Mke wangu ana majibu ya rejareja

Mke wangu ana majibu ya rejareja

Maswali gani hayo sasa, maswali ya reja reja hujibiwa kireja reja hivyo hivyo.
Kama hupendi majibu basi badili maswali.
 
Pitia hizi threads, utajua tatizo ni kubwa zaidi ya hapa:-




Duh, mtoa mada pole sana kwa unayopitia
 
Wewe Muulize maswali ya jumla jumla
 
Ongeza idadi ya kumnyandua na hakikisha unamnyandua kisawasawa, ukifanya hivyo lazima heshima irudi
 
Mfano: Niliwahi kumuuliza mmekula tambi na nini akanijibu "tumekula na mdomo"

Utakuwa uliacha hela ya maharage badala ya nyama siku ya kupikwa tambi [emoji16]
 
Yani ni majibu ambayo sio ya kiuungwana.

Mfano: Niliwahi kumuuliza mmekula tambi na nini akanijibu "tumekula na mdomo" tukiwa mbali ukiongea video call anaweka mguu, ukimuuliza huo mguu wa nini anasema " wakutembelea"

Ni mengi ya aina hiyo, dawa yake ninini?
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
 
Nimecheka sana.

Ila inaonekana una maswali yenye majibu ndio maana anakujibu hivyo au mkeo ni mtu wa utani sana kama Mimi, so huwa anakujibu kwa kutania.

Punguza maswali yenye majibu.
 
Yani ni majibu ambayo sio ya kiuungwana.

Mfano: Niliwahi kumuuliza mmekula tambi na nini akanijibu "tumekula na mdomo" tukiwa mbali ukiongea video call anaweka mguu, ukimuuliza huo mguu wa nini anasema " wakutembelea"

Ni mengi ya aina hiyo, dawa yake ninini?
Hana nizamu ni mcharuko na kama umemkanya hasikii, Achana naye atakusumbua sana na atakugharimu maendeleo ya maisha yako, na kujuta baadae.
 
Back
Top Bottom