Swali lake ni kama vile aliacha nyumbani hakuna chakula sasa anataka kufahamu Kama mke wake alifanikiwa kupata chakulaAnaboa
Maswali mengine yanakera
Hizi mbona ni kejeli? Uliambiwa na nani bodaboda haba familia. Jitahidi kuheshimu kazi ya mwenzio.kwa uandishi huu, ndoa yako si ya kanisani, msikitini, wala bomani. ukiishakuwa dereva wa bodaboda haina maana unaweza kuoa na kutunza mtoto wa watu.
🤣🤣🤣🤣🤣Siku yake na ww akikuuliza uko wapi mjibu "nipo kwa mpalange"
Kwanini wadada wengi mnamteteaa uyo dada? Ni haki amjibu mumewe hivyo?Huyo wifi nimempenda bure😀😀 akunyooshe na mijibu hiyo.
Sasa ubaya wa hayo majibu uko wapi hapo "unakula tambi na nini? Si mdomo jamani😀Kwanini wadada wengi mnamteteaa uyo dada? Ni haki amjibu mumewe hivyo?
alitakiwa amwambie mume wake kama wamekula labda na chai au kama ni nyama, pia alipimuuliza mguu wa nini inamana jamaa labda alitaka kuona sura,Sasa ubaya wa hayo majibu uko wapi hapo "unakula tambi na nini? Si mdomo jamani😀
Haya mapenzi ya kuoana kisa kashika mimba. Huwa yanatibua sana.Watu wengi wanaishi na wenza ambao hawana akili timamu .
Aisee ..Haya mapenzi ya kuoana kisa kashika mimba. Huwa yanatibua sana.
Ndo maana wadau wanafanya anashika mimba anazaa tunalea miaka miwili hadi mitano ndo tunafunga ndoa yaani hapo kati mme fall in and out and in love tena.Haya mapenzi ya kuoana kisa kashika mimba. Huwa yanatibua sana.
Niamini mm mkuu. Kuna mtu unatoka naye tu, no promises. Ila akishika mimba unalazimika kuoa (au kwa madem analizimika kuolewa nae)Aisee ..