Mkapa above the law?: Allegations

Mkapa above the law?: Allegations

Profesa anajidhalilisha. He makes this look personal, lakini anatakiwa kujua kuwa it is the war against graft, of which Mkapa is part of it. Kumfikisha Mkapa peke yake hakuwezi kung'oa mzizi, anyway ndio siasa za majukwaani.
 
Profesa anajidhalilisha. He makes this look personal, lakini anatakiwa kujua kuwa it is the war against graft, of which Mkapa is part of it. Kumfikisha Mkapa peke yake hakuwezi kung'oa mzizi, anyway ndio siasa za majukwaani.


Yupo sawa kabisa huwezi kuwalinganisha wahusika wengine na Mkapa ,tatizo mlilonalo ni ufahamu wa kinachozungumzwa na kina chake.
Sidhani kama Lipumba haelewi kuwa Mkapa ana kinga kwa kiasi fulani Mkapa hawezi kufikishwa mahakamani kama wengine kumbuka Mkapa alikuwa ni Jemedari na mkuu wa Nchi(Raisi) ,Lipumba hapa anapigania sheria kuwa Raisi nae aweze kufikishwa mahakamani pindipo Mkapa akifikishwa mahakamani basi na Raisi aliekuwepo au atakaekuwepo watajumuika katika kuwajibika na sheria hii na hivyo hata Mwiny nae anaweza kufunguliwa mashtaka.

Inaonyesha unapata tabu kuwasikilza watu wenye uzoefu wa kutoa Lecture.
 
Aliyewahi kuwa waziri mkuu wa zamani wa India, Hayati Indira Gandhi; miaka ya sabini aliweza kujenga personality kiasi yeye ndo akawa sura ya chama cha Congress ingawa chama kilikuwa kimejaa ufisadi wa kila namna na kuteka mihimili ya dola yani Bunge na Korti.

Tukirudi huku kwetu, tunajua kabisa kwamba chama tawala sasa hivi kiko mahututi na ufisadi na mambo mengine yanayoendana na ufisadi kama chama kisicho na dira wala mwelekeo wa kumnyanyua mtanzania wa kawaida( haya yote yanaonekana katika kila nyanja ya maisha mfano mdogo ni kuhusu elimu na ajira, migomo isyokwisha n.k)

Mtizamo wangu naona kama Ndugu( samahani sipendi sana kutumia jina Mheshimiwa) Rais Kikwete anatumia hii issue ya EPA kujiweka kwenye mazingira ya kuzuia wanamapinduzi wapinga mapinduzi ndani ya chama chake. Anajaribu kucheza na akili za watanzania kwa kujijengea personality zaidi ya chama chake. Sasa hivi umma karibu wote wamesahahu kwamba Rais wetu amechaguliwa kupitia chama kilicholiwa na kansa ya Ufisadi na uroho wa madaraka. Focus ya Umma sasa hivi ni kushangilia vijipapa vilivyoingia Keko briefly kwani naamini muda si mrefu watakuwa nje kwa dhamana (Historia yaonyesha hivyo).

Vyombo vya habari nilivyovipitia na pia maoni mbali mbali ni kuhusu JK kafanya kweli ...mtu kutimiza wajibu wako tena kiduch watu sifa tele na kusahahu kwamba zimwi likulalo alikuli likakwisha.

Mimi yangu macho, one year to go CCM kupitia siasa za personality wameshaanza kuwasha indiketa ya kurudi kwa kishindo madarakani. Hii mikesi itakaa kaa hapa mpaka 2010+.

Wandugu, tuamke, tuchukue hatua tusipotee katika mtego huu. Suala ni kusema JK asante kwa kujua wajibu wako lakini tunajua mzizi wa fitina huko wapi.

Naomba kuwakilisha

Shadow
 



Yupo sawa kabisa huwezi kuwalinganisha wahusika wengine na Mkapa ,tatizo mlilonalo ni ufahamu wa kinachozungumzwa na kina chake.
Sidhani kama Lipumba haelewi kuwa Mkapa ana kinga kwa kiasi fulani Mkapa hawezi kufikishwa mahakamani kama wengine kumbuka Mkapa alikuwa ni Jemedari na mkuu wa Nchi(Raisi) ,Lipumba hapa anapigania sheria kuwa Raisi nae aweze kufikishwa mahakamani pindipo Mkapa akifikishwa mahakamani basi na Raisi aliekuwepo au atakaekuwepo watajumuika katika kuwajibika na sheria hii na hivyo hata Mwiny nae anaweza kufunguliwa mashtaka.

Inaonyesha unapata tabu kuwasikilza watu wenye uzoefu wa kutoa Lecture.

Mkuu uko sahihi, sina taabu ya kumuelewa profesa lakini haina maana sana ya kuelekeza mashambulizi kwa staili anayoifanya yeye. Nadhani wanaofanya kazi ya kukusanya ushahidi ambao hauwezi kuwa beatable mahakamani wanafanya jambo zuri zaidi kuliko, wanaopiga politiki majukwaani. Yeye kama kiongozi wa chama angetuambia anatuletea altenative gani. Siasa za kamatakamata kama alizokuwa akipendekeza Mrema hazitatufikisha popote. Unaweza kufikisha watu 100 mahakamani na ukawafungulia mashitaka wote na wote wakaachiwa huru, na kama wakiwa wajanja wanaweza kufungua mashitaka wakadai fidia. Kimsingi simpingi profesa, ila staili yake ni tata kidogo.
 
Immunity ya Mkapa iko questionable, kuna wasomi wa sheria wanasema ilikuwa effective alipokuwa rais na sasa kama rais mstaafu anaweza kushtakiwa vizuri tu kwani immunity hai apply.
 
Kwa kweli Mungu atusaidie, maana tunakoelekea waTanzania sasa hivi ni kuwekeana visasi vya kisiasa; ambavyo baadaye vitalitafuna taifa hili liwe kama DRC (Zaire).
 
Tunamtaka Baraba, mwachie Yesu hana hatia huyo.

Inategemea utakavyotafsiri
 
Jamani mie sina ujuzi sana na sheria lakini jamani hivi tutawaachia viongozi wetu wa nchi kama marais na mawaziri wakuu wachezee raslimali zetu kwa kisingizio cha vyeo vyao hadi lini? kama kweli sheria zetu zinawapa immunity ni wakati wa kuzipigia kelele ili zibadilishwe ili kila anayeingia katika uongozi asifanye mchezo na maisha yetu akijua anaweza kutinga mahakamani.
Si hivyo tutachezewa kweli kweli hata wakiingia viongozi toka vyama vya upinzani.
 
Kwanza Lowasa then Mkapa tunakaribia mfupa nyama inakuwa tamu zaidi

Mie naona kwa ukweli kabisa bila kuwa wanafiki hata kidogo kama kweli tunamtaka Mkapa, tungeanza na mzee Mwinyi kwa kulivunja azimio la Arusha hivyo kuruhusu watawala kujilimbikizia mali pia nae alikuwa na vijiskendo kama kile cha "AIRPORT NA ZILE DHAHABU ZA MREMA", Matanuzi ya kipuuzi ya Rio de Jeneiro n.k .
Tena tuje kwa Mkapa na kukopa mil 600 CRDB, kuwaachia kina Mramba watumie madaraka vibaya n.k.
Kisha kwa JK kwa kuingia ikulu kwa kununua waandishi (ingawa wengine sasa hivi wanajidai hawamo), kumtumia mkurugenzi taifa kumfikisha ikulu then kumzawadia mwanae ubunge(Tomas), Kuwateua wezi wa Deep green finance kuwa waziri, jaji na dada mtu mkuu wa mkoa huku mwanae akiwa kwenye kundi hilohilo, n.k
Hapo kweli tutakuwa tumetenda haki sawasawa......
"Chungu sana, lakini ni Dawa"
 
Mkuu kichuguu,

Wako tayari wakupe Mkapa sababu ndiye unayemtaka,ila swali la kujiuliza unamtaka mkapa ili ushitaki kw amashtaka yapi?


Unajua tunaongea sana kuhusu haya ila we are missing one Point behind,Yes inawezekana alishiriki ila siyo rahisi kiivyo kujua kama alihusika ama laah
 
Mkuu kichuguu,

Wako tayari wakupe Mkapa sababu ndiye unayemtaka,ila swali la kujiuliza unamtaka mkapa ili ushitaki kw amashtaka yapi?


Unajua tunaongea sana kuhusu haya ila we are missing one Point behind,Yes inawezekana alishiriki ila siyo rahisi kiivyo kujua kama alihusika ama laah

Gembe... hayo maneno ya "tunamtaka Mkapa" ambayo sasa hivi yanatumika kama title ya hii thread sio ambayo Kichuguu alitumia kuanzisha hii thread. Siku hizi hapa JF threads zinahamishwa na kubadilishwa titles zao kama njugu (msemo wa wakenya) kiasi kwamba unaweza kudhani title ya thread ndio ilitumiwa na muanzisha thread anayesomeka.

Mambo yanafanyika kasi sana kiasi kwamba mara nyingi nikija kusoma hapa nakuta thread ilianzishwa mwaka 2006 imeunganishwa na ile ya leo na hata title imebadilika. Mtu usipokuwa makini unaweza kujikuta unachangia kitu tofauti na kile kinachojadiliwa kwenye thread husika.

Kichuguu aliuliza swali kama maamuzi ya Kikwete kwenye mashtaka haya ya kina Mramba kama ni yake mwenyewe au ni shinikizo la wafadhili. Huo upande mwingine wa tunamtaka Mkapa, ni thread iliyoanzishwa na Bubu Ataka Kusema ambayo inanukuu habari za gazeti.

Ni kazi kidogo kutenganisha maudhui ya hizo thread mbili zikiwa zimeunganishwa namna hii
 
Kwa sababu ziko sehemu moja tu katika ulimwengu wa Sheria na Katiba Tanzania, mara nyingi ukisema "kinga za Ibara ya 46" unaeleweka unazungumzia nini. Ikisemwa "kinga za Ibara ya 46" tunamaanisha ibara za Katiba. Isitoshe kulikuwa na clue ya wazi kabisa, niliposema hapo juu kwamba Bunge haliwezi kupingana na Katiba.

Sasa maana ushajua tunaongelea Katiba, rudi basi ka point out "umahoka" wa chochote nilichokisema.

Asante kwa ufafanuzi na sasa maelezo yako yanaleta maana halisi. I just wanted to make sure tunaelewa unachoelezea kwani yawezekana kueleweka vinginevyo.

FYI Its a must to mention ni sheria ipi unaitaja kwa ibara pindi unapoweka au ku-quote au kuitaja ibara na kifungu chake pia kusema ni sheria ipi ama katiba, ama sheria ya ardhi ya mwaka 1999, sheria ya ndoa ya mwaka 1972, national park ordinace cap (year) etc. I mean you have to mention the law and year in which was enacted or put in force. It is a must and not just mentioning ibara is not enough to detail. Sheria ni ngumu anyway kwa kuwa inahitaji umakini. Hata kama ni Jaji anapo-refer au ku-qoute lazima ataje ni sheria gani na ya mwaka gani na ibara ipi n.k.. OKEY!!! Kila mtu kumbuka anapaswa kujua sheria ili asivunje sheria. Thanks Kuhani once again for clarification
 
Asante kwa ufafanuzi na sasa maelezo yako yanaleta maana halisi. I just wanted to make sure tunaelewa unachoelezea kwani yawezekana kueleweka vinginevyo. Thanks

Ahsante na wewe pia kwa ku demand meticulously clear explanations.
 
FYI Its a must to mention ni sheria ipi unaitaja kwa ibara pindi unapoweka au ku-quote au kuitaja ibara na kifungu chake pia kusema ni sheria ipi ama katiba, ama sheria ya ardhi ya mwaka 1999, sheria ya ndoa ya mwaka 1972, national park ordinace cap (year) etc. I mean you have to mention the law and year in which was enacted or put in force. It is a must and not just mentioning ibara is not enough to detail. Sheria ni ngumu anyway kwa kuwa inahitaji umakini. Hata kama ni Jaji anapo-refer au ku-qoute lazima ataje ni sheria gani na ya mwaka gani na ibara ipi n.k.. OKEY!!! Kila mtu kumbuka anapaswa kujua sheria ili asivunje sheria. Thanks Kuhani once again for clarification

Naona umeongeza hicho kipande kwenye posti yako ya awali baada ya kuona nimekubali ile soft response yako ya kwanza. Sasa unaanza lugha za "for your information" sio ? Kukushukuru imekuwa tabu ?

Sikia we mtu:

Kwenye masuala ya Katiba na Sheria nikisema "Article 46 Immunities" mwenye macho haambiwi ona!! Inajulikana na wanaojua kwamba tunaongelea kinga za Rais za Kikatiba!!

Na hatuongelei sheria as legislative acts hapa, ambazo ndio huwa zinatajwa details zote za mwaka na vipengele. Unaponukuu Katiba hutaji mwaka kilichopitishwa hicho kipengele cha Katiba!

Sasa hizo ni cosmetics. Tuje kwenye subtantive issue at hand. Naomba unionyeshe ni wapi katika nilivyo elezea zile immunities nimeandika "umahoka" ? Mbona hujibu ?
 
Naona umeongeza hicho kipande kwenye posti yako ya awali baada ya kuona nimekubali ile soft response yako ya kwanza. Sasa unaanza lugha za "for your information" sio ? Kukushukuru imekuwa tabu ?

Sikia we mtu:

Kwenye masuala ya Katiba na Sheria nikisema "Article 46 Immunities" mwenye macho haambiwi ona!! Inajulikana na wanaojua kwamba tunaongelea kinga za Rais za Kikatiba!!

Na hatuongelei sheria as legislative acts hapa, ambazo ndio huwa zinatajwa details zote za mwaka na vipengele. Unaponukuu Katiba hutaji mwaka kilichopitishwa hicho kipengele cha Katiba!

Sasa hizo ni cosmetics. Tuje kwenye subtantive issue at hand. Naomba unionyeshe ni wapi katika nilivyo elezea zile immunities nimeandika "umahoka" ? Mbona hujibu ?


Thanks mkuu Kuhani. Umahoka uko hapo ibara ya 46 (3) ?????? Ulipaswa kusema ibara 46 (3) ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Huoni hata umahoka hapo? Mtu mzima kuonyeshwa si vizuri and I spared it. To admit something sometimes is a wisdom.

Thanks anyway we had a nice contribution from mkulu kuhani. We better get the ball rolling! Lets hear what others have to say about the thread and not the post. Hapo tutajua ikiwa nini inaweza kuwa mwanya wa kumburuza mahakamani rais mstaafu aliyefanya mambo mabovu kwa taifa.

Once again thanks Kuhani and do not worry let it go as it is!
 
Kosa alilolitenda Rais Mstaafu MH Mkapa halikuwa la utendaji.
Mkapa aliiba.
Ni utendaji upi unaomruhusu Rais wa nchi kuiba?
Ni maamuzi gani hayo ya kitaifa yanayoweza kupelekea Rais wa nchi akaiba bila kukusudia?
Mkapa ni mwizi kama wezi wa kuku, pochi mifukoni na vidani vya akina mama masikioni.
Sioni kinga yeyote ya kikatiba dhidi ya wizi alioufanya MH Mkapa akiwa rais wa nchi.

Kama tunaongelea woga wa nani anathubutu kumtia pingu Rais kwa sababu ya tabia zetu za kuhusudu na kuabudu vyeo,madaraka na pesa, sawa hilo nalikubali.

Ni vema kutaja vifungu vya katiba vinavyomlinda Rais mtaafu, pia ni vema kuchambua makosa ya jinai yaliyofanywa na MH Mkapa hatua kwa hatua ili kutoa utata unaojitokeza wa kudhani Rais Mtaafu anakinga ya kikatiba pale anapotumia madaraka kujiuzia shirika kwa bei ya kutupa na kushindwa kabisa kulipa 100% ya bei hiyo.

Woga wa kumwogopa mkapa hautofautiani na woga wa kushindwa kujitokeza hapa JF na kusema mimi nijiitaye MWM jina halisi ni MR NYOONGE PAVANU FYAVENEMAGANGA

UUUuups nisha taja jina langu bila kukusudia!!
 
Sioni kinga yeyote ya kikatiba dhidi ya wizi alioufanya MH Mkapa akiwa rais wa nchi.

Ni vema kutaja vifungu vya katiba vinavyomlinda Rais mtaafu, pia ni vema kuchambua makosa ya jinai yaliyofanywa na MH Mkapa hatua kwa hatua ili kutoa utata unaojitokeza wa kudhani Rais Mtaafu anakinga ya kikatiba pale anapotumia madaraka kujiuzia shirika kwa bei ya kutupa na kushindwa kabisa kulipa 100% ya bei hiyo.

Katiba haimlindi Mkapa dhidi ya kufanya ufisadi.

Lakini sheria inampa Kikwete nguvu ya kusema Mkapa apumzike.

Kwa hiyo sasa hivi kisheria serikali haiwezi kumshtaki Mkapa kwa sababu Rais ameshasema hataki ashitakiwe.

Na mtu binafsi akileta mashitaka serikali ina nguvu ya kufunga - na itafunga - mashitaka maana wameshasema hawataki ashtakiwe.
 
Back
Top Bottom