Sio kweli, wapo wanasiasa ambao ni committed kama Dr. Slaa, Hon. Zitto na the likes pia wapo wanasiasa ambao ni wasanii, wanajulikana hakuna haja ya kuwataja. Msanii anajulikana kwa maneno na matendo.
Mungu ibariki Tanzania
NAOMBA UTEKELEZAJI WA ILANI YAO KTK MAJIMBO YAO TANGU WALIPOIUZA 2005 HADI LEO HII ni kipi wametekelezea wapiga kura wao.