Kwa taarifa yenu watu wasio jua kusoma na kuandika, dar es Salaam ni wengi balaa, ukitaka kubaini mambo haya tembelea, institute of adult education, in dar Es Salaam, utapata, reports, nyingi zinazo, zungumzia maendeleo ya elimu ya watu wazima kila mkoa Tanzaniaukweli ni kwamba, drm wasio jua kusoma na kuandika, na ni wengi sema wanao ujanja wa mdomoni, sasa ungejua, usinge jisifia, kuwa dar Es Salaam wote ni form six sema, hujaelewa kuwa mtu kuitwa form six ina maana nyingi ya kwanza ni "mwanafunzi anaye soma high school", pili "mtu mjuaji" tatu "mwizi" nne , "mlaghai", tano "mhuni". Sasa tafadhali usijivunie kuwa na sifa chafu et kisa ww unaishi dar chonde chonde usilitumie tena jina la form six lita kuaibisha mkuu.