Mke wa jirani amenieleza mapungufu ya mumewe

Rafiki yangu wa miaka mingi mpaka kesho ananilaumu kwa kumtupa (simtembelei kabisa kwake) anaamini labda tofauti za kimaisha ndio sababu za umbali wetu.. ila ukweli mke wake ndio alinikimbiza (kila mara msg za kuomba msaada na kunisifia, mwanzo nilikuwa namtoa then mazoe yaka-graduate kuwa naitwa mume wangu???? Shemeji nimegeuka mume ghafla kisa 50k????) Nilikimbia mbaya... na siwezi kumweleza jamaa yangu ila wanawake wengine ni takataka aisee.
 
Rafiki yangu wa miaka mingi mpaka kesho ananilaumu kwa kumtupa (simtembelei kabisa kwake) anaamini labda tofauti za kimaisha ndio sababu za umbali wetu.. ila ukweli mke wake ndio alinikimbiza (kila mara msg za kuomba msaada na kunisifia, mwanzo nilikuwa namtoa then mazoe yaka-graduate kuwa naitwa mume wangu???? Shemeji nimegeuka mume ghafla kisa 50k????) Nilikimbia mbaya... na siwezi kumweleza jamaa yangu ila wanawake wengine ni takataka aisee.
Waungwana hawaishi
 
Ni afadhali yeye amekwambia wew kuliko wew unaeyamwaga huku mtandaoni😏😏
 
Ni katika hali ya story za kuhusu masuala yanayohusu mazingira tunayoishi, Hapa namaanisha kuhusu usafi na mengineyo na Mimi ni single boy hivyo sina wa kusimamia masuala hayo zaidi ya mimi mwenyewe ndipo tukajikuta tunazungumzia masuala ya mahusiano na ndipo mwanadada huyu akaenda direct kwenye topic ya wivu.

Kuhusu wivu akaanza kumkandia mumewe kwamba ana wivu wa Kimbatu (wivu wa kijinga) kwani hajiamini hata kidogo na wala hamuamini yeye mwenyewe... Picha linaanza jamaa anamkagulia simu kila wakati, Imefika hatua jamaa ame-divert simu yake kwamba kabla simu au message yoyote haijafika kwa mwanadada huyu basi inapita kwanza kwa jamaa, Mwanadada anaongea kwa uchungu sana kuonesha hali hiyo kwamba inamkwaza sana na kumfanya ahisi kama anaishi gerezani, Anasema kila simu itakayopigwa au message kuingia akiwa na jamaa yake ndani basi ni lazima aulizwe "Nani huyo..." kwa sauti yenye tempa😁, Muda wote huo nilimsikiliza kisha kumuuluza "Lakini Happy kama wewe ni muaminifu kwake basi kwanini ukwazike yeye kujihakikishia?" Mwanadada yule hakuridhia majibu yangu bali aliendelea kuelezea tu jinsi gani anavyokereka na mwenendo wa jamaa

Mwanadada amefunguka mengi sana ila wakati anataka kuelekea kwenye kuongea madhaifu ya jamaa kitandani mimi nikamkatisha kwa kujipokelesha simu ya uwongo na kweli na kumuacha kwenye mataa mwanadada yule huku nisichangie neno lolote wala kumpondea jamaa. Ama kweli mimi na wana ni dam dam.

Mwisho: Wakuu acheni kukagua simu za wanawake zenu kiasi wakajua mnawafuatilia, Hiyo ni ishara kwamba hujiamini na hilo ni jambo ambalo linakushusha thamani kwa mwanamke ndani ya dk 0, Kingine jinsi unavyoonesha udhaifu wa kumpenda mwanamke na kuwa na wivu wa hali ya juu ndipo unapompa hamasa ya yeye kutaka ku-teste the new test.
Mwenyewe unajiona mjanja,hujui kuwa uko kwenye mtego na very soon usipoangalia utaingia kwenye 18 za huyo jamaa...
 
Tulipoambiwa tuishi nao kwa akili ni kwa sababu ni akili pekee ndio zitakazo muweka salama mwanaume mbele ya uso wa mwanamke.........

Katika akili ya kawaida na jinsi ulivyotanabaisha ni kuwa matumizi yako ya akili mbele ya mwanamke yapo chini sana na hilo linaweza kukuletea matatizo au kuyaangamiza maisha yako.....kitendo Cha wewe kukaa faragha na mke wa mtu na kukuelezea mambo yote hayo na wewe kuyaamini na kuyabeba kama yalivyo ni uthibitisho kuwa matumizi yako ya akili yako chini sana mbele ya kiumbe mwanamke.........

Moja ya matumizi sahihi ya akili kwa mwanamume ni kujua na kuheshimu mipaka yake dhidi ya mwanamke ambaye si halali yake na kwa kufanya hivyo utakuwa umeyaepusha maisha na majanga makubwa na hata kifo........

Muendelezo wa hizo faragha kutazaliwa jambo ambalo litakuletea matatizo makubwa.... kumbuka sio wote wanaohukumiwa juu ya mambo hayo kwa wamelala nao bali hata mazingira tatanishi yanaweza kuwafanya watu waamini hivyo........


Word is enough for the wise
Boss hiyo ni slogan tu bt honestly ugumu tunauweka sisi wenyew binadam coz by nature binadam na wanyama we're the same thing icpokuwa binadam tumejipa u-special ambao matokeo yake unafanya vitu vingi vinakuwa complicated na mwisho vinatushinda, For instance angalia wanyama wanavyo ishi especially kwenye sex, they mate for purpose nayo ni kuzaliana tu bt binadam anajiona ana akili sana ameamua kuongeza manjonjo mengi sana kwenye hiyo hiyo sex ambayo imetoka kwenye kuzaliana mpaka kwenye kuridhishana... So kupitia kuridhishana sasa ndo matatizo kibao yanatokea ikiwemo nguvu za kiume mara cjui vibamia yaani shida tupu na mwisho wake tunaona wanawake hawafai mara cjui tuishi nao kwa akili and honestly mambo ni mengi sana... At last we can't compete with nature na ukienda against it utateseka sana
 
Ni katika hali ya story za kuhusu masuala yanayohusu mazingira tunayoishi, Hapa namaanisha kuhusu usafi na mengineyo na Mimi ni single boy hivyo sina wa kusimamia masuala hayo zaidi ya mimi mwenyewe ndipo tukajikuta tunazungumzia masuala ya mahusiano na ndipo mwanadada huyu akaenda direct kwenye topic ya wivu.

Kuhusu wivu akaanza kumkandia mumewe kwamba ana wivu wa Kimbatu (wivu wa kijinga) kwani hajiamini hata kidogo na wala hamuamini yeye mwenyewe... Picha linaanza jamaa anamkagulia simu kila wakati, Imefika hatua jamaa ame-divert simu yake kwamba kabla simu au message yoyote haijafika kwa mwanadada huyu basi inapita kwanza kwa jamaa, Mwanadada anaongea kwa uchungu sana kuonesha hali hiyo kwamba inamkwaza sana na kumfanya ahisi kama anaishi gerezani, Anasema kila simu itakayopigwa au message kuingia akiwa na jamaa yake ndani basi ni lazima aulizwe "Nani huyo..." kwa sauti yenye tempa😁, Muda wote huo nilimsikiliza kisha kumuuluza "Lakini Happy kama wewe ni muaminifu kwake basi kwanini ukwazike yeye kujihakikishia?" Mwanadada yule hakuridhia majibu yangu bali aliendelea kuelezea tu jinsi gani anavyokereka na mwenendo wa jamaa

Mwanadada amefunguka mengi sana ila wakati anataka kuelekea kwenye kuongea madhaifu ya jamaa kitandani mimi nikamkatisha kwa kujipokelesha simu ya uwongo na kweli na kumuacha kwenye mataa mwanadada yule huku nisichangie neno lolote wala kumpondea jamaa. Ama kweli mimi na wana ni dam dam.

Mwisho: Wakuu acheni kukagua simu za wanawake zenu kiasi wakajua mnawafuatilia, Hiyo ni ishara kwamba hujiamini na hilo ni jambo ambalo linakushusha thamani kwa mwanamke ndani ya dk 0, Kingine jinsi unavyoonesha udhaifu wa kumpenda mwanamke na kuwa na wivu wa hali ya juu ndipo unapompa hamasa ya yeye kutaka ku-teste the new test.
hata mapungufu yako kuna mtu ameelezwa hujasikia tu bado
 
Ndoa lazima ziwe na miundo miwili.
1. Urafiki na utani
2.Ufalme.
Lazima muwe marafiki na watani, kila mmoja kuwa huru na kufurahi.
Tukienda hatua ya pili ufalme. Hapa mke lazima ajue kuwa mume ni mfalme muda wowote anaweza kuamuru lete simu na kuanza kuipekua na kumrejeshea.
Sasa wewe ishi na mwanamke kwa kanuni nambari 1 tu utaona kilio chake.
Acheni mapenzi ya kizungu, hamtatoboa, akili na hulka ya mwanamke wa kiafrika ina utofauti na wazungu.
Mkuu umrongea pointi sana
 
Ni katika hali ya story za kuhusu masuala yanayohusu mazingira tunayoishi, Hapa namaanisha kuhusu usafi na mengineyo na Mimi ni single boy hivyo sina wa kusimamia masuala hayo zaidi ya mimi mwenyewe ndipo tukajikuta tunazungumzia masuala ya mahusiano na ndipo mwanadada huyu akaenda direct kwenye topic ya wivu.

Kuhusu wivu akaanza kumkandia mumewe kwamba ana wivu wa Kimbatu (wivu wa kijinga) kwani hajiamini hata kidogo na wala hamuamini yeye mwenyewe... Picha linaanza jamaa anamkagulia simu kila wakati, Imefika hatua jamaa ame-divert simu yake kwamba kabla simu au message yoyote haijafika kwa mwanadada huyu basi inapita kwanza kwa jamaa, Mwanadada anaongea kwa uchungu sana kuonesha hali hiyo kwamba inamkwaza sana na kumfanya ahisi kama anaishi gerezani, Anasema kila simu itakayopigwa au message kuingia akiwa na jamaa yake ndani basi ni lazima aulizwe "Nani huyo..." kwa sauti yenye tempa😁, Muda wote huo nilimsikiliza kisha kumuuluza "Lakini Happy kama wewe ni muaminifu kwake basi kwanini ukwazike yeye kujihakikishia?" Mwanadada yule hakuridhia majibu yangu bali aliendelea kuelezea tu jinsi gani anavyokereka na mwenendo wa jamaa

Mwanadada amefunguka mengi sana ila wakati anataka kuelekea kwenye kuongea madhaifu ya jamaa kitandani mimi nikamkatisha kwa kujipokelesha simu ya uwongo na kweli na kumuacha kwenye mataa mwanadada yule huku nisichangie neno lolote wala kumpondea jamaa. Ama kweli mimi na wana ni dam dam.

Mwisho: Wakuu acheni kukagua simu za wanawake zenu kiasi wakajua mnawafuatilia, Hiyo ni ishara kwamba hujiamini na hilo ni jambo ambalo linakushusha thamani kwa mwanamke ndani ya dk 0, Kingine jinsi unavyoonesha udhaifu wa kumpenda mwanamke na kuwa na wivu wa hali ya juu ndipo unapompa hamasa ya yeye kutaka ku-teste the new test.
Mwanaume ni mchunga kwa wanawake,,,,
Mwanaume ana haki ya kushika simu ya mkewe,
Mm sioni shida kwa hilo
 
Mtoa mada na huyo mke wa mtu wote hamjielewi. Kwanza unaruhusu vipi mke wa mtu kukupa stori kama hizo?

Anyway kwanza mie ni mzoefu sana wa wanawake na kwa ufupi huyo dada anakutaka na ndio maana anadanganya kuwa mumewe ana matatizo hivyo anataka sympath yako ili akuteke kirahisi. Na wewe ulivyo mdogo wa kufikiri umemuamini huyo dada. Wanawake utongozaji wao ni wa mbinu sana ambapo kama akili zako ni chache utaamini anachokisema.

Mie niliwahi kukutana na situation kama yako dada mmoja mtaalam wa IT ilitokea tukasafiri pamoja kikazi na akawa ananieleza madhaifu ya mumewe kuwa jogoo hapandi mtungi. Nilielewa anachotaka mie nikaenda direct kuwa unataka nikugonge akaanza ooh sina maana hiyo nikamwambia kama unataka nikugonge nieleze straight sio unazunguka zunguka. Usiku tumekaa sehemu tunakula tulifikia hoteli tofauti kulikuwa kumejaa so nikaenda hoteli yao kulikuwa na restaurant. Wakati namuaga naondoka naona msg imeingia nakuja kulala kwako
 
Asipochukua huu ushauri basi huyo ni sikio la kufa.
Tulipoambiwa tuishi nao kwa akili ni kwa sababu ni akili pekee ndio zitakazo muweka salama mwanaume mbele ya uso wa mwanamke.........

Katika akili ya kawaida na jinsi ulivyotanabaisha ni kuwa matumizi yako ya akili mbele ya mwanamke yapo chini sana na hilo linaweza kukuletea matatizo au kuyaangamiza maisha yako.....kitendo Cha wewe kukaa faragha na mke wa mtu na kukuelezea mambo yote hayo na wewe kuyaamini na kuyabeba kama yalivyo ni uthibitisho kuwa matumizi yako ya akili yako chini sana mbele ya kiumbe mwanamke.........

Moja ya matumizi sahihi ya akili kwa mwanamume ni kujua na kuheshimu mipaka yake dhidi ya mwanamke ambaye si halali yake na kwa kufanya hivyo utakuwa umeyaepusha maisha na majanga makubwa na hata kifo........

Muendelezo wa hizo faragha kutazaliwa jambo ambalo litakuletea matatizo makubwa.... kumbuka sio wote wanaohukumiwa juu ya mambo hayo kwa wamelala nao bali hata mazingira tatanishi yanaweza kuwafanya watu waamini hivyo........


Word is enough for the wise

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom