Mke wangu ana majibu ya rejareja

Mke wangu ana majibu ya rejareja

Umeongea bila kupepesa macho. Wanawake wengi wenye akili hawaoleweki na wale wajinga wajinga ndio uolewa kwa sababu ambazo labda kuwa na matako makubwa au uzuri, lakini akili kisoda
Mi kikubwa asiwe anaongea sana kama chiriku
 
Yani ni majibu ambayo sio ya kiuungwana.

Mfano: Niliwahi kumuuliza mmekula tambi na nini akanijibu "tumekula na mdomo" tukiwa mbali ukiongea video call anaweka mguu, ukimuuliza huo mguu wa nini anasema " wakutembelea"

Ni mengi ya aina hiyo, dawa yake ninini?
kwa kweli hayo majibu kama ni mimi ningeishia kucheka tu
 
Una audio file lolote tuwasililize unavyouliza na kupewa majibu na shemeji
 
Mimi ndio maana nikiwa na shemeji yenu home muda wote huwa naweka kiganja kwa style ya kwenzi
Yani ni majibu ambayo sio ya kiuungwana.

Mfano: Niliwahi kumuuliza mmekula tambi na nini akanijibu "tumekula na mdomo" tukiwa mbali ukiongea video call anaweka mguu, ukimuuliza huo mguu wa nini anasema " wakutembelea"

Ni mengi ya aina hiyo, dawa yake ninini?
 
Hizi mbona ni kejeli? Uliambiwa na nani bodaboda haba familia. Jitahidi kuheshimu kazi ya mwenzio.
acha kujitoa fahamu,

kati ya kundi la watu walio kwenye secktor isiyo rasmi, waendesha bodaboda ndio kundi la hovyo na ajali za barabarani zinazibithisha hivyo. hawana fahamu, hawana maarifa, hawana ujuzi , hawana elimu.(sasa mtu wa hivi anawezaje kutunza familia??)
kazi hii kwa wenye umri mkubwa, na wenye kujitambua ni kazi ya maana sana tu. na hawana heshimika.(huyu anasifa ya kutunza familia)
swali lingine?
 
Asee, na wewe mpigie video call weka mpandu, akiuuliza hiyo nini mwambie mlango wa kuzimu
 
Nawashukuru wote kwa msaada wenu, naamini ipo siku ata niheshimu, najitahidi kila siku kua baba bora ila bado,
 
Moto ni hisia, kama haziko much connected bado haisaidii, ni kama engine inayozunguuka ikiwa haiko connected na Diff, gari haisogei

Hizo busara zenu ndo zinawaponza ma Nice boys, kwahiyo unasubiri hisia zirudi akuheshimu?
 
Yani ni majibu ambayo sio ya kiuungwana.

Mfano: Niliwahi kumuuliza mmekula tambi na nini akanijibu "tumekula na mdomo" tukiwa mbali ukiongea video call anaweka mguu, ukimuuliza huo mguu wa nini anasema " wakutembelea"

Ni mengi ya aina hiyo, dawa yake ninini?
Majibu mazuri sana kwa mwanaume kauzu na chekipo

Hapo mkeo unaomsumbua ni wivu na kutotosheka (kisirani)

Hivyo hupaswi kumuuliza maswali ya moja kwa moja(open ended questions) anachokifanya anajua unajua maana yake ni saw na mke anakuonyesha paja hafu umuulize la nn hilo paja kunionuesha wakati anajua unajua anataka muhogo tegea jibu bovu na mfyonzo.

Umeona paja piga phrase kwanza ya kiukauzu " yeah I can see my chocolate already exposed naipendaje mtoto ww aaaah kama naipapasa vile " piga pozi kwanza uone atakavyochoka kwanza

Harafu jibu lake atakalokupa itakuwa maana ya hicho alichofanya


Mwanaume kauzu phrase zake ni za mchubuo achia
 
Mkeo anakupa majibu sahihi.

Mmekula tambi kwa nini? Kwa mdomo.

Huo mguu wa nini? Wa kutembelea.


Ingekuwa ni darasani angeongoza 😊
 
Back
Top Bottom