Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Na mimi sikwenda hata darasa moja la Uandishi, kwa nini nyinyi wahariri hamuoni hivyo vitu?
mara zote tumekushauri do something about it; kama waandishi na wahariri hawafanyi vile unavyotaka wafanye show them the way. You tried, and you failed miserably. You have to appreciate what people do siyo kila wakati kuwa na hizi generalized kandialing? Mara waandishi mko hivi, mara vile. Kwanini wewe usioneshe mfano wa jinsi uandishi uwe. Of course utasema "sijasomea uandishi" so how do you know what is wrong unless you pretend to know how it ough to be?