Mke wa mtu kushinda whatsapp online

Mke wa mtu kushinda whatsapp online

Rukwa21

Senior Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
142
Reaction score
42
Rafiki yangu yupo Dodoma kikazi mkewe yupo Dar mfanya biashara. Rafiki yangu analalamika muda wote atakapo kuchat na mkewe yupo online. Amejaribu kuongea na mkewe lakini wapi. Je hii imekaaje wanajamii?
 
wasap ina kiherehere sana...i hate it!! mara ''last seen 16:30' ata kam aumeingia mara moja tu tangu asubuh..na ukiopen tu application...kitu kinasoma 'online'....mbaya zaidi umemtumia kitu na hajibu na still 'online',.,,,,inahitajika busara kwa kweli
 
Ni f.al.a sana huyo mume! Kuwa online inamaana gani mbaya kwani?

Mfano anaweka bundle yake ya tigo ya siku anajua jioni awe amaitumia au hajatumia itakatwa kuna shida gani akiwa online muda wote? besides huwezi kujiweka offline watsapp pekee unless mimi ndo mshamba.

Ambia huyo mume kama hakuwa tayari kuoa amuache mdada wa watu..pambaff sana huyu mume..au ni ushamba wa kijijini kwake!!!!:tape2:
 
Amununulie kale kanokia ka tochi ambako hakana mambo mengi labda ataacha.

Pia yeye huwa anajuaje kama yupo online siku nzima? kama wewe unapenda kwani hutaki mwenzako afanye pia nadhani kuna lililojificha nyuma ya whats up
 
kwani hajui kinachotushindisha
whtsup ni nini?si sms tu za bure na pic!
kipi cha ajabu?aache ubeberu wake huko!
 
Rafiki yangu Yupo Dodoma kikazi mkewe Yupo Dar mfanya biashara. Rafiki yangu analalamika muda wote atakapo kuchat na mkewe Yupo online. Amejaribu kuongea na mkewe lakini wapi. Je hii imekaaje wanajamii?

Sasa sijui ni seme ni wivu uliopitiliza au vipi....!!!! Hivi angezima kabisa hiyo simu ingekuaje...?
 
Hivi whatsup kuna sehemu ya kulog out na kulog in? Na huyo kaka anapoingia online na kumkuta mkewe, anakasirika kwani alikuwa anaingia whatsup kumsaka nani vile?
 
wasap ina kiherehere sana...i hate it!! mara ''last seen 16:30' ata kam aumeingia mara moja tu tangu asubuh..na ukiopen tu application...kitu kinasoma 'online'....mbaya zaidi umemtumia kitu na hajibu na still 'online',.,,,,inahitajika busara kwa kweli

Hahahaa.....whatsap sio kabisa inasababisha vihoro tu
 
Je akishinda salon all day itakuwaje?kama tu mtu kajishindia zake nyumbani na kamchina kake una mind itakuwaje ukiambiwa mkeo kashinda kwenye Massage parlour?wewe huwa unashinda wapi online?
 
laiti kama ningekuwa najikuta kwenye ndoa type hii, basi hii ingekuwa ndoa yangu ya 20 na kuendelea.
 
laiti kama ningekuwa najikuta kwenye ndoa type hii, basi hii ingekuwa ndoa yangu ya 20 na kuendelea.
umeombwa ushauri ulikuwa huna haja ya kuponda. Inaelekea umri umeenda bado unatafuta mchumba
 
Wake za watu kweli mna kazi...bora huyu wa kwangu ni mke wa watu8.
 
Back
Top Bottom