaya

Mke wangu ana sura mbaya

Nahis anaruhusu afumuliwe marinda kwa sababu hajiamini kutokana na sura yake ilivyo labda....so anahisi akimnyima ataachika....na akiachika anahisi itakua ngum kupata mtu...so ni kama zali kapata mwanaume mwenye sura nzuri...nnavyoona...
kumbe mwanamke ukiwa mbaya mtaji wako ni kufumuliwa marinda eeh?
 
Mungu huwa hampi mtu mmoja kila kitu kizuri kwa ajili ya kuondoa kiburi na majivuno, kama mkeo ana papuchi tamu basi ni haki yake kuwa na sura mbaya, Angepewa na papuchi mbaya hapo Mungu asingekuwa na uwiano. Sura nzuri papuchi mbaya, sura mbaya papuchi nzuri, kazi kwako mlaji.
 
ulicheza bahati nasibu ukampata au ulimtongoza mwenyewe
 
Mimi naishi na mwanamke ambaye ana sura mbaya yaani unaona hata aibu kutoka nae out, watu wengi hasa wanawake wananisema mimi ni handsome sistahili kuwa na mke huyo, ila anaihudumia vizuri ananipa peace of mind japo ana kauvivu kidogo yaani anapenda kulala lala, hata kupunguza nyasi nyumbani hadi akodi kibarua. Hajui kubuni miradi, ila ni mvumilivu hanisumbui kwenye pesa. Ananilinda sana, yaani kama kuna watu nawadai anakomaa nao kisawasawa. Sifa hizo zimenifanya niishi nae hadi leo.
Ila sasa ana wivu balaa, yaani asione simu imepigwa kwangu au miss calls lazima ajue ni nani, na kama ni mwanamke lazima akomae nae kwa nn kanipigia.
Nikijaribu kutongoza michepuko huwa inanikatalia eti wanamuogopa mke wangu. Nimeweka password kwenye simu yangu naye kaweka, nashindwa kumchunguza kama kuna watu wanampiga mashine. Zamani alikuwa na marafiki wengi wa kiume kuliko wanawake yaani ni very social to mens than womens. Nashindwa kumsoma kabisa. Ila toka nimuoe mwaka 2003 hajawahi kunizingua katika suala la unyumba, yaani hata nikitaka 0713 anaweza nipa bila kulalama. Watoto anaonizalia, wanafanan naye. Nataka watoto wazuri kama mimi, baada ya kuzaa nae watoto wawili, sasa ana mimba tena ya mtoto wa tatu, namsikilizia.
Mlete KWANGU nahitaji mke ila hakuna mahari, ni mzuri tu KWANGU ili mradi chombo anacho.
 
Inaonekana kilichokupeleka uko ni pesa si mapenzi yaan kiufup we n marioo ivumilie tu iyo sura
 
Mimi naishi na mwanamke ambaye ana sura mbaya yaani unaona hata aibu kutoka nae out, watu wengi hasa wanawake wananisema mimi ni handsome sistahili kuwa na mke huyo, ila anaihudumia vizuri ananipa peace of mind japo ana kauvivu kidogo yaani anapenda kulala lala, hata kupunguza nyasi nyumbani hadi akodi kibarua. Hajui kubuni miradi, ila ni mvumilivu hanisumbui kwenye pesa. Ananilinda sana, yaani kama kuna watu nawadai anakomaa nao kisawasawa. Sifa hizo zimenifanya niishi nae hadi leo.
Ila sasa ana wivu balaa, yaani asione simu imepigwa kwangu au miss calls lazima ajue ni nani, na kama ni mwanamke lazima akomae nae kwa nn kanipigia.
Nikijaribu kutongoza michepuko huwa inanikatalia eti wanamuogopa mke wangu. Nimeweka password kwenye simu yangu naye kaweka, nashindwa kumchunguza kama kuna watu wanampiga mashine. Zamani alikuwa na marafiki wengi wa kiume kuliko wanawake yaani ni very social to mens than womens. Nashindwa kumsoma kabisa. Ila toka nimuoe mwaka 2003 hajawahi kunizingua katika suala la unyumba, yaani hata nikitaka 0713 anaweza nipa bila kulalama. Watoto anaonizalia, wanafanan naye. Nataka watoto wazuri kama mimi, baada ya kuzaa nae watoto wawili, sasa ana mimba tena ya mtoto wa tatu, namsikilizia.
sijui kwa nini mirembe wanaruhusu kuingia na simu!
 
Msalaba wako huo mzee... Ufe nao kama viapo vya ndoa vinavyosema..
 
Back
Top Bottom