Mwanga Mkali
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 1,289
- 2,413
Rafiki yangu wa miaka mingi mpaka kesho ananilaumu kwa kumtupa (simtembelei kabisa kwake) anaamini labda tofauti za kimaisha ndio sababu za umbali wetu.. ila ukweli mke wake ndio alinikimbiza (kila mara msg za kuomba msaada na kunisifia, mwanzo nilikuwa namtoa then mazoe yaka-graduate kuwa naitwa mume wangu???? Shemeji nimegeuka mume ghafla kisa 50k????) Nilikimbia mbaya... na siwezi kumweleza jamaa yangu ila wanawake wengine ni takataka aisee.