kweli huyu mama alikuwa nyuma yake kwenye kila hali .....kutoka maisha ya kifahari ya kuwa na gari na msaidizi kama mke wa naibu waziri mkuu na waziri wa mambo ya ndani hadi kuwa mke wa mwanasiasa anayepigwa mabomu kila siku haikuwa kazi rahisi ....
lakini kitu ninachomsifu mzee mrema ni kuweza kuwakinga watoto wake na umaarufu wake ......kawaacha wakaishi maisha yao kwa ukimya ...hilo jambo la muhimu sana angewaweka wazi sana wakati ule anatamba wangekuwa target ....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.