Mke wa mtu kushinda whatsapp online

Mke wa mtu kushinda whatsapp online

Hahaha yale ya uko wapi?unafanya nini?uko na nani?wa wapi?nipe niongee nae nihakikishe kama ndio yeye teh teh mapenzi ya mbulula type! Mentor mikasa yako imefikia wapi? huishi visa wakwetu.
Acha utoto
 
Last edited by a moderator:
Huo utoto wangu uko wapi hapa?soma uelewe nilichojibu kabla ya kutoa maoni yako. Huo ndio utashi
Hivi kweli mshikaji mpaka ameamua kuoa sidhani Kama ataweza kumuuliza mkewe maswali ya kitoto Kama hayo. Wewe umeolewa? Kwa jinsi navyomuelewa ndio maana nimekwambia acha utoto
 
Hivi kweli mshikaji mpaka ameamua kuoa sidhani Kama ataweza kumuuliza mkewe maswali ya kitoto Kama hayo. Wewe umeolewa? Kwa jinsi navyomuelewa ndio maana nimekwambia acha utoto

Huelewi nilichokuwa ninaongea na Mentor , so ni vyema unyamaze kama uwezo wako wa kuelewa mambo na kujibu accordingly ni mdogo.
 
Last edited by a moderator:
komenti zinamuuma kasingizia rafikiye kumbe yeye

Hahah watu hata fbook wanakuja kwa style ya rafiki yangu amekuwa hivi so anaomba ushauri.
Siku moja mdada alishapresent ishu yake ya boyfriend kutoonekana valentine hadi ilipoisha sasa siku ingine kama baada ya miezi sita alikuja na ishu ile ile ila sasa alikuwa ashajua boy anacheat so aliongea incident ya valentine plus aliongezea matukio mengine after valentine wakati wa kutiririka. Si akasahau kwamba alishalileta ijadiliwe kwenye kundi na kudai awamu hii ni ya rafiki yake. Kwani akisema ni yeye kuna mtu anamdai?
 
Hahah watu hata fbook wanakuja kwa style ya rafiki yangu amekuwa hivi so anaomba ushauri.
Siku moja mdada alishapresent ishu yake ya boyfriend kutoonekana valentine hadi ilipoisha sasa siku ingine kama baada ya miezi sita alikuja na ishu ile ile ila sasa alikuwa ashajua boy anacheat so aliongea incident ya valentine plus aliongezea matukio mengine after valentine wakati wa kutiririka. Si akasahau kwamba alishalileta ijadiliwe kwenye kundi na kudai awamu hii ni ya rafiki yake. Kwani akisema ni yeye kuna mtu anamdai?

Mrembo wewe upo Whatsapp? Facebook je?
 
Unaweza block a number temporary......hawezi kuona movement zako till when you want to.
 
Mume hashindi online ni wakati anataka kuwasiliana na mkewe muda wote ndio hivyo

sasa mke akiwa offline si mume atamkosa anapotaka kuchat nae??
mmmh! mm niko online skype muda wote na yahoo mesenja sijui nakosea pia........
 
Mrembo wewe upo Whatsapp? Facebook je?

Kote kote. Huko kwangu mie ndo kama ilivyo kisimani , nisipokuja kumnywesha ng'ombe, nitajachota ya kupikia, kama si kupika basi kuoga, kama si kuoga basi kunywa, kama si kunywa basi kufua, kama si kufua basi n.k
 
Mwambie ajaribu kuingia online kwa jina lingine alafu arushe ndoana...

Yale yale na mume kumtongoza mke kupitia namba ngeni (wrong numbet)mke akaingia line mpaka wakapanga miadi ya kumeet hotel.. Mwisho wa siku mke akakamatishwa na ndoa ikaishia hapo.
 
Back
Top Bottom