Kuna jamaa namfahamu ambaye ndio aliowaleta Strada Tanzania toka uingereza kama local Partner,alizunguka hizo nchi zote kuwahonga maafisa husika,ili wajumbe wa TANROADS wakienda waambiwe kweli strada walifanya hizo kazi. Pia TANROADS pia walikatiwa sehemu ya hizo pesa, kama milioni mia saba hivi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.