Mke wangu ana sura mbaya

Mke wangu ana sura mbaya

We ni Kichaa nini? Kwani huyo mkeo ulimuoa kwenye giza? Au ulimpenda ukiwa umelewa hujitambui! Acha Ujinga ww.
Alimuoa wakati yupo amnesia, kumbukumbu zimemuijia two hours ago ndiyo maana kaamua kuandika huu uzi!
 
Nimekuelewa sana mkuu.

Ila hapa umeniacha kidogo fafanua.

"Mens than womens"
Bora ungeandika tuu kiswahili maana wingi wa man ni men na woman ni women.unasema ukitaka 0713 atakupa au huwa anakupa.kama anakupa hadi hiyo,baas mshukuru Mungu na uipige kweli kweli,hiv ndugu unakaa Tabata?
 
aisee kuna vichaa na mafyatu wewe ni fyatu siyo kichaa......hatari sana....
 
Aisee nimecheka sana. mtoto wa tatu sasa unamskilizia. Lazima afanane na mamaaaakeeee
 
Umempenda mwenyewe tafadhali sana usimuumbue
 
Umechanganya changanya sana.
Ungeanza na habari ya sura yake mbaya ili tukupe ushauri
Then uje na habari ya 0717..tukushauri
Sasa we ueandiiika tu,hata kutoa ushauri naona uvivu
 
Naona umeongea ya moyoni kabsa ila wakt unamuoa hukumuona kama ni mbaya mpaka uje umuone sasaiv
 
Back
Top Bottom