Mke wa mtu kushinda whatsapp online

Mke wa mtu kushinda whatsapp online

Kuoa sio safari ya Msanga, usimcheke useja kaka Kiranga.
Kuoa sio ngoma ya Kisiju, ukikosea mshenga utajiju.
Kuoa sio pilau la Shangani, ukizubaa utatengwa kitandani.
Kuoa sio treni la Ujiji, ukishangaa shangaa utatendwa bila mkwiji.
 
Ahasante...kumbe ndo maana nilikuwa simpati. Nshampata sasa. Namuonea huruma Ba-Kulwa,.

ndo hiyo i see!
baba kulwa hana tatizo kwani unafkir hajui kuwa mama kulwa anashinda twitter,jf,sijui yahoo,whatsup,siju wapi huko na huko!
 
Kuoa sio safari ya Msanga, usimcheke useja kaka Kiranga.
Kuoa sio ngoma ya Kisiju, ukikosea mshenga utajiju.
Kuoa sio pilau la Shangani, ukizubaa utatengwa kitandani.
Kuoa sio treni la Ujiji, ukishangaa shangaa utatendwa bila mkwiji.

i cant you!!!!!!!!!!
hapa utawezana na mwl wa kiswahili snowhite na Baba V
 
Last edited by a moderator:
Si unajua ukishakaa sana kwa Mnyamani (Mwinyi Amani) habari za mchiriku mchiriku mnanda mnanda zinakuwa haziko mbali nawe sana tena.

hhahahahah! nafikiri Suleiman Hegga anakuhusu zaid na Jumanne Mayoka
 
Au kwavile ameandika ni mfanyabiashara? au wachaga wanawake ndo wamejiunga watsup?
 
Back
Top Bottom