Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,803
- 71,229
Bora hata angepewa Nyanza road hata akichakachua na kujenga chini ya kiwango lakini ni wa hapa hapa
Umesema jambo la msingi sana. Kampuni hii haingeshindwa kujenga 26km hata kidogo. Na fedha ambazo ingelipwa bado zingekuwa zinazunguka humuhumu. Lakini ndio hivyo nchi hii wazawa hawatakiwi kabisa kuendelezwa.
Sent from my iPad using JamiiForums