Mke wa mtu kushinda whatsapp online

Mke wa mtu kushinda whatsapp online

Rafiki yangu Yupo Dodoma kikazi mkewe Yupo Dar mfanya biashara. Rafiki yangu analalamika muda wote atakapo kuchat na mkewe Yupo online. Amejaribu kuongea na mkewe lakini wapi. Je hii imekaaje wanajamii?

huyo jamaa yako naona yupo kama mie.
 
wivu wa kijinga
kua online sio lazima kuchati
watu wengi hawapendi kusign off na onn
kama ni uhuni anaweza kutumia simu kawaida kuwasiliana na mtu kama anae
aache wivu wa kitoto
 
Rafiki yangu Yupo Dodoma kikazi mkewe Yupo Dar mfanya biashara. Rafiki yangu analalamika muda wote atakapo kuchat na mkewe Yupo online. Amejaribu kuongea na mkewe lakini wapi. Je hii imekaaje wanajamii?
whatsupp ndio kitu gani? Ipo kama jamiiforums au facebook? Maana huku Msaginya hicho ni kitu kipya.
 
Ni f.al.a sana huyo mume! Kuwa online inamaana gani mbaya kwani?

Mfano anaweka bundle yake ya tigo ya siku anajua jioni awe amaitumia au hajatumia itakatwa kuna shida gani akiwa online muda wote? besides huwezi kujiweka offline watsapp pekee unless mimi ndo mshamba.

Ambia huyo mume kama hakuwa tayari kuoa amuache mdada wa watu..pambaff sana huyu mume..au ni ushamba wa kijijini kwake!!!!:tape2:

isitoshe mke mwenyewe mfanyabiashara, anaegemea nn na biashara za siku hizi zipo kidijitali zaidi...
huyo mume atakuwa wa hamsini kweusi...
 
Wakuu mbona mnajazba? matusi na kejeli mtu kaomba ushauri tuu, Anyway haya majibu yenu yatamsaidia sana
 
so what is his concept? Mie nashindaga online because it is my life and my phone. I need to socialise. wtf?
 
Ni f.al.a sana huyo mume! Kuwa online inamaana gani mbaya kwani?

Mfano anaweka bundle yake ya tigo ya siku anajua jioni awe amaitumia au hajatumia itakatwa kuna shida gani akiwa online muda wote? besides huwezi kujiweka offline watsapp pekee unless mimi ndo mshamba.

Ambia huyo mume kama hakuwa tayari kuoa amuache mdada wa watu..pambaff sana huyu mume..au ni ushamba wa kijijini kwake!!!!:tape2:
Watanzania na technology bado sana, na mapenzi yetu yale ya kugandana ndio usiseme.
 
wasap ina kiherehere sana...i hate it!! mara ''last seen 16:30' ata kam aumeingia mara moja tu tangu asubuh..na ukiopen tu application...kitu kinasoma 'online'....mbaya zaidi umemtumia kitu na hajibu na still 'online',.,,,,inahitajika busara kwa kweli

ha ha ha kweli kabisa hasa pale unapokuwa hutaki kujibu message na umeisoma itaonyesha online..aliyetuma anajua kabisa umempotezea
 
Back
Top Bottom