Kwa kuongezea kwenye hoja za Mzee Kichuguu:
Baada ya kadhia ya NETGROUP Solution inayosadikiwa kwamba ilisababisha kuondolewa kwa Bwana Maokola-Majogo pale wizara ya Nishati na Madini na kupelekwa kwenye kuondoa umasikini (ofisi ya makamu wa rais), Rais alitamka wazi kwamba kuanzia wakati huo mikataba mikubwa mikubwa yote itakuwa inapitia Ofisi ya Rais. That was so strange, kulikuwa na umuhimu gani wa kuwa na mwanasheria mkuu wa serikali, katibu mkuu wa wizara au waziri? Kwanini mikataba mikubwa ipitie Ofisi ya Rais? Hapo kuna ukungu mzito ambao mpaka leo hii bado ninajiuliza. Matokeo yake ndiyo hayo ya mikataba mibovu ambayo imedumu kwa kipindi chote mpaka BWM anaondoka madarakani. Katika kipindi cha miaka 10 ya utawala wa huyu mzee wetu sijasikia mkataba hata mmoja ambao umesifiwa kwamba ulikuwa na maslahi ya nchi. Alichosema Anne Kilango Malecela ni ushahidi kwamba mikataba mingi ya hapa kwetu Bongo ni uozo mtupu na inajali zaidi maslahi binafsi na kuweka nyuma maslahi ya Taifa.
Kuhusu Sumaye, nina uhakika kwamba kama angekuwa alihusika kwenye hizo kashfa lazima angekuwa alishaunganishwa. Kilichowazi ni kwamba pamoja na kufanya mambo yake kwa uwazi, he thought that he was doing in a right way na kumbe kuna watu ambao walikuwa wanazunguka kumpaka matope kwa malengo ya kwao. Mengi yamesemwa kuhusu wana mtandao walivyo mshughulikia. Jiulize leo hii, ilikuwaje mara baada ya kubwagwa kwenye kusaka tiketi ya kugombea IKULU kwa tiketi ya CCM hatukusikia tena kashfa za kumhusu Sumaye????
Baada ya kadhia ya NETGROUP Solution inayosadikiwa kwamba ilisababisha kuondolewa kwa Bwana Maokola-Majogo pale wizara ya Nishati na Madini na kupelekwa kwenye kuondoa umasikini (ofisi ya makamu wa rais), Rais alitamka wazi kwamba kuanzia wakati huo mikataba mikubwa mikubwa yote itakuwa inapitia Ofisi ya Rais. That was so strange, kulikuwa na umuhimu gani wa kuwa na mwanasheria mkuu wa serikali, katibu mkuu wa wizara au waziri? Kwanini mikataba mikubwa ipitie Ofisi ya Rais? Hapo kuna ukungu mzito ambao mpaka leo hii bado ninajiuliza. Matokeo yake ndiyo hayo ya mikataba mibovu ambayo imedumu kwa kipindi chote mpaka BWM anaondoka madarakani. Katika kipindi cha miaka 10 ya utawala wa huyu mzee wetu sijasikia mkataba hata mmoja ambao umesifiwa kwamba ulikuwa na maslahi ya nchi. Alichosema Anne Kilango Malecela ni ushahidi kwamba mikataba mingi ya hapa kwetu Bongo ni uozo mtupu na inajali zaidi maslahi binafsi na kuweka nyuma maslahi ya Taifa.
Kuhusu Sumaye, nina uhakika kwamba kama angekuwa alihusika kwenye hizo kashfa lazima angekuwa alishaunganishwa. Kilichowazi ni kwamba pamoja na kufanya mambo yake kwa uwazi, he thought that he was doing in a right way na kumbe kuna watu ambao walikuwa wanazunguka kumpaka matope kwa malengo ya kwao. Mengi yamesemwa kuhusu wana mtandao walivyo mshughulikia. Jiulize leo hii, ilikuwaje mara baada ya kubwagwa kwenye kusaka tiketi ya kugombea IKULU kwa tiketi ya CCM hatukusikia tena kashfa za kumhusu Sumaye????