Pole sana Waziri wa mambo ya ndani wa zamani na naibu wa waziri Mkuu Augustino Mrema na wote walioguswa na msiba huo,
Rest easy kwa marehemu.
 
Polekwa wafiwa...
Ila natural selection inasema mke akisonga mume hana muda mrefu!!

Ila mume akisonga mke hudumu...

Rejea akinya Mandela Nyerere Sokoine nk!!
 
Mke wa mzee Augustine Lyatonga Mrema amefariki dunia ktk hospitali ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu ya shinikizo la damu.

---
Mwenyekiti wa TLP, Augustino Mrema amepatwa na msiba wa kufiwa na mkewe Rose Mrema. Taarifa iliyotolewa kwa umma na Mrema imesema mkewe amefariki dunia usiku wa kuamkia leo wakati akipatiwa matibabu ya maradhi ya shinikizo la damu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.

RIP
 
Mke wa mzee Augustine Lyatonga Mrema amefariki dunia ktk hospitali ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu ya shinikizo la damu.

---
Mwenyekiti wa TLP, Augustino Mrema amepatwa na msiba wa kufiwa na mkewe Rose Mrema. Taarifa iliyotolewa kwa umma na Mrema imesema mkewe amefariki dunia usiku wa kuamkia leo wakati akipatiwa matibabu ya maradhi ya shinikizo la damu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Sote ni wa Mungu na kwake tutarejea.
Inna Lillah Wainalillah Raj'un
 
Mke wa mzee Augustine Lyatonga Mrema amefariki dunia ktk hospitali ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu ya shinikizo la damu.

---
Mwenyekiti wa TLP, Augustino Mrema amepatwa na msiba wa kufiwa na mkewe Rose Mrema. Taarifa iliyotolewa kwa umma na Mrema imesema mkewe amefariki dunia usiku wa kuamkia leo wakati akipatiwa matibabu ya maradhi ya shinikizo la damu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.


Apumzike kwa amani.

IMG_20210917_174541_972.jpg


Ila hadi wimbi hili lipite ajuaye mola:
 
Back
Top Bottom