Mkapa above the law?: Allegations

Mkapa above the law?: Allegations

Unajua tuwe wa kweli kama tulikuwepo hapa Tanzania kwa kipindi chote Mkapa alichokuwa madarakani.
Unajua Mkapa kwa kiasi kikubwa katurudisha nyuma tofauti na kuanzia pale alipoachia Mwinyi;alikuja kufanya dili na watu wake kwa kivuli cha kuchapa kazi.Ndiyo maana mikataba yote ambayo haina maslahi kwa Taifa iimesainiwa katika kipindi chake cha uongozi na mbaya zaidi wanaonufaika na hiyo mikataba ni makampuni ya kigeni.
Wazawa katika miradi mikubwa hakuwapa nafasi na huku akiwadharau badala ya kuwawezesha ili waweze kumiliki miradi mikubwa ya kiuchumi kwa manufaa ya Taifa na siyo vinginevyo.
Huyu jamaa(Mkapa) alitokea kusifiwa sana na wazungu(Mataifa ya kigeni) lakini hiyo yote ilisababishwa na yeye mwenyewe kuwababaikia mno mpaka kufikia hatua ya kuwapa rasilimali za Taifa hili bila hata kutozwa kodi(Tax holiday);kwa maana hiyo ya kusifiwa na wageni kama mlikuwa hamjui ndiyo kigezo cha wengi kumuona alikuwa rais bora.
Halafu na yeye mwenyewe na watu wake wa karibu ikifuatilia kwa makini utagundua kwamba waligeuza nchi hii kama vilevile kampuni yao.
Hapa kuhusu Kikwete bado ana muda wa kuonyesha nini atatufanyia ukizingatia anatakiwa kurudisha nchi katika hali ya kuwa nchi na siyo kampuni.
Suala la kiongozi bora katika hawa Mkapa hakuna kitu na Kikwete kidogo afadhali kwasababu bado hajafikisha kipindi kama cha Mkapa katika haya madaraka ya urais;ila kama kuna watu wanasema Mkapa ni bora basi ni kwa vigezo vya wazungu ambao kwao ni mtu aliewamegea fedha kibao bureee wakati nchi yenyewe ni masikini kichizi.
 
Kitila Mkumbo mkuu kama ikiwezekana ningeomba uniwekee udhibitisho wa jinsi Mkapa alivyokuwa kiongozi bora...Naomba unielezee huo ubora wa uongozi wake tafadhali....Kwamba ni vigezo gani hasa ulitumia.
Ahsante.

Haya ni maoni yangu ambayo ni vigumu kuthibitisha empirically. Hata hivyo, tafuta vigezo vyovyote vya kiongozi bora uwapime hawa ndugu zetu wawili. Tatizo la Mkapa alikuwa hapendi mtu mwingine am-outshine, na nafikiri ni sababu moja ya kutuachia JK maana alijua siku ya siku tutamkumbuka sana. In fact ni aibu kulinganisha hawa viongozi wawili-moja ni monitor wa darasa la I na mwingine ni kiranja mkuu, haiji. Kwa maneno ya Mzee Mwinyi ni makosa kulinganisha mlima na kichuguu!

Labda kukusaidieni wale ambao wanasema matatizo ya leo yaliachwa na Mkapa. Yes, ni kweli kabisa. Sasa cha kujiuliza ni kwa nini tuyaone au tuyabebee bango leo? Kwa nini walimu na kila mtu anagoma leo na sio jana? Moja ya maelezo hapa ni kwamba mosi, Mkapa alikuwa na uwezo wa kushawishi kuhusu mipango na sera zake. Kama ni madai ya walimu yalikuwepo na walimu walielezwa sababu za kuchelewa kulipwa na wakaelewa, wakasubiri na wakalipwa. Kama ni wazee wa EAC walielezwa kwa nini wanalipwa wanavyolipwa na kwa nini wale ambao hawakulipwa hawakulipwa, walielewa, japokuwa waliendelea kunung'unika lakini walikubaliana. Uwezo wa kushawishi ni sifa muhimu ya kiongozi wa kisiasa ambayo hawa ndugu zetu wa leo wanapwaya mno. Wao wanafikiri wanaweza kutawala kwa amri, hawataweza. Bahati mbaya hii tabia chafu ya kutawala kwa amri inaelekea imesambaa kwenye taasisi zote hadi chini, ni hatari na haitawasaidia!

Pili, wakati wa Mkapa kila idara ilikuwa inafanya kazi. Kila waziri aliwajibika ipasavyo. Wanafunzi wa vyuo vikuu walipogoma watu walimnyooshea kidole waziri husika, na wala sio rais. Katika awamu zote tatu zilizopita kulikuwa na mawaziri vinara: Akina Sokoine wakati wa Nyerere, akina Mrema wakati wa Mwinyi na akina Magufuli wakati wa Mkapa. Leo hii mawaziri wote wanaonekana kama vile hawapo, na kila kitu kinamtegemea rais-hiyo ndiyo failure ya uongozi. Kwa nini mawaziri kipindi hiki hawafanyi kazi na kwa nini hakuna mawaziri vinara? Hakuna hatari kwa kiongozi kama kukumbatia majukumu yote na kutokuwaamini wale uliowateua, na hasa pale ambapo uwezo wa kiongozi mwenyewe ni mdogo!

Endeleeni kumshambulia Mkapa, lakini ukweli ni kwamba yeye alishafanya sehemu yake, tunataka hawa waliopo nao wafanye. Sasa kama barabara ya KM 5 ya Sam Nujoma inachukua zaidi ya miaka mitatu kukamilika-bado unatafuta uthibitisho kwamba hawa wenzetu wamekwama na akina Magufuli walikuwa bora mara 600 zaidi ya hawa akina...(hivi by the way waziri wa ujenzi siku hizi ni nani vile? Tazama hata majina ya mawaziri hatuyajui halafu utasema hawa wanafanya kazi?).
 
Haya ni maoni yangu ambayo ni vigumu kuthibitisha empirically. Hata hivyo, tafuta vigezo vyovyote vya kiongozi bora uwapime hawa ndugu zetu wawili. Tatizo la Mkapa alikuwa hapendi mtu mwingine am-outshine, na nafikiri ni sababu moja ya kutuachia JK maana alijua siku ya siku tutamkumbuka sana. In fact ni aibu kulinganisha hawa viongozi wawili-moja ni monitor wa darasa la I na mwingine ni kiranja mkuu, haiji. Kwa maneno ya Mzee Mwinyi ni makosa kulinganisha mlima na kichuguu!

Labda kukusaidieni wale ambao wanasema matatizo ya leo yaliachwa na Mkapa. Yes, ni kweli kabisa. Sasa cha kujiuliza ni kwa nini tuyaone au tuyabebee bango leo? Kwa nini walimu na kila mtu anagoma leo na sio jana? Moja ya maelezo hapa ni kwamba mosi, Mkapa alikuwa na uwezo wa kushawishi kuhusu mipango na sera zake. Kama ni madai ya walimu yalikuwepo na walimu walielezwa sababu za kuchelewa kulipwa na wakaelewa, wakasubiri na wakalipwa. Kama ni wazee wa EAC walielezwa kwa nini wanalipwa wanavyolipwa na kwa nini wale ambao hawakulipwa hawakulipwa, walielewa, japokuwa waliendelea kunung'unika lakini walikubaliana. Uwezo wa kushawishi ni sifa muhimu ya kiongozi wa kisiasa ambayo hawa ndugu zetu wa leo wanapwaya mno. Wao wanafikiri wanaweza kutawala kwa amri, hawataweza. Bahati mbaya hii tabia chafu ya kutawala kwa amri inaelekea imesambaa kwenye taasisi zote hadi chini, ni hatari na haitawasaidia!

Pili, wakati wa Mkapa kila idara ilikuwa inafanya kazi. Kila waziri aliwajibika ipasavyo. Wanafunzi wa vyuo vikuu walipogoma watu walimnyooshea kidole waziri husika, na wala sio rais. Katika awamu zote tatu zilizopita kulikuwa na mawaziri vinara: Akina Sokoine wakati wa Nyerere, akina Mrema wakati wa Mwinyi na akina Magufuli wakati wa Mkapa. Leo hii mawaziri wote wanaonekana kama vile hawapo, na kila kitu kinamtegemea rais-hiyo ndiyo failure ya uongozi. Kwa nini mawaziri kipindi hiki hawafanyi kazi na kwa nini hakuna mawaziri vinara? Hakuna hatari kwa kiongozi kama kukumbatia majukumu yote na kutokuwaamini wale uliowateua, na hasa pale ambapo uwezo wa kiongozi mwenyewe ni mdogo!

Endeleeni kumshambulia Mkapa, lakini ukweli ni kwamba yeye alishafanya sehemu yake, tunataka hawa waliopo nao wafanye. Sasa kama barabara ya KM 5 ya Sam Nujoma inachukua zaidi ya miaka mitatu kukamilika-bado unatafuta uthibitisho kwamba hawa wenzetu wamekwama na akina Magufuli walikuwa bora mara 600 zaidi ya hawa akina...(hivi by the way waziri wa ujenzi siku hizi ni nani vile? Tazama hata majina ya mawaziri hatuyajui halafu utasema hawa wanafanya kazi?).

Kaka Kitila,

Hapo kwenye bold ni kitu ambacho wengi kwenye serikali ya Kikwete hadi leo wameshindwa kabisa kukiona. Labda kwa makosa au kwa makusudi, serikali ya Kikwete inaonekana kama vile ni ya mtu mmoja - Kikwete. Mawaziri wote ni kama vile hawapo, haijulikani nani anafanya nini, na nani anawajibika kwa lipi.

Mwisho wa siku, Kikwete anaonekana kama ameshindwa kazi maana kila kitu kinamtegemea yeye kukishughulikia. No matter mawazo au utetezi kwa niaba yake unaowekwa, Kikwete anaonekana kutoimudu kazi yake ya kuongoza - by the way - jukumu la Kikwete kama kiongozi ni kushawishi (influence) watu wa chini yake kufanya kazi zao.
 
Hihihihihihihiiiiii....Miafrika huwa haiachi kunishangaza!! Yaani hapa ipo inabishania eti nani alikuwa kiongozi bora zaidi kuliko mwenzake. Tokea kabla sijawa hata tekenyo katika kende za mdingi wangu Afrika lilikuwa bara masikini. Nilipozaliwa nikaikuta Afrika iko hivyo hivyo ilivyokuwa kabla sijazaliwa. Utotoni, ujanani, na sasa kwenye utu uzima Afrika bado iko vile vile....ya mwisho katika karibu kila kitu!! Sasa kwa nini Miafrika ya humu JF iko mstari wa mbele kulaumu viongozi? Kwani maendeleo yanaletwa na raisi peke yake? Miafrika ya humu JF yenyewe imewahi kufanya nini katika kuleta maendeleo? Na hapa nazungumzia maendeleo yaonekanayo kama vile kuvumbua limashine flani litakaloboresha na kurahisisha maisha kwa namna moja au ingine na kadhalika. Nazungumzia maendeleo ya kweli yanayoonekana kwa macho na kugusika na siyo yale ya kwenye makaratasi.

Nyinyi Miafrika ya humu zaidi ya kupiga soga, kulaumu, na kuandika andika mmefanya yapi katika kuleta maendeleo? Kuna kati yenu alitengeza labda limashine litakalo pampu maji safi ya bomba kutoka baharini kwenda kwa wananchi? Au mnaendelea tu kuchonga domo huku watu wakichota na kutumia maji ya kisimani....

Msiniulize kuhusu mimi kwani mimi sina uwezo wa kiakili wa kuvumbua kitu chochote...
 
Hihihihihihihiiiiii....Miafrika huwa haiachi kunishangaza!! Yaani hapa ipo inabishania eti nani alikuwa kiongozi bora zaidi kuliko mwenzake. Tokea kabla sijawa hata tekenyo katika kende za mdingi wangu Afrika lilikuwa bara masikini. Nilipozaliwa nikaikuta Afrika iko hivyo hivyo ilivyokuwa kabla sijazaliwa. Utotoni, ujanani, na sasa kwenye utu uzima Afrika bado iko vile vile....ya mwisho katika karibu kila kitu!! Sasa kwa nini Miafrika ya humu JF iko mstari wa mbele kulaumu viongozi? Kwani maendeleo yanaletwa na raisi peke yake? Miafrika ya humu JF yenyewe imewahi kufanya nini katika kuleta maendeleo? Na hapa nazungumzia maendeleo yaonekanayo kama vile kuvumbua limashine flani litakaloboresha na kurahisisha maisha kwa namna moja au ingine na kadhalika. Nazungumzia maendeleo ya kweli yanayoonekana kwa macho na kugusika na siyo yale ya kwenye makaratasi.

Nyinyi Miafrika ya humu zaidi ya kupiga soga, kulaumu, na kuandika andika mmefanya yapi katika kuleta maendeleo? Kuna kati yenu alitengeza labda limashine litakalo pampu maji safi ya bomba kutoka baharini kwenda kwa wananchi? Au mnaendelea tu kuchonga domo huku watu wakichota na kutumia maji ya kisimani....

Msiniulize kuhusu mimi kwani mimi sina uwezo wa kiakili wa kuvumbua kitu chochote...

Nyani Ngabu.....

miafrika kama mimi ambayo inapiga soga hapa, imekuta hali hiyo hiyo ambayo umeieleza hapo. Na bila kuweka exception, miafrika hiyo imejaa imani kuwa ni muda mchache umesalia kabla Musa na Haruni hawajatokea na kuiongoza hii miafrika toka utumwani.

Katika kutafuta nini kifanyike, miafrika hii imekutana hapa bila kujali kuwa miaka karibu ya mia mbili toka mkutano wa kuigawa Afrika - kule Germany, bado hakuna chochote kilichofanyika kuitoa hii miafrika utumwani.

Kama watoto wa Yakobo (waisraeli) walivyokuwa wakitafuta namna ya kutoka utumwani kwa zaidi ya miaka 400 kule Egypt, miafrika hii itaendelea kupiga soga hapa mpaka impate Musa wao ili aiambie cha kufanya.

Zaidi ya hapo, mimi ni miongoni mwa hii miafrika ambayo haioni aibu wala kujuta kuwa hapa "kupiga soga".
 
Nyani Ngabu.....

miafrika kama mimi ambayo inapiga soga hapa, imekuta hali hiyo hiyo ambayo umeieleza hapo. Na bila kuweka exception, miafrika hiyo imejaa imani kuwa ni muda mchache umesalia kabla Musa na Haruni hawajatokea na kuiongoza hii miafrika toka utumwani.

Katika kutafuta nini kifanyike, miafrika hii imekutana hapa bila kujali kuwa miaka karibu ya mia mbili toka mkutano wa kuigawa Afrika - kule Germany, bado hakuna chochote kilichofanyika kuitoa hii miafrika utumwani.

Kama watoto wa Yakobo (waisraeli) walivyokuwa wakitafuta namna ya kutoka utumwani kwa zaidi ya miaka 400 kule Egypt, miafrika hii itaendelea kupiga soga hapa mpaka impate Musa wao ili aiambie cha kufanya.

Zaidi ya hapo, mimi ni miongoni mwa hii miafrika ambayo haioni aibu wala kujuta kuwa hapa "kupiga soga".

Kweli Miafrika Ndivyo Tulivyo!!!
 
Nyinyi Miafrika ya humu zaidi ya kupiga soga, kulaumu, na kuandika andika mmefanya yapi katika kuleta maendeleo? ..

Wewe vipi, hujui kuwa miafrika hii ya JF ndiyo iliyogundua JF machine ambayo na wewe unajidai leo kupiga soga? Nikutajie lingine?
 
Wewe vipi, hujui kuwa miafrika hii ya JF ndiyo iliyogundua JF machine ambayo na wewe unajidai leo kupiga soga? Nikutajie lingine?

Hebu acha kuongea kama umelewa kangala bana....unataka kunambia Liafrika ndilo lilillogungua world wide web na intaneti?

Au unataka kunambia zile ndege za ATC zinazorusha watu kutoka Dar kwenda mikoani na marubani wa Kitanzania na zenyewe zimegunduliwa na Miafrika?
 
Hebu msikilize Kiongozi Mkapa hapa

[media]http://www.youtube.com/watch?v=R8CF4EoXjD0[/media]

na hebu msikilize Mtawala Kikwete hapa

[media]http://www.youtube.com/watch?v=EmFoqluAmS4[/media]
swali katika muda 33:30 JK anajibu 57:55 - 59:30
msikilize pia katika muda 1:11:30 msikilize pia yule Foreign Minister wa Nigeria

sikiliza swali katika muda 1:18:50 then jump to 1:27:18 msikilize yule Mnigeria halafu msikilize JK at 1:29:05
 
If the issue is comparison, at the risk of sounding Yogi Berra-ish, we have never had a best president we ever had!
 
Hebu msikilize Kiongozi Mkapa hapa

[media]http://www.youtube.com/watch?v=R8CF4EoXjD0[/media]

na hebu msikilize Mtawala Kikwete hapa

[media]http://www.youtube.com/watch?v=EmFoqluAmS4[/media]
swali katika muda 33:30 JK anajibu 57:55 - 59:30
msikilize pia katika muda 1:11:30 msikilize pia yule Foreign Minister wa Nigeria

sikiliza swali katika muda 1:18:50 then jump to 1:27:18 msikilize yule Mnigeria halafu msikilize JK at 1:29:05


Great! "All has been said"!
 
Absolutely not! Look at us here in this forum....


So are we merely lauding rhetoric and sophistry?

Who is the bigger failure, the failed genius or the failed yokel? Noblesse Oblige should apply.
 
So are we merely lauding rhetoric and sophistry?

Who is the bigger failure, the failed genius or the failed yokel? Noblesse Oblige should apply.

Hahahahahaaa....Noblesse Oblige....I like that....It took me back to my advanced French class....nevertheless, wish granted.

How can the yokel fail? Isn't being a yokel a failure to begin with?
 
Hahahahahaaa....Noblesse Oblige....I like that....I took me back to my advanced French class....nevertheless, wish granted.

How can the yokel fail? Isn't being a yokel a failure to begin with?

That's my point, people are pounding on Kikwete while he is an established failure, was so before he became president and has consistently maintained that position, so it is a bit unfair to applaud the likes of Mkapa and Nyerere in comparison with Kikwete.This is true with Mwinyi to a certain extent.

On the same page, the notable prodigies, Nyerere and Mkapa, also failed miserably despite their reputations. So between the prodigies and the yokels, who had the hardest fall?

The moral behind Noblesse Oblige demands the duty to protect by nobility, in the sense that "From who much is given, much shall be required" kwa hiyo mi genius yetu kina Nyerere na Mkapa kwa sababu ilipewa uwezo mkubwa, standards zetu zitegemee makubwa kutoka kwao.Huyu Mkwere wa Chalinze hata msitake kumshikia bango sana wala nini, mtoeni tu anaharibu nchi, hafai hata kuzungumzwa kwani hana cha maana alichofanya.

Frankly speaking baada ya Mwinyi mimi nilifikiri Tanzania haitaweza kuwa na rais atakayeipeleka any lower, lakini Kikwete ameweza kutuzamisha lower than Mwinyi.
 
That's my point, people are pounding on Kikwete while he is an established failure, was so before he became president and has consistently maintained that position, so it is a bit unfair to applaud the likes of Mkapa and Nyerere in comparison with Kikwete.This is true with Mwinyi to a certain extent.

On the same page, the notable prodigies, Nyerere and Mkapa, also failed miserably despite their reputations. So between the prodigies and the yokels, who had the hardest fall?

The moral behind Noblesse Oblige demands the duty to protect by nobility, in the sense that "From who much is given, much shall be required" kwa hiyo mi genius yetu kina Nyerere na Mkapa kwa sababu ilipewa uwezo mkubwa, standards zetu zitegemee makubwa kutoka kwao.Huyu Mkwere wa Chalinze hata msitake kumshikia bango sana wala nini, mtoeni tu anaharibu nchi, hafai hata kuzungumzwa kwani hana cha maana alichofanya.

Frankly speaking baada ya Mwinyi mimi nilifikiri Tanzania haitaweza kuwa na rais atakayeipeleka any lower, lakini Kikwete ameweza kutuzamisha lower than Mwinyi.


The summary I have been waiting for. It will be insane, thereafter, to discuss this guy's failure.
 
Back
Top Bottom