Mke wa mtu kushinda whatsapp online

Mke wa mtu kushinda whatsapp online

ma start phone yanakuaga online full time,unles ujue jinsi ya kutoka..
'Says a person who own no smart phone'
 
Mie nataka jua, ukimblock mtu anajua kama ameblockiwa? Anapata notification yoyote? Kwenye whatsup.
Asante
 
Mie nataka jua, ukimblock mtu anajua kama ameblockiwa? Anapata notification yoyote? Kwenye whatsup.
Asante
ahahahahhahha kuna mume wa mtu anablockiwa sasa hv hapa!
ah shida nini bana!
we ndo umemaliza kabisa matatizo!ah mambo mengine kuwekeana nyongo tu ziso na sababu!
umenichekesha sana na comment yako my dear!
 
Kwa wivu wa kijinga namna hyooo jamaa kila aendako aende naye lolz.





Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
ahahahahahahahhahhahahhhahhaa we mama kulwa nawee!
nilijua tu ungesema hivo!
weweeeeeeeeeeeee!
mwali hapa nina msala wanangu wamekuzwaje sasa??
nataman ardhi ipasuke niingie mwali najiona nimeshindwa mwali..........
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
weweeeeeeeeeeeee!
mwali hapa nina msala wanangu wamekuzwaje sasa??
nataman ardhi ipasuke niingie mwali najiona nimeshindwa mwali..........
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
niin tenaaaa !ah usinistue hvo bana!
we si unajua hata nikikimbia haraka siwezi kufika ulipo sa hz!
hebu patia mimi habari kwa kule ,naenda
 
Back
Top Bottom