Ayos
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 1,221
- 2,975
Nimeshawai shuhudia hili... Inaleta shida sana...Niamini mm mkuu. Kuna mtu unatoka naye tu, no promises. Ila akishika mimba unalazimika kuoa (au kwa madem analizimika kuolewa nae)
Huko mbeleni ni kisanga.