Mke wa mtu kushinda whatsapp online

Mke wa mtu kushinda whatsapp online

Whatapp haijakaa njema , yaani mtu akikutumia ujumbe na ukaamua kuuchuna inabidi usiingie tena humo la sivyo mwenzio ataona jamaa yupo online na hataki ku reply ujumbe wangu , ni nani wa muhimu sana ambaye ana chat nae hadi anashindwa kujibu ujumbe wangu ?
Hayo ndo maswali ambayo jamaa atakuwa anajiuliza ?
 
wivu wa kijinga
kua online sio lazima kuchati
watu wengi hawapendi kusign off na onn
kama ni uhuni anaweza kutumia simu kawaida kuwasiliana na mtu kama anae
aache wivu wa kitoto
Mkuu Lokissa , tusimu hukumu jamaa kirahisi namna hii , kama kweli mke wake ana chat na hakuna la ziada , sidhani kama hatashindwa kumuelezea mumewe kama ni suala la kupenda ku chat na ana chat na kina nani ?

Ni f.al.a sana huyo mume! Kuwa online inamaana gani mbaya kwani?

Mfano anaweka bundle yake ya tigo ya siku anajua jioni awe amaitumia au hajatumia itakatwa kuna shida gani akiwa online muda wote? besides huwezi kujiweka offline watsapp pekee unless mimi ndo mshamba.

Ambia huyo mume kama hakuwa tayari kuoa amuache mdada wa watu..pambaff sana huyu mume..au ni ushamba wa kijijini kwake!!!!:tape2:
Kuwa na internet connection haimaanishi status yako ni "online" , so unaweza ukaweka bundle yako ila itaonyesha mara ya mwisho kufungua whatapp na sio online .
Tusianze kumtukana jamaa , yeye akiwa nyumbani mke hashindi kwenye simu , jamaa lazima ajiulize kwa nn on my absence tu ndo mwenzangu anashinda mikono ipo kwenye simu , inawezekana ni upweke au kuna kitu kinaendelea nyuma yake ....
 
Nivea umepanic kwani wewe wa kaskazini au unapigania haki ya kila mtu tz hata iwe haikuhusu.Hujambo nivea?
sijambo aisee ,mbona hukunipa taarifa yule mtu aliyesema anakujua eti
 
Mrembo by Nature sio Watanzania bana.ni mijianaume mishamba.Am Tanzanian..remember??!😀
Wewe itakua mhuni, na si mwerevu kama unavyotaka tukuone, na kujipatia sifa kwa wanawake, yoyote mwenye mapenzi na mkewe hatamwacha aruke tu kama ndege huru, kuna limits katika kila kitu, unless wote mmeamua kua wahuni, na mwishowe ni vikohozi tu
 
Last edited by a moderator:
sijambo aisee ,mbona hukunipa taarifa yule mtu aliyesema anakujua eti

Hahaha kweli wewe husahau... Alidhani ananifahamu kutokana na id kuiona sehemu nyingine akadhani ni same person but kumbe huyo mwingine ni tofauti nami
 
Wewe itakua mhuni, na si mwerevu kama unavyotaka tukuone, na kujipatia sifa kwa wanawake, yoyote mwenye mapenzi na mkewe hatamwacha aruke tu kama ndege huru, kuna limits katika kila kitu, unless wote mmeamua kua wahuni, na mwishowe ni vikohozi tu
stroke, huo ni mtazamo wako juu yangu! hata hivyo reality ni kwamba kwa information aliyotupa mwanzoni ni ngumu kunishawishi eti iwe sababu ya kumuhisi mkewe.

Otherwise, hujakosea bado sijaoa so maybe sielewi haya mambo!
 
Last edited by a moderator:
Yote ubahili na kutaka vya bure.....ajitoe tu hiyo whatstapp arudi kwenye SMS kama hataki maumivu

whatsappscreen.jpg
 
Whatapp haijakaa njema , yaani mtu akikutumia ujumbe na ukaamua kuuchuna inabidi usiingie tena humo la sivyo mwenzio ataona jamaa yupo online na hataki ku reply ujumbe wangu , ni nani wa muhimu sana ambaye ana chat nae hadi anashindwa kujibu ujumbe wangu ?
Hayo ndo maswali ambayo jamaa atakuwa anajiuliza ?

Kwa kuwa wamekubaliana kukaa mbali na familia inabidi awe mpole tu lasivyo anatafuta BP bila sababu.
 
stroke, huo ni mtazamo wako juu yangu! Hata hivyo reality ni kwamba kwa information aliyotupa mwanzoni ni ngumu kunishawishi eti iwe sababu ya kumuhisi mkewe.

Otherwise, hujakosea bado sijaoa so maybe sielewi haya mambo!
:cc Nivea mhhhhhhhhhhhhhhhh unanikatisha tamaa mentor
 
Last edited by a moderator:
stroke, huo ni mtazamo wako juu yangu! Hata hivyo reality ni kwamba kwa information aliyotupa mwanzoni ni ngumu kunishawishi eti iwe sababu ya kumuhisi mkewe.

Otherwise, hujakosea bado sijaoa so maybe sielewi haya mambo!
:cc Nivea mhhhhhhhhhhhhhhhh unanikatisha tamaa mentor
 
Last edited by a moderator:
Mrembo by Nature sio Watanzania bana.ni mijianaume mishamba.
Am Tanzanian..remember??!😀

Hahaha yale ya uko wapi?unafanya nini?uko na nani?wa wapi?nipe niongee nae nihakikishe kama ndio yeye teh teh mapenzi ya mbulula type! Mentor mikasa yako imefikia wapi? huishi visa wakwetu.
 
Last edited by a moderator:
ila ni kweli whattsapp ina balaa..maana mnachart mwisho wa siku mnaanza kutumiana pic..za hatari hatari tu
 
Rafiki yangu Yupo Dodoma kikazi mkewe Yupo Dar mfanya biashara. Rafiki yangu analalamika muda wote atakapo kuchat na mkewe Yupo online. Amejaribu kuongea na mkewe lakini wapi. Je hii imekaaje wanajamii?

Mwambie ajaribu kuingia online kwa jina lingine alafu arushe ndoana...
 
Back
Top Bottom