Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,864
hujui kusoma kasema chura yupo na analiwa vilevileAnachuraaa[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
hujui kusoma kasema chura yupo na analiwa vilevileAnachuraaa[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
kumbe mwanamke ukiwa mbaya mtaji wako ni kufumuliwa marinda eeh?Nahis anaruhusu afumuliwe marinda kwa sababu hajiamini kutokana na sura yake ilivyo labda....so anahisi akimnyima ataachika....na akiachika anahisi itakua ngum kupata mtu...so ni kama zali kapata mwanaume mwenye sura nzuri...nnavyoona...
Ananipa, yaani ukijifanya umekosea tu, anakusaidia kuipelekaUkitaka 0713 anakupa ? Fafanua kidogo cijakuelewa .
Mfukuzie kwangu aiseehujui kusoma kasema chura yupo na analiwa vilevile
We ni Kichaa nini? Kwani huyo mkeo ulimuoa kwenye giza? Au ulimpenda ukiwa umelewa hujitambui! Acha Ujinga ww.
MENS THAN WOMENS
kweli hii lugha ilipanda meli
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mlete KWANGU nahitaji mke ila hakuna mahari, ni mzuri tu KWANGU ili mradi chombo anacho.Mimi naishi na mwanamke ambaye ana sura mbaya yaani unaona hata aibu kutoka nae out, watu wengi hasa wanawake wananisema mimi ni handsome sistahili kuwa na mke huyo, ila anaihudumia vizuri ananipa peace of mind japo ana kauvivu kidogo yaani anapenda kulala lala, hata kupunguza nyasi nyumbani hadi akodi kibarua. Hajui kubuni miradi, ila ni mvumilivu hanisumbui kwenye pesa. Ananilinda sana, yaani kama kuna watu nawadai anakomaa nao kisawasawa. Sifa hizo zimenifanya niishi nae hadi leo.
Ila sasa ana wivu balaa, yaani asione simu imepigwa kwangu au miss calls lazima ajue ni nani, na kama ni mwanamke lazima akomae nae kwa nn kanipigia.
Nikijaribu kutongoza michepuko huwa inanikatalia eti wanamuogopa mke wangu. Nimeweka password kwenye simu yangu naye kaweka, nashindwa kumchunguza kama kuna watu wanampiga mashine. Zamani alikuwa na marafiki wengi wa kiume kuliko wanawake yaani ni very social to mens than womens. Nashindwa kumsoma kabisa. Ila toka nimuoe mwaka 2003 hajawahi kunizingua katika suala la unyumba, yaani hata nikitaka 0713 anaweza nipa bila kulalama. Watoto anaonizalia, wanafanan naye. Nataka watoto wazuri kama mimi, baada ya kuzaa nae watoto wawili, sasa ana mimba tena ya mtoto wa tatu, namsikilizia.
English medium.Nimekuelewa sana mkuu.
Ila hapa umeniacha kidogo fafanua.
"Mens than womens"
sijui kwa nini mirembe wanaruhusu kuingia na simu!Mimi naishi na mwanamke ambaye ana sura mbaya yaani unaona hata aibu kutoka nae out, watu wengi hasa wanawake wananisema mimi ni handsome sistahili kuwa na mke huyo, ila anaihudumia vizuri ananipa peace of mind japo ana kauvivu kidogo yaani anapenda kulala lala, hata kupunguza nyasi nyumbani hadi akodi kibarua. Hajui kubuni miradi, ila ni mvumilivu hanisumbui kwenye pesa. Ananilinda sana, yaani kama kuna watu nawadai anakomaa nao kisawasawa. Sifa hizo zimenifanya niishi nae hadi leo.
Ila sasa ana wivu balaa, yaani asione simu imepigwa kwangu au miss calls lazima ajue ni nani, na kama ni mwanamke lazima akomae nae kwa nn kanipigia.
Nikijaribu kutongoza michepuko huwa inanikatalia eti wanamuogopa mke wangu. Nimeweka password kwenye simu yangu naye kaweka, nashindwa kumchunguza kama kuna watu wanampiga mashine. Zamani alikuwa na marafiki wengi wa kiume kuliko wanawake yaani ni very social to mens than womens. Nashindwa kumsoma kabisa. Ila toka nimuoe mwaka 2003 hajawahi kunizingua katika suala la unyumba, yaani hata nikitaka 0713 anaweza nipa bila kulalama. Watoto anaonizalia, wanafanan naye. Nataka watoto wazuri kama mimi, baada ya kuzaa nae watoto wawili, sasa ana mimba tena ya mtoto wa tatu, namsikilizia.
Hehehehehhe dahWe ni Kichaa nini? Kwani huyo mkeo ulimuoa kwenye giza? Au ulimpenda ukiwa umelewa hujitambui! Acha Ujinga ww.