Mkandarasi achota 3bn advance akimbia! Alipewa kujenga km 26 za lami wakati hana ujuzi wowote...

Mimi ni mdau wa hii barabara katika majukumu yetu ya kuja chimbo.

Utafikiri ni barabara inayoenda kwenye kiwanda cha gongo badala ya kwenda kwenye machimbo ya madini yanayo patikana Tanzania tu ya Tanzanite.

Nibora haya madini yangekuwa kwa Obama , Kenya au Nchi yoyote makini na rasilimali zake.
Barabara ya lami inaishia uwanja wa KIA .Uwanja ni wa muhimu lakini hata Tanzanite inatakiwa kutendewa haki sanjari na rasilimali zingine za nchi.

Tunaweza kufurahia rasilimali ya nchi hii kumbe ni kwa manufaa ya wachache wa nchi hii na wageni pia. Gesi na mengineyo yatakuwa mfano pia.
 
Ndugu wanaJF,

Waziri John Magufuli alipokuwa akisoma bajeti ya Wizara yake alisema contractor wa barabara ya kutoka KIA kwenda Mererani amefukuzwa kutokana na utendaji mbovu. Hakuendelea na detail yeyote ile kuhusu huo mradi, huenda hakutaka watu wajue zaidi au yeye mwenyewe hajui kilichotoekea.

Ukweli ni huu:
Kampuni iliyopewa kazi ya kujenga hiyo barabara inaitwa Strada International iliyoonyesha ina Makao Makuu yake UK. Ukubwa wa mradi ulikuwa ni km 26 za kiwango cha lami na gharama za mradi jumla ni 26bn.

Contractor alipewa advance payment ya takribani 3bn (am not sure ila ni kati ya 2.5 mpaka 3.2). Baada ya kupewa hiyo pesa contractor huyu ambae asili yake ni singa singa hakufanya chochote toka mwezi wa 5 mwaka jana mpaka mwezi wa kwanza mwaka huu. Zaidi alisafisha barabara mita 600 tu ambayo ni hatua ya mwanzo kabisa. Hata kujenga camp yake alishindwa, na mbaya zaidi hakuwa na vifaa vya kufanyia kazi. Alinunua grade 2 za kichina na hela hakumalizia kulipa. Mradi ulitakiwa kuwa na zaidi ya tipper 25 lakini alikuwa na tipa 2 za kukodi. Pamoja na kampuni ya usimamizi ya LEA kutoa vielelezo toka mwezi wa 10 kwamba Contractor hana uwezo wa kufanya kazi, aliendelea kulelewa mpaka mwezi January alipokimbia.

UFAKE WA KAMPUNI HII
Inashangaza kuona kampuni ya kigeni ambayo ni ya kisanii imepewa tenda ya kujenga km 26 za rami ambazo ni sh 26bn wakati kampuni hii haijawahi kujenga hata mita 5 za changarawe. Hii kampuni haijawah kufanya mradi wowote wa barabara, lakini walisubmit Company Profile iliyoomyesha wamejenga barabara Sudan, Ghana, Msumbiji, Ethiopia, Qatar, UK na Namibia. Kabla ya kupewa huu mradi kwa kuwa ni kampuni mpya tanroads huwa na utaratibu wa kujiridhisha kwa kupeleka wajumbe baadhi ya nchi kwwnda kuona miradi iliyofanywa na hiyo kampuni. TANROADS ilituma wajumbe ghana na msumbiji, na wajumbu hao walirud na report ya kuonyesha kwamba ni kweli walifanya na mbaya zaidi walirudi mpaka na ripoti za idara na mamlaka za barabara ktk nchi husika kwamba hiyo kampuni ilifanya kazi huko (Kitu ambacho si kweli, wajumbe walihongwa na kuchakachua report zote za Msumbiji na Ghana kwamba kampuni ilifanya kazi huko na kukamilika).

HASARA KWA SERIKALI

Serikali imepata hasara kubwa katika maeneo makuu matatu:

1. Adnvace pyament ya 3bn. Serikali imeambulia grader 2 za kichina zisizo na thamani ya zaid ya milioni 200.

2. Gharama za kumlipa mhandisi msimamizi kwa zaidi ya miezi sita aliyokaa. Ambapo ni zaidi ya million 700.

3. Kuandaa tender upya ambapo gharama za mradi lazima zipande kutokana na kupanda kwa maisha. Maana 26bn ni tender iliyotangazwa mwaka 2012.

NINI KILITOKEA MPAKA STRADA IKAKIMBIA

Katika hali ya kusuasua alikokuonyesha, serikali ilianza kuichunguza hii kampuni kwa undani zaidi maana hata wale waliokuwa wamekula hela kwa kuipa kazi hii kampuni ilionekana wanashindwa kuibeba. Serikali ikagundua kumbe hata bank guarantee iliyowekwa ni feki! Hiyo bank ilikana kuijua hiyo kampuni hii na hapo ndipo serikali ilipochanganyikiwa maana mdhamini aliyewekwa ili kama mambo yakiwa sivyo yeye ndo alipe fidia haijui hiyo kampuni. Watu hao hao wa TANROADS waliokula dili hilo wakamshtua mteja wao kwamba serikali imeshtukia mchezo na jamaa akakimbia mpaka leo.

Kuonyesha kampuni ilikua ni ya kitapeli, ilikopa mpaka furniture za ofisi. Vitendea kazi kama computers na printers walikopa duka la Compcat hapo Arusha. Ana deni kubwa la milion ka 200 hivi kutoka kwa NSK. Wafanyakaz wanadai mishahara ya mwezi wa kumi na mbili ma wa kwanza na hapo ni baada ya kugoma kwa wiki nzima na kumtumia mkuu wa Wilaya na mbunge mh Lema kumpigia simu ndipo alilipa deni la mwezi wa 10 na 11.

EXIM WANUSIRIKA

Bank ya Exim ilibakia kidogo tu nayo itapeliwe baada ya hiyo kampuni ku-process mkopo wa milion 450. Katika hali iliyoonyesha bahati kwa Exim, walichunguza kabla ya kutoa hizo hela maana walikuwa tayari wameshajiridhisha kwa asset zilizowekwa ambazo miongoni mwao ndo zile grader ambazo sasa serikali imezizuia kupitia TANROADS Arusha.

KAULI SAHIHI

Ukweli ni kwamba mkandarasi Strada alikimbia mwenyewe na si serikali kumfukuza. Na amekimbia baada ya kuona ukweli kuhusu kampuni yake kufoji vitu umejulikana. Lakini wameondoka na faida kubwa na kuitia hasara serikali. Maana ktk 3bn, alizotumia Bongo hazifiki hata 1.5bn mpaka anaondoka.

NANI WA KUWAJIBISHWA

Kitengo cha Procurement cha TANROADS lazima kiwajibike kwa hili maana walifanya Investigation kwa hii kampuni na kutoa report za uwongo. Maana huwezi kuniambia walivyoenda Ghana na Msumbiji walidanganywa na hizo mamlaka kuhusu kampuni hii. Na pia bank guarantee walishindwa ku-confirm kabla. Hili swala lilifanyika wakiwa wanajua dhahili ukweli kuhusu kampuni hii.

Na ningependa kuona Magufuli akilitolea ufafanuzi swala hili na hatua zilizochukuliwa kwa watendaji waliosaidia kuidanganya serikali. Na pia mbunge husika, Olesendeka na ningependa ajue kuhusu hili maana barabara ipo jimboni mwake.

Nawakilisha.


Waziri John Magufuli alipokuwa akisoma bajeti ya Wizara yake alisema contractor wa barabara ya kutoka KIA kwenda Mererani amefukuzwa kutokana na utendaji mbovu. Hakuendelea na detail yeyote ile kuhusu huo mradi, huenda hakutaka watu wajue zaidi au yeye mwenyewe hajui kilichotoekea.

Kandarasi huyu ni kweli alifukuzwa na ilikuwa tarehe 18.02.2014, mimi nilikuwa mfanyakazi wa kampuni hii najua A-Z kuliko ujuavyo!


Ukweli ni huu:
Kampuni iliyopewa kazi ya kujenga hiyo barabara inaitwa Strada International iliyoonyesha ina Makao Makuu yake UK. Ukubwa wa mradi ulikuwa ni km 26 za kiwango cha lami na gharama za mradi jumla ni 26bn.

Acha kupotosha , gharama za mradi ni Tshs 22.0 bn

Contractor alipewa advance payment ya takribani 3bn (am not sure ila ni kati ya 2.5 mpaka 3.2).

Huna uhakika na unachotaja - jifunze kutafuta genuine information, ni kuwa alipewa advance payment tsh 3.252bn

Baada ya kupewa hiyo pesa contractor huyu ambae asili yake ni singa singa hakufanya chochote toka mwezi wa 5 mwaka jana mpaka mwezi wa kwanza mwaka huu. Zaidi alisafisha barabara mita 600 tu ambayo ni hatua ya mwanzo kabisa.

Unababaisha na kujichanganya au umbulula? (hakufanya chochote vs alisafisha barabara mita 600 ???), ukweli
Clearing and grubbing + G3 Improved subgrade layers

Hata kujenga camp yake alishindwa, na mbaya zaidi hakuwa na vifaa vya kufanyia kazi. Alinunua grade 2 za kichina na hela hakumalizia kulipa. Mradi ulitakiwa kuwa na zaidi ya tipper 25 lakini alikuwa na tipa 2 za kukodi. Pamoja na kampuni ya usimamizi ya LEA kutoa vielelezo toka mwezi wa 10 kwamba Contractor hana uwezo wa kufanya kazi, aliendelea kulelewa mpaka mwezi January alipokimbia.

Ni kweli tulianza kujenga camp lakini haikumalizika

UFAKE WA KAMPUNI HII

Inashangaza kuona kampuni ya kigeni ambayo ni ya kisanii imepewa tenda ya kujenga km 26 za rami ambazo ni sh 26bn wakati kampuni hii haijawahi kujenga hata mita 5 za changarawe. Hii kampuni haijawah kufanya mradi wowote wa barabara, lakini walisubmit Company Profile iliyoomyesha wamejenga barabara Sudan, Ghana, Msumbiji, Ethiopia, Qatar, UK na Namibia. Kabla ya kupewa huu mradi kwa kuwa ni kampuni mpya tanroads huwa na utaratibu wa kujiridhisha kwa kupeleka wajumbe baadhi ya nchi kwwnda kuona miradi iliyofanywa na hiyo kampuni. TANROADS ilituma wajumbe ghana na msumbiji, na wajumbu hao walirud na report ya kuonyesha kwamba ni kweli walifanya na mbaya zaidi walirudi mpaka na ripoti za idara na mamlaka za barabara ktk nchi husika kwamba hiyo kampuni ilifanya kazi huko (Kitu ambacho si kweli, wajumbe walihongwa na kuchakachua report zote za Msumbiji na Ghana kwamba kampuni ilifanya kazi huko na kukamilika).

No reserach no Rigth to Speak!! 1. Kampuni hii ilikuwa na sifa stahiki na imeshajenga barabara za lami huko Malawi na South Sudan, 2. Upotoshaji mkubwa hapa, ukweli ni huu hapa: Due diligence ilifanyika katika nchi za Malawi na South Sudan wala si Ghana na Msumbiji. Taarifa zote zipo katika balozi za South Sudan na Malawi na waweza zipata kiurahisi tu! mimi ni mzalendo na nimefuatilia sakata hili mpaka lilipo sasa kwa kuwa ninadai malipo yangu kwa mkandarasi huyu.


HASARA KWA SERIKALI

Serikali imepata hasara kubwa katika maeneo makuu matatu:

1. Adnvace pyament ya 3bn. Serikali imeambulia grader 2 za kichina zisizo na thamani ya zaid ya milioni 200.

Uongo mwingine, ukweli ni kuwa TANROADS imekamata 6 bulldozer, 7 tipper truck (kila moja ni tani kumi) zote hizi zimekamatwa bandarini Dar es Salaam zilikuwa zimeagizwa na Mkandarasi (kwa taarifa za ndani ni kuwa Kandarasi alitaka kuzitoroshea banadari ya Mombasa ili kukwepa msala) na mitambo mingine iliyokuwepo site. Na haya yote yamefanyika kwa mujibu wa mkataba.

2. Gharama za kumlipa mhandisi msimamizi kwa zaidi ya miezi sita aliyokaa. Ambapo ni zaidi ya million 700.

Upuuzi mtupu - no substance hapa

3. Kuandaa tender upya ambapo gharama za mradi lazima zipande kutokana na kupanda kwa maisha. Maana 26bn ni tender iliyotangazwa mwaka 2012.

NINI KILITOKEA MPAKA STRADA IKAKIMBIA

Katika hali ya kusuasua alikokuonyesha, serikali ilianza kuichunguza hii kampuni kwa undani zaidi maana hata wale waliokuwa wamekula hela kwa kuipa kazi hii kampuni ilionekana wanashindwa kuibeba. Serikali ikagundua kumbe hata bank guarantee iliyowekwa ni feki! Hiyo bank ilikana kuijua hiyo kampuni hii na hapo ndipo serikali ilipochanganyikiwa maana mdhamini aliyewekwa ili kama mambo yakiwa sivyo yeye ndo alipe fidia haijui hiyo kampuni. Watu hao hao wa TANROADS waliokula dili hilo wakamshtua mteja wao kwamba serikali imeshtukia mchezo na jamaa akakimbia mpaka leo.

Kwa taarifa yako - Bank Gurantee ni genuine na tena ni ya benki ya Barclys ya Uingereza (British multinational banking) ambapo TANROADS wanadai hela yao kulingana na mkataba unavyosema. Hii ni kwa sabababu Mkandarasi amemisbehave kimkataba.

Kuonyesha kampuni ilikua ni ya kitapeli, ilikopa mpaka furniture za ofisi. Vitendea kazi kama computers na printers walikopa duka la Compcat hapo Arusha. Ana deni kubwa la milion ka 200 hivi kutoka kwa NSK. Wafanyakaz wanadai mishahara ya mwezi wa kumi na mbili ma wa kwanza na hapo ni baada ya kugoma kwa wiki nzima na kumtumia mkuu wa Wilaya na mbunge mh Lema kumpigia simu ndipo alilipa deni la mwezi wa 10 na 11.


EXIM WANUSIRIKA

Bank ya Exim ilibakia kidogo tu nayo itapeliwe baada ya hiyo kampuni ku-process mkopo wa milion 450. Katika hali iliyoonyesha bahati kwa Exim, walichunguza kabla ya kutoa hizo hela maana walikuwa tayari wameshajiridhisha kwa asset zilizowekwa ambazo miongoni mwao ndo zile grader ambazo sasa serikali imezizuia kupitia TANROADS Arusha.

KAULI SAHIHI

Ukweli ni kwamba mkandarasi Strada alikimbia mwenyewe na si serikali kumfukuza. Na amekimbia baada ya kuona ukweli kuhusu kampuni yake kufoji vitu umejulikana. Lakini wameondoka na faida kubwa na kuitia hasara serikali. Maana ktk 3bn, alizotumia Bongo hazifiki hata 1.5bn mpaka anaondoka.

Ukweli: mkandarasi hakukimbia bali amefukuzwa kwa mkataba kusitishwa mnamo tarehe 18.02.2014, ukiambiwa kitu changanya na zako usimeze kama dodoki.

NANI WA KUWAJIBISHWA

Kitengo cha Procurement cha TANROADS lazima kiwajibike kwa hili maana walifanya Investigation kwa hii kampuni na kutoa report za uwongo. Maana huwezi kuniambia walivyoenda Ghana na Msumbiji walidanganywa na hizo mamlaka kuhusu kampuni hii. Na pia bank guarantee walishindwa ku-confirm kabla. Hili swala lilifanyika wakiwa wanajua dhahili ukweli kuhusu kampuni hii.

Na ningependa kuona Magufuli akilitolea ufafanuzi swala hili na hatua zilizochukuliwa kwa watendaji waliosaidia kuidanganya serikali. Na pia mbunge husika, Olesendeka na ningependa ajue kuhusu hili maana barabara ipo jimboni mwake.

 
Nikifika hapo ndipo namwona Kagame ni kitwa maana makampuni yote yanayochukua tenda kubwa hasa za ujenzi wa barabara ni za jeshi la nchi yake. Sasa fika Rwanda huone jamaa alivyoijenga nchi yake na nyie mnakalia majungu tuu,
 
Ndugu wanaJF,

Waziri John Magufuli alipokuwa akisoma bajeti ya Wizara yake alisema contractor wa barabara ya kutoka KIA kwenda Mererani amefukuzwa kutokana na utendaji mbovu. Hakuendelea na detail yeyote ile kuhusu huo mradi, huenda hakutaka watu wajue zaidi au yeye mwenyewe hajui kilichotoekea.

Ukweli ni huu:
Kampuni iliyopewa kazi ya kujenga hiyo barabara inaitwa Strada International iliyoonyesha ina Makao Makuu yake UK. Ukubwa wa mradi ulikuwa ni km 26 za kiwango cha lami na gharama za mradi jumla ni 26bn.

Contractor alipewa advance payment ya takribani 3bn (am not sure ila ni kati ya 2.5 mpaka 3.2). Baada ya kupewa hiyo pesa contractor huyu ambae asili yake ni singa singa hakufanya chochote toka mwezi wa 5 mwaka jana mpaka mwezi wa kwanza mwaka huu. Zaidi alisafisha barabara mita 600 tu ambayo ni hatua ya mwanzo kabisa. Hata kujenga camp yake alishindwa, na mbaya zaidi hakuwa na vifaa vya kufanyia kazi. Alinunua grade 2 za kichina na hela hakumalizia kulipa. Mradi ulitakiwa kuwa na zaidi ya tipper 25 lakini alikuwa na tipa 2 za kukodi. Pamoja na kampuni ya usimamizi ya LEA kutoa vielelezo toka mwezi wa 10 kwamba Contractor hana uwezo wa kufanya kazi, aliendelea kulelewa mpaka mwezi January alipokimbia.

UFAKE WA KAMPUNI HII
Inashangaza kuona kampuni ya kigeni ambayo ni ya kisanii imepewa tenda ya kujenga km 26 za rami ambazo ni sh 26bn wakati kampuni hii haijawahi kujenga hata mita 5 za changarawe. Hii kampuni haijawah kufanya mradi wowote wa barabara, lakini walisubmit Company Profile iliyoomyesha wamejenga barabara Sudan, Ghana, Msumbiji, Ethiopia, Qatar, UK na Namibia. Kabla ya kupewa huu mradi kwa kuwa ni kampuni mpya tanroads huwa na utaratibu wa kujiridhisha kwa kupeleka wajumbe baadhi ya nchi kwwnda kuona miradi iliyofanywa na hiyo kampuni. TANROADS ilituma wajumbe ghana na msumbiji, na wajumbu hao walirud na report ya kuonyesha kwamba ni kweli walifanya na mbaya zaidi walirudi mpaka na ripoti za idara na mamlaka za barabara ktk nchi husika kwamba hiyo kampuni ilifanya kazi huko (Kitu ambacho si kweli, wajumbe walihongwa na kuchakachua report zote za Msumbiji na Ghana kwamba kampuni ilifanya kazi huko na kukamilika).

HASARA KWA SERIKALI

Serikali imepata hasara kubwa katika maeneo makuu matatu:

1. Adnvace pyament ya 3bn. Serikali imeambulia grader 2 za kichina zisizo na thamani ya zaid ya milioni 200.

2. Gharama za kumlipa mhandisi msimamizi kwa zaidi ya miezi sita aliyokaa. Ambapo ni zaidi ya million 700.

3. Kuandaa tender upya ambapo gharama za mradi lazima zipande kutokana na kupanda kwa maisha. Maana 26bn ni tender iliyotangazwa mwaka 2012.

NINI KILITOKEA MPAKA STRADA IKAKIMBIA

Katika hali ya kusuasua alikokuonyesha, serikali ilianza kuichunguza hii kampuni kwa undani zaidi maana hata wale waliokuwa wamekula hela kwa kuipa kazi hii kampuni ilionekana wanashindwa kuibeba. Serikali ikagundua kumbe hata bank guarantee iliyowekwa ni feki! Hiyo bank ilikana kuijua hiyo kampuni hii na hapo ndipo serikali ilipochanganyikiwa maana mdhamini aliyewekwa ili kama mambo yakiwa sivyo yeye ndo alipe fidia haijui hiyo kampuni. Watu hao hao wa TANROADS waliokula dili hilo wakamshtua mteja wao kwamba serikali imeshtukia mchezo na jamaa akakimbia mpaka leo.

Kuonyesha kampuni ilikua ni ya kitapeli, ilikopa mpaka furniture za ofisi. Vitendea kazi kama computers na printers walikopa duka la Compcat hapo Arusha. Ana deni kubwa la milion ka 200 hivi kutoka kwa NSK. Wafanyakaz wanadai mishahara ya mwezi wa kumi na mbili ma wa kwanza na hapo ni baada ya kugoma kwa wiki nzima na kumtumia mkuu wa Wilaya na mbunge mh Lema kumpigia simu ndipo alilipa deni la mwezi wa 10 na 11.

EXIM WANUSIRIKA

Bank ya Exim ilibakia kidogo tu nayo itapeliwe baada ya hiyo kampuni ku-process mkopo wa milion 450. Katika hali iliyoonyesha bahati kwa Exim, walichunguza kabla ya kutoa hizo hela maana walikuwa tayari wameshajiridhisha kwa asset zilizowekwa ambazo miongoni mwao ndo zile grader ambazo sasa serikali imezizuia kupitia TANROADS Arusha.

KAULI SAHIHI

Ukweli ni kwamba mkandarasi Strada alikimbia mwenyewe na si serikali kumfukuza. Na amekimbia baada ya kuona ukweli kuhusu kampuni yake kufoji vitu umejulikana. Lakini wameondoka na faida kubwa na kuitia hasara serikali. Maana ktk 3bn, alizotumia Bongo hazifiki hata 1.5bn mpaka anaondoka.

NANI WA KUWAJIBISHWA

Kitengo cha Procurement cha TANROADS lazima kiwajibike kwa hili maana walifanya Investigation kwa hii kampuni na kutoa report za uwongo. Maana huwezi kuniambia walivyoenda Ghana na Msumbiji walidanganywa na hizo mamlaka kuhusu kampuni hii. Na pia bank guarantee walishindwa ku-confirm kabla. Hili swala lilifanyika wakiwa wanajua dhahili ukweli kuhusu kampuni hii.

Na ningependa kuona Magufuli akilitolea ufafanuzi swala hili na hatua zilizochukuliwa kwa watendaji waliosaidia kuidanganya serikali. Na pia mbunge husika, Olesendeka na ningependa ajue kuhusu hili maana barabara ipo jimboni mwake.

Nawakilisha.


KIWA KIFUPI SANA


1. Acha kupotosha , gharama za mradi ni Tshs 22.0 bn siyo 26bn


2. Huna uhakika na unachotaja - jifunze kutafuta genuine information, ni kuwa alipewa advance payment tsh 3.252bn

3. Unababaisha na kujichanganya au umbulula? (hakufanya chochote vs alisafisha barabara mita 600 ???), ukweli alifanya activites zifuatazo – (i) Clearing and grubbing na (ii) G3 Improved subgrade layers

4. Ujenzi wa Camp: Ni kweli tulianza kujenga camp kwa asilimia 20 lakini haikumalizika tukafukuzwa


5. No reserach no Rigth to Speak!!

  • Upotoshaji kuhusu kampuni ya STRADA: Kampuni hii ilikuwa na sifa stahiki na imeshajenga barabara za lami huko Malawi na South Sudan
  • Upotoshaji mkubwa hapa kuhusu Due Deligence, ukweli ni huu hapa: Due diligence ilifanyika katika nchi za Malawi na South Sudan wala si Ghana na Msumbiji. Taarifa zote zipo katika balozi za South Sudan na Malawi na waweza zipata kiurahisi tu! mimi ni mzalendo na nimefuatilia sakata hili mpaka lilipo sasa kwa kuwa ninadai malipo yangu kwa mkandarasi huyu.


6. Hasara kwa serikali (Upotshaji), Ukweli – Ukweli ni kuwa TANROADS imekamata 6 bulldozer, 7 tipper truck (kila moja ni tani kumi) zote hizi zimekamatwa bandarini Dar es Salaam zilikuwa zimeagizwa na Mkandarasi (kwa taarifa za ndani ni kuwa Kandarasi alitaka kuzitoroshea banadari ya Mombasa ili kukwepa msala) na mitambo mingine iliyokuwepo site. Na haya yote yamefanyika kwa mujibu wa mkataba.

7. Mhandisi msimamizi alikuwa hajalipwa hata shilingi moja, wewe hizo milioni 700 umeziokota wapi?


Upuuzi mtupu - no substance hapa

8. Benki Guarantee: Kwa taarifa - Bank Gurantee ni genuine na tena ni ya benki ya Barclys ya Uingereza (British multinational banking) ambapo TANROADS wanadai hela yao kulingana na mkataba unavyosema. Hii ni kwa sababu Mkandarasi amemisbehave mkataba.


9.Ukweli: mkandarasi hakukimbia mwenyewe bali amefukuzwa kwa mkataba kusitishwa mnamo tarehe 18.02.2014, ukiambiwa kitu changanya na zako usimeze kama dodoki.

Aidha Serikali katika banadari ya Dar es Salaam imekamata bulldozer 4 (mpya), tipper 10(mpya) za tani kumi kila moja na upande wa site ilikamatwa bulldozer 1, grader 2 (mpya), pick up 4, water bozzer 1, tipper 1 na Excavater 1

 
Anaongoza Madereva wa vifusi, wakati daraja alijenga mwenyewe KIZEMBE ...........

Kazi+za+ujenzi+zikiendelea+1.jpg

Ni ushabiki au nini - daraja hili lilijengwa miaka ya sabini na wala si magufuli na bado lipo intact kilichotoka ni kingo za daraja na kipindi daraja wanadesign shughuli za kibinadamu hazikuwa za hovyo hovyo kama zilivyo leo ambapo watu wanalima mpaka kwenye kingo za daraja. acha unafiki!
 
Magufuli aachwe afanye kazi yake . Ni Mawaziri wachache sana wamefukuza makandarasi tena wakimataifa, maana wengi huishia kuhongwa na kuacha makandarasi bogus kuendelea na kazi za hovyohovyo, mfano aliifukuza kampuni ya Progressive- Higleig JV iliyokuwa ikijenga barabara za Namtumbo - Tunduru yenye urefu wa kilomita 193 na kampuni ya China State Construction Engineering Corporation Limited iliyokuwa ikijenga barabara ya Kagoma - Lusahunga yenye urefu wa kilomita 154.

Sioni ajabu Magufuli kuifukuza kampuni ya STRADA.

Ni Ukweli usiopingika Magufuli hahongeki amekaa wizara ya Ujenzi kama Waziri kwa kipindi kirefu sana kuliko Waziri yeyote yule ktk Wizara hiyo. Kama angekuwa mpiga ndefu siku nyingi angekuwa hana haja hata ya ubunge au uwaziri - mwacheni afanye kazi yake!
 
Jembe magufuli oyeeee fukuza makandarasi wazembe sisi tupo nyuma yako na yule Wa Ndundu - Somanga naye asipomaliza fukuza tu - wewe ni jembe la Ukweli aka Rais ajaye!
 
KIWA KIFUPI SANA


1. Acha kupotosha , gharama za mradi ni Tshs 22.0 bn siyo 26bn


2. Huna uhakika na unachotaja - jifunze kutafuta genuine information, ni kuwa alipewa advance payment tsh 3.252bn

3. Unababaisha na kujichanganya au umbulula? (hakufanya chochote vs alisafisha barabara mita 600 ???), ukweli alifanya activites zifuatazo – (i) Clearing and grubbing na (ii) G3 Improved subgrade layers

4. Ujenzi wa Camp: Ni kweli tulianza kujenga camp kwa asilimia 20 lakini haikumalizika tukafukuzwa


5. No reserach no Rigth to Speak!!

  • Upotoshaji kuhusu kampuni ya STRADA: Kampuni hii ilikuwa na sifa stahiki na imeshajenga barabara za lami huko Malawi na South Sudan
  • Upotoshaji mkubwa hapa kuhusu Due Deligence, ukweli ni huu hapa: Due diligence ilifanyika katika nchi za Malawi na South Sudan wala si Ghana na Msumbiji. Taarifa zote zipo katika balozi za South Sudan na Malawi na waweza zipata kiurahisi tu! mimi ni mzalendo na nimefuatilia sakata hili mpaka lilipo sasa kwa kuwa ninadai malipo yangu kwa mkandarasi huyu.


6. Hasara kwa serikali (Upotshaji), Ukweli – Ukweli ni kuwa TANROADS imekamata 6 bulldozer, 7 tipper truck (kila moja ni tani kumi) zote hizi zimekamatwa bandarini Dar es Salaam zilikuwa zimeagizwa na Mkandarasi (kwa taarifa za ndani ni kuwa Kandarasi alitaka kuzitoroshea banadari ya Mombasa ili kukwepa msala) na mitambo mingine iliyokuwepo site. Na haya yote yamefanyika kwa mujibu wa mkataba.

7. Mhandisi msimamizi alikuwa hajalipwa hata shilingi moja, wewe hizo milioni 700 umeziokota wapi?


Upuuzi mtupu - no substance hapa

8. Benki Guarantee: Kwa taarifa - Bank Gurantee ni genuine na tena ni ya benki ya Barclys ya Uingereza (British multinational banking) ambapo TANROADS wanadai hela yao kulingana na mkataba unavyosema. Hii ni kwa sababu Mkandarasi amemisbehave mkataba.


9.Ukweli: mkandarasi hakukimbia mwenyewe bali amefukuzwa kwa mkataba kusitishwa mnamo tarehe 18.02.2014, ukiambiwa kitu changanya na zako usimeze kama dodoki.

Aidha Serikali katika banadari ya Dar es Salaam imekamata bulldozer 4 (mpya), tipper 10(mpya) za tani kumi kila moja na upande wa site ilikamatwa bulldozer 1, grader 2 (mpya), pick up 4, water bozzer 1, tipper 1 na Excavater 1


Umenena mkuu!
 
KIWA KIFUPI SANA


1. Acha kupotosha , gharama za mradi ni Tshs 22.0 bn siyo 26bn


2. Huna uhakika na unachotaja - jifunze kutafuta genuine information, ni kuwa alipewa advance payment tsh 3.252bn

3. Unababaisha na kujichanganya au umbulula? (hakufanya chochote vs alisafisha barabara mita 600 ???), ukweli alifanya activites zifuatazo – (i) Clearing and grubbing na (ii) G3 Improved subgrade layers

4. Ujenzi wa Camp: Ni kweli tulianza kujenga camp kwa asilimia 20 lakini haikumalizika tukafukuzwa


5. No reserach no Rigth to Speak!!

  • Upotoshaji kuhusu kampuni ya STRADA: Kampuni hii ilikuwa na sifa stahiki na imeshajenga barabara za lami huko Malawi na South Sudan
  • Upotoshaji mkubwa hapa kuhusu Due Deligence, ukweli ni huu hapa: Due diligence ilifanyika katika nchi za Malawi na South Sudan wala si Ghana na Msumbiji. Taarifa zote zipo katika balozi za South Sudan na Malawi na waweza zipata kiurahisi tu! mimi ni mzalendo na nimefuatilia sakata hili mpaka lilipo sasa kwa kuwa ninadai malipo yangu kwa mkandarasi huyu.


6. Hasara kwa serikali (Upotshaji), Ukweli – Ukweli ni kuwa TANROADS imekamata 6 bulldozer, 7 tipper truck (kila moja ni tani kumi) zote hizi zimekamatwa bandarini Dar es Salaam zilikuwa zimeagizwa na Mkandarasi (kwa taarifa za ndani ni kuwa Kandarasi alitaka kuzitoroshea banadari ya Mombasa ili kukwepa msala) na mitambo mingine iliyokuwepo site. Na haya yote yamefanyika kwa mujibu wa mkataba.

7. Mhandisi msimamizi alikuwa hajalipwa hata shilingi moja, wewe hizo milioni 700 umeziokota wapi?


Upuuzi mtupu - no substance hapa

8. Benki Guarantee: Kwa taarifa - Bank Gurantee ni genuine na tena ni ya benki ya Barclys ya Uingereza (British multinational banking) ambapo TANROADS wanadai hela yao kulingana na mkataba unavyosema. Hii ni kwa sababu Mkandarasi amemisbehave mkataba.


9.Ukweli: mkandarasi hakukimbia mwenyewe bali amefukuzwa kwa mkataba kusitishwa mnamo tarehe 18.02.2014, ukiambiwa kitu changanya na zako usimeze kama dodoki.

Aidha Serikali katika banadari ya Dar es Salaam imekamata bulldozer 4 (mpya), tipper 10(mpya) za tani kumi kila moja na upande wa site ilikamatwa bulldozer 1, grader 2 (mpya), pick up 4, water bozzer 1, tipper 1 na Excavater 1


Ntakuja na majibu baadae mchana kuhusu hoja zako, samahani kwa wanajf kwa kushindwa kujibu hoja hii ingawa mjenga hoja amenishambulia mpaka kuniita mi mburula mda huu nimebanwa na kazi. Nawaahidi wana jamvi ntakuja na majibu sahihi kuhusu hili. Sina sababu ya kutunga uonge ili kumchafua mtu wala serikali. Ni katika kutafuta hali ya uwajibikaja. Naahidi kurudi na majibu kabla ya saa nane.
 
7. Mhandisi msimamizi alikuwa hajalipwa hata shilingi moja, wewe hizo milioni 700 umeziokota wapi?

Upuuzi mtupu - no substance hapa

8. Benki Guarantee: Kwa taarifa - Bank Gurantee ni genuine na tena ni ya benki ya Barclys ya Uingereza (British multinational banking) ambapo TANROADS wanadai hela yao kulingana na mkataba unavyosema. Hii ni kwa sababu Mkandarasi amemisbehave mkataba.


Mkuu incorruptible,
Nakushukuru kwa kutuelezea jinsi unavyoifahamu hii issue. Hata hivyo, kama kuna makosa kwenye bandiko la mleta hoja, huenda nia yake ni njema. Kama ametumwa kupotosha tutajua tu.
Ningeomba upunguze kumshambulia mleta hoja kwa maneno yasiyo na staha.

Tunaomba utusaidie kufahamu kama una information, ni kipi kilitangulia, je ni mkandarasi ali-misbehave ndio akafukuzwa, au alitendewa faulu ndio aka-misbehave?
Hicho cha mwisho ndicho tunachokisikia mtaani.
Huyo mpumbav atakuwa ameondoka na senti ndogo sana, na yeye ameingizwa chaka na jamaa wa TANROADS! Hiyo 3bn iliyotoka lazima alitakiwa kuwapa chao kwanza wafanikishaji ambao ni wengi na kila mmoja lazima aguse mnuso ili amlinde, huenda alitegemea itakuwa rahisi kuvuta mkopo akishakamata kazi, mwisho wa siku kazi amekamata, kila mtu hamwamini kumpa mitambo, benki hazimwamini kumpa pesa, na muda wa kazi unakwenda, singasinga wa watu badala ya kujiramba risasi kwa vile si raiya wa hapa akaona bora achape lapa, utakuta ametoka hapa na nauli tu...chezeya bongo!

Mkuu CYBERTEQ,
Hiki ndicho nami nimekisikia mtaani.
Nahisi kuna mipango hapa ya watu kutaka kutuaminisha kwamba mwizi kakimbia, kumbe mijizi ni watanzania wenzetu na bado wanapanga frauds nyingine kwa mbinu mpya.
 
KIWA KIFUPI SANA


1. Acha kupotosha , gharama za mradi ni Tshs 22.0 bn siyo 26bn


2. Huna uhakika na unachotaja - jifunze kutafuta genuine information, ni kuwa alipewa advance payment tsh 3.252bn

3. Unababaisha na kujichanganya au umbulula? (hakufanya chochote vs alisafisha barabara mita 600 ???), ukweli alifanya activites zifuatazo – (i) Clearing and grubbing na (ii) G3 Improved subgrade layers

4. Ujenzi wa Camp: Ni kweli tulianza kujenga camp kwa asilimia 20 lakini haikumalizika tukafukuzwa


5. No reserach no Rigth to Speak!!

  • Upotoshaji kuhusu kampuni ya STRADA: Kampuni hii ilikuwa na sifa stahiki na imeshajenga barabara za lami huko Malawi na South Sudan
  • Upotoshaji mkubwa hapa kuhusu Due Deligence, ukweli ni huu hapa: Due diligence ilifanyika katika nchi za Malawi na South Sudan wala si Ghana na Msumbiji. Taarifa zote zipo katika balozi za South Sudan na Malawi na waweza zipata kiurahisi tu! mimi ni mzalendo na nimefuatilia sakata hili mpaka lilipo sasa kwa kuwa ninadai malipo yangu kwa mkandarasi huyu.


6. Hasara kwa serikali (Upotshaji), Ukweli – Ukweli ni kuwa TANROADS imekamata 6 bulldozer, 7 tipper truck (kila moja ni tani kumi) zote hizi zimekamatwa bandarini Dar es Salaam zilikuwa zimeagizwa na Mkandarasi (kwa taarifa za ndani ni kuwa Kandarasi alitaka kuzitoroshea banadari ya Mombasa ili kukwepa msala) na mitambo mingine iliyokuwepo site. Na haya yote yamefanyika kwa mujibu wa mkataba.

7. Mhandisi msimamizi alikuwa hajalipwa hata shilingi moja, wewe hizo milioni 700 umeziokota wapi?


Upuuzi mtupu - no substance hapa

8. Benki Guarantee: Kwa taarifa - Bank Gurantee ni genuine na tena ni ya benki ya Barclys ya Uingereza (British multinational banking) ambapo TANROADS wanadai hela yao kulingana na mkataba unavyosema. Hii ni kwa sababu Mkandarasi amemisbehave mkataba.


9.Ukweli: mkandarasi hakukimbia mwenyewe bali amefukuzwa kwa mkataba kusitishwa mnamo tarehe 18.02.2014, ukiambiwa kitu changanya na zako usimeze kama dodoki.

Aidha Serikali katika banadari ya Dar es Salaam imekamata bulldozer 4 (mpya), tipper 10(mpya) za tani kumi kila moja na upande wa site ilikamatwa bulldozer 1, grader 2 (mpya), pick up 4, water bozzer 1, tipper 1 na Excavater 1


MAJIBU KWA HOJA YA INCORRUPTIBLE
Napenda kuwajibu hoja kwa mtiririko huo huo wa namba kwa majibu ya hoja husika.

1. Ni kweli mradi ulikua wa 22bn tofauti na 26bn nilizokua nimeandika. Lakini haipotezi maana kwamba mradi ulikuwa ni wa hela nyingi na sasa kua 22bn ni hela kidogo. Naomba radhi kwa hilo source haikunipa tarakim sahihi.

2. Kama unasema alipewa 3.25bn na mimi nilisema ni 3bn, Shida hapa iko wapi. Ujumbe ni amount kubwa. 3bn 3.2bn or 2.9bn zote ni around 3bn. Hapa hoja ya msingi sio umahiri wa kutaja figa, ni ujumbe tu ndo wa msingi.

3. Naposema hakufanya kitu namaanisha progress ya mradi ilikua ni almost zero. Unasema alifanya clearinga and grabbing na kufanya improved subgrade layers g3. Clearing n grabbing ndo hiyo mita 600 ambayo alikua na mita 26000, hapo kafanya nini? Clearing n grabbin ni sawa na light grading kweny miradi ya tanroads ambayo gharama zake ni laki 9 kwa kilometer. Kwa hiyo yeye hakupaswa kulipwa hata hiyo laki tisa maana hata km hakufikisha. Pili improved subgrade layer alifanya mita 200 tu ambayo nayo ni negligible ukizingatia alitakiwa afanye mita 26000 na ziwe layer minimum ni 3 layers kabla hajafanya layer Nzima ya g7, g15, cm, crr ndo lami tabaka la kwanza then aweke la pili, na layer zote mi kwa urefu ule ule wa mita 26000. Sasa hapo kuna kitu alifanya na ukizingatia amekaa site miezi 7 na hela alipewa?

4. Ujenz wa camp yake ulimshinda maana ameishia kujenga pagale tu, hakuna mkandarasi anaeanza kazi bila kujenga camp yake. Advance payment anayo amwshindwa kuistablish camp yake hiyo inamaanisha nini? Mda wa mradi ni miezi 18m, mkandarasi ana miezi 7 amejenga camp yake kwa asilimia 20% inaashiria nini?

5. Kuhusu kujenga barabara malawi na south sudani. Si kweli kuwa alijenga barabara huko, ingawa report iliyowasilishwa na wale walioenda huko ilionyesha hivyo. Huo ni uongo na upotoshaji mkubwa wa jamii. Mpaka nahisi huenda we ni mmoja wa maofisa walioenda na kuchakachua report. Katika hili ntakuja na maelezo ya ziada, kwa faida ya wana jamvi ili wachanganye na zao kama ulivyowaambia hapo juu naomba wagoogle strada international, then waangalie miradi waliofanya hapoa utakuta wanaonyesha wameanza kufanya miradi mwaka 2000 then mpaka mwaka 2010 utaona wameonyesha wamefanya miradi zaidi ya 35. Wakati huo huo angalia kampuni inaonyesha imeanzishwa mwaka 2001. Na mwaka huo wa 2000 inaonyesha wamefanya kazi zaid ya moja na zote ni kubwa. Kwa faida ya wana jamvi badae ntaiweka hiyo kampani profile na directors mda wao ili tuijadili.

6. Kuhusu eti tanroads wamekata bulldozers 6, na tipper 7 mpya. Sio kweli, bandarini wamekata bulldozer 2 CAT used, na tipper 2 LEYLAND used. Site wamekata grader 2 za kichina zilikuwa mpya na bulldozer scraper moja lipo mpaka leo limetelekezwa maana ni machuma tu. Pia wamekamata pick up 4 alizokua anatumia mhandisi mshauri, kimsingi hapa kweny pick up hakuna kitu maana serikali imechukua gari zake yenyew, mkandarasi hununua gari za mhandisi mshauri na kisha serikali kuilipa pesa hiyo na mwisho wa mradi hizo gari hurudi serikalini. Hakuna gari ya mkandarisi iliyokamatwa, water bowsers, roller, na tippers 2 na wheel loader hivi ni vya bimel interprizes na ameshawashitaki tanroads kesi ipo mahakamani na kadi za mashine na mikataba yote anayo.

7. Nilisema moja ya hasara kwa serikali ni malipo ya milioni 700 kwa mhandisi mshauri. Umekuja kudai kwamba eti hajalipwa hata shilingi moja. Swali, kwa hiyo mhandisi mshauri hata lipwa? Hapa tunaongelea hasara kwa serikali either ameshalipa or bado mwisho wa siku lazima alipwe kwa mradi uliokufa. Ndugu jikite kweny point za msingi na sio mstari umesema nini, hapa point ni kwamba serikali imepata hasara.

8. Unasema kwamba bank guarantee ilikua genuine, sio kweli maana hiyo ni moja ya sababu kubwa iliyomfanya akimbie maana aliogopa kosa la kufoji documents za bank. Kwa hili naahisi kufuatilia ushahidi ili nikuletee uone na hata kama wewe unao wa kwako njoo nao. Ila kwa akili ya kawaida tu bank guarantee huwa ni kama mtaji, na jamaa hakuwa na mtaji na ndo maana alishindwa na kukimbia.

9. Narudia tena kusema kwa uhakika zaidi ni kwamba mkandarasi alikimbia. Walichofanya serikali ni baada ya site kutokua active kwa siku 14 bila taarifa za msingi mkandarasi anakua amekiuka mkataba na hivyo tanroads wanavunja mkataba automatically, na hicho ndo kilichofanyika. Jamaa alikiambia toka january wao wamevunja mkataba tarehe 8 mwezi wa pili baada ya site kuwa domant. Sasa hapo kakimbia au kafukuzwa?

10. Jibu la hii hoja namba kumi nimeshaijibu kweny namba 6.

HITIMISHO
Inasikitisha kuona watu wanajaribu hata kutetea uovu kiasi hiki. Inasikitisha kwa kweli, nilitegemea mtu hata ujirudi pale ukweli unapokua wazi lakini watu bado wanaendelea kuutetea. Ikithibitika hii kampuni imefanya kazi malawi na south sudan naomba nisiaminike na kupuuzwa kwa chochote ntakachokuja changia na hata nipigwe ban. Na huyu incorruprible nae akubali ban ikithibitika.

Nawakilisha.
 



Mkuu incorruptible,
Nakushukuru kwa kutuelezea jinsi unavyoifahamu hii issue. Hata hivyo, kama kuna makosa kwenye bandiko la mleta hoja, huenda nia yake ni njema. Kama ametumwa kupotosha tutajua tu.
Ningeomba upunguze kumshambulia mleta hoja kwa maneno yasiyo na staha.

Tunaomba utusaidie kufahamu kama una information, ni kipi kilitangulia, je ni mkandarasi ali-misbehave ndio akafukuzwa, au alitendewa faulu ndio aka-misbehave?
Hicho cha mwisho ndicho tunachokisikia mtaani.


Mkuu CYBERTEQ,
Hiki ndicho nami nimekisikia mtaani.
Nahisi kuna mipango hapa ya watu kutaka kutuaminisha kwamba mwizi kakimbia, kumbe mijizi ni watanzania wenzetu na bado wanapanga frauds nyingine kwa mbinu mpya.

Mkuu lazydog
Huyu jamaa ni kweli ameshirikiana na jamaa wa hapa na tena ni ndani ya tanroads wakafoji vitu kibao mpaka kupewa tender. Kuhusu serikali kumis behave hilo si kweli, maana alipewa advance na hakuna alichokifanya, tatizo serikali haikua serious maana toka mwezi wa 10 alitakiwa awe ametimuliwa baada ya mhandisi mshauri kuonyesha kwamba mkandarasi hana uwezo wa kufanya kazi. Ila kwa kuwa kulikuwa na watu kweny system alilelewa na hata kuvujisha siri kwamba documents za kufoji zimeshagundulika ili jamaa akimbie kufuta ushahidi kwa wao kutajwa
 
MAJIBU KWA HOJA YA INCORRUPTIBLE
Napenda kuwajibu hoja kwa mtiririko huo huo wa namba kwa majibu ya hoja husika.

1. Ni kweli mradi ulikua wa 22bn tofauti na 26bn nilizokua nimeandika. Lakini haipotezi maana kwamba mradi ulikuwa ni wa hela nyingi na sasa kua 22bn ni hela kidogo. Naomba radhi kwa hilo source haikunipa tarakim sahihi.

2. Kama unasema alipewa 3.25bn na mimi nilisema ni 3bn, Shida hapa iko wapi. Ujumbe ni amount kubwa. 3bn 3.2bn or 2.9bn zote ni around 3bn. Hapa hoja ya msingi sio umahiri wa kutaja figa, ni ujumbe tu ndo wa msingi.

3. Naposema hakufanya kitu namaanisha progress ya mradi ilikua ni almost zero. Unasema alifanya clearinga and grabbing na kufanya improved subgrade layers g3. Clearing n grabbing ndo hiyo mita 600 ambayo alikua na mita 26000, hapo kafanya nini? Clearing n grabbin ni sawa na light grading kweny miradi ya tanroads ambayo gharama zake ni laki 9 kwa kilometer. Kwa hiyo yeye hakupaswa kulipwa hata hiyo laki tisa maana hata km hakufikisha. Pili improved subgrade layer alifanya mita 200 tu ambayo nayo ni negligible ukizingatia alitakiwa afanye mita 26000 na ziwe layer minimum ni 3 layers kabla hajafanya layer Nzima ya g7, g15, cm, crr ndo lami tabaka la kwanza then aweke la pili, na layer zote mi kwa urefu ule ule wa mita 26000. Sasa hapo kuna kitu alifanya na ukizingatia amekaa site miezi 7 na hela alipewa?

4. Ujenz wa camp yake ulimshinda maana ameishia kujenga pagale tu, hakuna mkandarasi anaeanza kazi bila kujenga camp yake. Advance payment anayo amwshindwa kuistablish camp yake hiyo inamaanisha nini? Mda wa mradi ni miezi 18m, mkandarasi ana miezi 7 amejenga camp yake kwa asilimia 20% inaashiria nini?

5. Kuhusu kujenga barabara malawi na south sudani. Si kweli kuwa alijenga barabara huko, ingawa report iliyowasilishwa na wale walioenda huko ilionyesha hivyo. Huo ni uongo na upotoshaji mkubwa wa jamii. Mpaka nahisi huenda we ni mmoja wa maofisa walioenda na kuchakachua report. Katika hili ntakuja na maelezo ya ziada, kwa faida ya wana jamvi ili wachanganye na zao kama ulivyowaambia hapo juu naomba wagoogle strada international, then waangalie miradi waliofanya hapoa utakuta wanaonyesha wameanza kufanya miradi mwaka 2000 then mpaka mwaka 2010 utaona wameonyesha wamefanya miradi zaidi ya 35. Wakati huo huo angalia kampuni inaonyesha imeanzishwa mwaka 2001. Na mwaka huo wa 2000 inaonyesha wamefanya kazi zaid ya moja na zote ni kubwa. Kwa faida ya wana jamvi badae ntaiweka hiyo kampani profile na directors mda wao ili tuijadili.

6. Kuhusu eti tanroads wamekata bulldozers 6, na tipper 7 mpya. Sio kweli, bandarini wamekata bulldozer 2 CAT used, na tipper 2 LEYLAND used. Site wamekata grader 2 za kichina zilikuwa mpya na bulldozer scraper moja lipo mpaka leo limetelekezwa maana ni machuma tu. Pia wamekamata pick up 4 alizokua anatumia mhandisi mshauri, kimsingi hapa kweny pick up hakuna kitu maana serikali imechukua gari zake yenyew, mkandarasi hununua gari za mhandisi mshauri na kisha serikali kuilipa pesa hiyo na mwisho wa mradi hizo gari hurudi serikalini. Hakuna gari ya mkandarisi iliyokamatwa, water bowsers, roller, na tippers 2 na wheel loader hivi ni vya bimel interprizes na ameshawashitaki tanroads kesi ipo mahakamani na kadi za mashine na mikataba yote anayo.

7. Nilisema moja ya hasara kwa serikali ni malipo ya milioni 700 kwa mhandisi mshauri. Umekuja kudai kwamba eti hajalipwa hata shilingi moja. Swali, kwa hiyo mhandisi mshauri hata lipwa? Hapa tunaongelea hasara kwa serikali either ameshalipa or bado mwisho wa siku lazima alipwe kwa mradi uliokufa. Ndugu jikite kweny point za msingi na sio mstari umesema nini, hapa point ni kwamba serikali imepata hasara.

8. Unasema kwamba bank guarantee ilikua genuine, sio kweli maana hiyo ni moja ya sababu kubwa iliyomfanya akimbie maana aliogopa kosa la kufoji documents za bank. Kwa hili naahisi kufuatilia ushahidi ili nikuletee uone na hata kama wewe unao wa kwako njoo nao. Ila kwa akili ya kawaida tu bank guarantee huwa ni kama mtaji, na jamaa hakuwa na mtaji na ndo maana alishindwa na kukimbia.

9. Narudia tena kusema kwa uhakika zaidi ni kwamba mkandarasi alikimbia. Walichofanya serikali ni baada ya site kutokua active kwa siku 14 bila taarifa za msingi mkandarasi anakua amekiuka mkataba na hivyo tanroads wanavunja mkataba automatically, na hicho ndo kilichofanyika. Jamaa alikiambia toka january wao wamevunja mkataba tarehe 8 mwezi wa pili baada ya site kuwa domant. Sasa hapo kakimbia au kafukuzwa?

10. Jibu la hii hoja namba kumi nimeshaijibu kweny namba 6.

HITIMISHO
Inasikitisha kuona watu wanajaribu hata kutetea uovu kiasi hiki. Inasikitisha kwa kweli, nilitegemea mtu hata ujirudi pale ukweli unapokua wazi lakini watu bado wanaendelea kuutetea. Ikithibitika hii kampuni imefanya kazi malawi na south sudan naomba nisiaminike na kupuuzwa kwa chochote ntakachokuja changia na hata nipigwe ban. Na huyu incorruprible nae akubali ban ikithibitika.

Nawakilisha.


Asante Mkuu!
 
MAJIBU KWA HOJA YA INCORRUPTIBLE
Napenda kuwajibu hoja kwa mtiririko huo huo wa namba kwa majibu ya hoja husika.

1. Ni kweli mradi ulikua wa 22bn tofauti na 26bn nilizokua nimeandika. Lakini haipotezi maana kwamba mradi ulikuwa ni wa hela nyingi na sasa kua 22bn ni hela kidogo. Naomba radhi kwa hilo source haikunipa tarakim sahihi.

2. Kama unasema alipewa 3.25bn na mimi nilisema ni 3bn, Shida hapa iko wapi. Ujumbe ni amount kubwa. 3bn 3.2bn or 2.9bn zote ni around 3bn. Hapa hoja ya msingi sio umahiri wa kutaja figa, ni ujumbe tu ndo wa msingi.

3. Naposema hakufanya kitu namaanisha progress ya mradi ilikua ni almost zero. Unasema alifanya clearinga and grabbing na kufanya improved subgrade layers g3. Clearing n grabbing ndo hiyo mita 600 ambayo alikua na mita 26000, hapo kafanya nini? Clearing n grabbin ni sawa na light grading kweny miradi ya tanroads ambayo gharama zake ni laki 9 kwa kilometer. Kwa hiyo yeye hakupaswa kulipwa hata hiyo laki tisa maana hata km hakufikisha. Pili improved subgrade layer alifanya mita 200 tu ambayo nayo ni negligible ukizingatia alitakiwa afanye mita 26000 na ziwe layer minimum ni 3 layers kabla hajafanya layer Nzima ya g7, g15, cm, crr ndo lami tabaka la kwanza then aweke la pili, na layer zote mi kwa urefu ule ule wa mita 26000. Sasa hapo kuna kitu alifanya na ukizingatia amekaa site miezi 7 na hela alipewa?

4. Ujenz wa camp yake ulimshinda maana ameishia kujenga pagale tu, hakuna mkandarasi anaeanza kazi bila kujenga camp yake. Advance payment anayo amwshindwa kuistablish camp yake hiyo inamaanisha nini? Mda wa mradi ni miezi 18m, mkandarasi ana miezi 7 amejenga camp yake kwa asilimia 20% inaashiria nini?

5. Kuhusu kujenga barabara malawi na south sudani. Si kweli kuwa alijenga barabara huko, ingawa report iliyowasilishwa na wale walioenda huko ilionyesha hivyo. Huo ni uongo na upotoshaji mkubwa wa jamii. Mpaka nahisi huenda we ni mmoja wa maofisa walioenda na kuchakachua report. Katika hili ntakuja na maelezo ya ziada, kwa faida ya wana jamvi ili wachanganye na zao kama ulivyowaambia hapo juu naomba wagoogle strada international, then waangalie miradi waliofanya hapoa utakuta wanaonyesha wameanza kufanya miradi mwaka 2000 then mpaka mwaka 2010 utaona wameonyesha wamefanya miradi zaidi ya 35. Wakati huo huo angalia kampuni inaonyesha imeanzishwa mwaka 2001. Na mwaka huo wa 2000 inaonyesha wamefanya kazi zaid ya moja na zote ni kubwa. Kwa faida ya wana jamvi badae ntaiweka hiyo kampani profile na directors mda wao ili tuijadili.

6. Kuhusu eti tanroads wamekata bulldozers 6, na tipper 7 mpya. Sio kweli, bandarini wamekata bulldozer 2 CAT used, na tipper 2 LEYLAND used. Site wamekata grader 2 za kichina zilikuwa mpya na bulldozer scraper moja lipo mpaka leo limetelekezwa maana ni machuma tu. Pia wamekamata pick up 4 alizokua anatumia mhandisi mshauri, kimsingi hapa kweny pick up hakuna kitu maana serikali imechukua gari zake yenyew, mkandarasi hununua gari za mhandisi mshauri na kisha serikali kuilipa pesa hiyo na mwisho wa mradi hizo gari hurudi serikalini. Hakuna gari ya mkandarisi iliyokamatwa, water bowsers, roller, na tippers 2 na wheel loader hivi ni vya bimel interprizes na ameshawashitaki tanroads kesi ipo mahakamani na kadi za mashine na mikataba yote anayo.

7. Nilisema moja ya hasara kwa serikali ni malipo ya milioni 700 kwa mhandisi mshauri. Umekuja kudai kwamba eti hajalipwa hata shilingi moja. Swali, kwa hiyo mhandisi mshauri hata lipwa? Hapa tunaongelea hasara kwa serikali either ameshalipa or bado mwisho wa siku lazima alipwe kwa mradi uliokufa. Ndugu jikite kweny point za msingi na sio mstari umesema nini, hapa point ni kwamba serikali imepata hasara.

8. Unasema kwamba bank guarantee ilikua genuine, sio kweli maana hiyo ni moja ya sababu kubwa iliyomfanya akimbie maana aliogopa kosa la kufoji documents za bank. Kwa hili naahisi kufuatilia ushahidi ili nikuletee uone na hata kama wewe unao wa kwako njoo nao. Ila kwa akili ya kawaida tu bank guarantee huwa ni kama mtaji, na jamaa hakuwa na mtaji na ndo maana alishindwa na kukimbia.

9. Narudia tena kusema kwa uhakika zaidi ni kwamba mkandarasi alikimbia. Walichofanya serikali ni baada ya site kutokua active kwa siku 14 bila taarifa za msingi mkandarasi anakua amekiuka mkataba na hivyo tanroads wanavunja mkataba automatically, na hicho ndo kilichofanyika. Jamaa alikiambia toka january wao wamevunja mkataba tarehe 8 mwezi wa pili baada ya site kuwa domant. Sasa hapo kakimbia au kafukuzwa?

10. Jibu la hii hoja namba kumi nimeshaijibu kweny namba 6.

HITIMISHO
Inasikitisha kuona watu wanajaribu hata kutetea uovu kiasi hiki. Inasikitisha kwa kweli, nilitegemea mtu hata ujirudi pale ukweli unapokua wazi lakini watu bado wanaendelea kuutetea. Ikithibitika hii kampuni imefanya kazi malawi na south sudan naomba nisiaminike na kupuuzwa kwa chochote ntakachokuja changia na hata nipigwe ban. Na huyu incorruprible nae akubali ban ikithibitika.

Nawakilisha.

Nachojua mkandarasi yeyote akipewa site lazima alipwe advance payment hiyo ndo mikataba ya kimataifa i.e FIDIC swala la how alipewa advance payment kabla hajafanya kazi si sahihi hapa!
 
Nachojua mkandarasi yeyote akipewa site lazima alipwe advance payment hiyo ndo mikataba ya kimataifa i.e FIDIC swala ka how akipewa kabla hajafanya kazo si sahihi hapa!

Uko sahihi na swala sio kwanin amepewa advance payment. Advance payment lazima apewe, swala ni kwamba kampuni haikua na sifa ya kupewa mradi. Walichakachua kampuni profile, ndo maana mimi nachotaka kuona ni wale waliosaidia kuidanganya serikali wanawajibishwa. Nasisitiza hii kampuni haikuwahi kujenga hata mita 5 ya kiwango cha gravel!
 
MAJIBU KWA HOJA YA INCORRUPTIBLE
Napenda kuwajibu hoja kwa mtiririko huo huo wa namba kwa majibu ya hoja husika.

1. Ni kweli mradi ulikua wa 22bn tofauti na 26bn nilizokua nimeandika. Lakini haipotezi maana kwamba mradi ulikuwa ni wa hela nyingi na sasa kua 22bn ni hela kidogo. Naomba radhi kwa hilo source haikunipa tarakim sahihi.

2. Kama unasema alipewa 3.25bn na mimi nilisema ni 3bn, Shida hapa iko wapi. Ujumbe ni amount kubwa. 3bn 3.2bn or 2.9bn zote ni around 3bn. Hapa hoja ya msingi sio umahiri wa kutaja figa, ni ujumbe tu ndo wa msingi.

3. Naposema hakufanya kitu namaanisha progress ya mradi ilikua ni almost zero. Unasema alifanya clearinga and grabbing na kufanya improved subgrade layers g3. Clearing n grabbing ndo hiyo mita 600 ambayo alikua na mita 26000, hapo kafanya nini? Clearing n grabbin ni sawa na light grading kweny miradi ya tanroads ambayo gharama zake ni laki 9 kwa kilometer. Kwa hiyo yeye hakupaswa kulipwa hata hiyo laki tisa maana hata km hakufikisha. Pili improved subgrade layer alifanya mita 200 tu ambayo nayo ni negligible ukizingatia alitakiwa afanye mita 26000 na ziwe layer minimum ni 3 layers kabla hajafanya layer Nzima ya g7, g15, cm, crr ndo lami tabaka la kwanza then aweke la pili, na layer zote mi kwa urefu ule ule wa mita 26000. Sasa hapo kuna kitu alifanya na ukizingatia amekaa site miezi 7 na hela alipewa?

4. Ujenz wa camp yake ulimshinda maana ameishia kujenga pagale tu, hakuna mkandarasi anaeanza kazi bila kujenga camp yake. Advance payment anayo amwshindwa kuistablish camp yake hiyo inamaanisha nini? Mda wa mradi ni miezi 18m, mkandarasi ana miezi 7 amejenga camp yake kwa asilimia 20% inaashiria nini?

5. Kuhusu kujenga barabara malawi na south sudani. Si kweli kuwa alijenga barabara huko, ingawa report iliyowasilishwa na wale walioenda huko ilionyesha hivyo. Huo ni uongo na upotoshaji mkubwa wa jamii. Mpaka nahisi huenda we ni mmoja wa maofisa walioenda na kuchakachua report. Katika hili ntakuja na maelezo ya ziada, kwa faida ya wana jamvi ili wachanganye na zao kama ulivyowaambia hapo juu naomba wagoogle strada international, then waangalie miradi waliofanya hapoa utakuta wanaonyesha wameanza kufanya miradi mwaka 2000 then mpaka mwaka 2010 utaona wameonyesha wamefanya miradi zaidi ya 35. Wakati huo huo angalia kampuni inaonyesha imeanzishwa mwaka 2001. Na mwaka huo wa 2000 inaonyesha wamefanya kazi zaid ya moja na zote ni kubwa. Kwa faida ya wana jamvi badae ntaiweka hiyo kampani profile na directors mda wao ili tuijadili.

6. Kuhusu eti tanroads wamekata bulldozers 6, na tipper 7 mpya. Sio kweli, bandarini wamekata bulldozer 2 CAT used, na tipper 2 LEYLAND used. Site wamekata grader 2 za kichina zilikuwa mpya na bulldozer scraper moja lipo mpaka leo limetelekezwa maana ni machuma tu. Pia wamekamata pick up 4 alizokua anatumia mhandisi mshauri, kimsingi hapa kweny pick up hakuna kitu maana serikali imechukua gari zake yenyew, mkandarasi hununua gari za mhandisi mshauri na kisha serikali kuilipa pesa hiyo na mwisho wa mradi hizo gari hurudi serikalini. Hakuna gari ya mkandarisi iliyokamatwa, water bowsers, roller, na tippers 2 na wheel loader hivi ni vya bimel interprizes na ameshawashitaki tanroads kesi ipo mahakamani na kadi za mashine na mikataba yote anayo.

7. Nilisema moja ya hasara kwa serikali ni malipo ya milioni 700 kwa mhandisi mshauri. Umekuja kudai kwamba eti hajalipwa hata shilingi moja. Swali, kwa hiyo mhandisi mshauri hata lipwa? Hapa tunaongelea hasara kwa serikali either ameshalipa or bado mwisho wa siku lazima alipwe kwa mradi uliokufa. Ndugu jikite kweny point za msingi na sio mstari umesema nini, hapa point ni kwamba serikali imepata hasara.

8. Unasema kwamba bank guarantee ilikua genuine, sio kweli maana hiyo ni moja ya sababu kubwa iliyomfanya akimbie maana aliogopa kosa la kufoji documents za bank. Kwa hili naahisi kufuatilia ushahidi ili nikuletee uone na hata kama wewe unao wa kwako njoo nao. Ila kwa akili ya kawaida tu bank guarantee huwa ni kama mtaji, na jamaa hakuwa na mtaji na ndo maana alishindwa na kukimbia.

9. Narudia tena kusema kwa uhakika zaidi ni kwamba mkandarasi alikimbia. Walichofanya serikali ni baada ya site kutokua active kwa siku 14 bila taarifa za msingi mkandarasi anakua amekiuka mkataba na hivyo tanroads wanavunja mkataba automatically, na hicho ndo kilichofanyika. Jamaa alikiambia toka january wao wamevunja mkataba tarehe 8 mwezi wa pili baada ya site kuwa domant. Sasa hapo kakimbia au kafukuzwa?

10. Jibu la hii hoja namba kumi nimeshaijibu kweny namba 6.

HITIMISHO
Inasikitisha kuona watu wanajaribu hata kutetea uovu kiasi hiki. Inasikitisha kwa kweli, nilitegemea mtu hata ujirudi pale ukweli unapokua wazi lakini watu bado wanaendelea kuutetea. Ikithibitika hii kampuni imefanya kazi malawi na south sudan naomba nisiaminike na kupuuzwa kwa chochote ntakachokuja changia na hata nipigwe ban. Na huyu incorruprible nae akubali ban ikithibitika.

Nawakilisha.

Mkuu nakuhurumia kwa vile unaonekana kutumika hata hivyo nakushukuru kwa kuwa umeanza kukiri na kurekebisha mapungufu makubwa ya kiupotoshaji uliyokuwa umefanya.

Pengine tu nikushauri acha kutumika mimi nina taarifa za kutosha kukuvua nguo kwa kuwa unaonekana kutojua mambo kuhusu mradi huu na unanisikitisha kuona nimeanza kukufundisha mambo mengine ya mradi hukuwa unajua, sipendi kumaliza kila kitu. Nikiona hutumiki hapo tutaendelea kuargue otherwise bado huna taarifa za kutosha tofauti na kubwabwaja maneno!
 
Mkuu nakuhurumia kwa vile unaonekana kutumika hata hivyo nakushukuru kwa kuwa umeanza kukiri na kurekebisha mapungufu makubwa ya kiupotoshaji uliyokuwa umefanya.

Pengine tu nikushauri acha kutumika mimi nina taarifa za kutosha kukuvua nguo kwa kuwa unaonekana kutojua mambo kuhusu mradi huu na unanisikitisha kuona nimeanza kukufundisha mambo mengine ya mradi hukuwa unajua, sipendi kumaliza kila kitu. Nikiona hutumiki hapo tutaendelea kuargue otherwise bado huna taarifa za kutosha tofauti na kubwabwaja maneno!

Njoo na hoja sio unakuja na kauli za mtu kutumika mara nna taarifa za kutosha. Mara nimekufundisha mambo mengine ya mradi ulikua hujui. Sioni nafasi ya hizi kauli kwa swala la msingi kama hili Ukiwa sahihi ntakwambia uko sahihi na siko kwa ajili ya kubishana ili mradi tunabishana ndo maana nimekujibu kila kitu ulichojengea hoja. Kwa great thinker kuja na majibu mepesi kama haya si sahihi. Naanza kushawishika kuwa wewe ni mmoja wa waliosaidia udanganyifu huo maana unadai we umefanya kazi mradi ule. Maana waliofanya kazi mradi huu mpaka leo wanadai mishahara ya mwezi wa 11 na january 2014.

Sasa hapo umejibu kitu gani, nimejibu hoja zako zote 10 then unakuja na kauli hizi. Ila nadhan wana jf watapembua vizur na kujua.

Hivi unajua kwamba strada inadaiwa na
1. NSK zaidi ya milion 100- huyu alikua ni supplier wa diezel.

2. Compucat zaidi ya milion 50- huyu alisupply office equipments na computers

3. Kodi ya nyumba alioifanya ofisi pale boma.

4. Hotel ya snow view ya boma- ambapo ilibid mhandisi mshauri amlipie engineer wake maana strada alikuwa halipi deni mpaka likafika milion 7. Mwanzo alilipa nayo kwa mbinde.

5. Kampuni ya kukodisha magari ya serena ambayo baada ya kushindwa kununua gari alilopaswa kumpa msimamiz wa tanroad arusha ilibid wakodishe kweny kampuni ya serena.

6. Kampuni ya ujiji ambayo mwanzo ilimkodishia tippers na roller baada ya kuona hawalipwi wakachukua mashine zao.

7. Wafanyakazi wote wanaodai mishahara ya mwezi wa 12 na 1.

Hii kweli ni kampuni class 1? Na kumbuka hapo ameshapewa 3.25bn..... Sasa hii kampuni hiyo hela ya advance ilifanyia nini kama kila sehem alikopa? Hii kampuni lengo lake lilikua nini? Watanzania tuwe na huruma na nchi hii.
 
Miaka ya 70 ni CCM wenyewe wamejenga, sasa unafiki wa nini? Watu wamefanya shughuli na Serikali imewaachia.

Ila kwenye ndege na Gas, hapo wanatembeza ubabe hata JWTZ wanaitwa waje wapige watu. Nani MNAFIKI?

Hata kama hakujenga, wewe Waziri unaenda kuongoza magari ya kumwaga vifusi, na jitu kama wewe linaona jamaa anafanya kazi. Kwanza hajasomea hiyo kazi. Pia hana kofia ya kufanyia kazi Site (Helmet) na wala nguo za usalama kazini. Pia analeta tu Stress kwa wafanyakazi kuwepo kwake na lundo la waandishi wa habari kama wewe na mwisho mnaishia kupewa vibahasha muje muuze sura yake na kumtetea kama vile mmeshikishiwa akili zenu na Magufuli.

Chezea bahasha za KAKI wewe................................
Ni ushabiki au nini - daraja hili lilijengwa miaka ya sabini na wala si magufuli na bado lipo intact kilichotoka ni kingo za daraja na kipindi daraja wanadesign shughuli za kibinadamu hazikuwa za hovyo hovyo kama zilivyo leo ambapo watu wanalima mpaka kwenye kingo za daraja. acha unafiki!
 
Magufuli aachwe afanye kazi yake . Ni Mawaziri wachache sana wamefukuza makandarasi tena wakimataifa, maana wengi huishia kuhongwa na kuacha makandarasi bogus kuendelea na kazi za hovyohovyo, mfano aliifukuza kampuni ya Progressive- Higleig JV iliyokuwa ikijenga barabara za Namtumbo - Tunduru yenye urefu wa kilomita 193 na kampuni ya China State Construction Engineering Corporation Limited iliyokuwa ikijenga barabara ya Kagoma - Lusahunga yenye urefu wa kilomita 154.

Sioni ajabu Magufuli kuifukuza kampuni ya STRADA.

Ni Ukweli usiopingika Magufuli hahongeki amekaa wizara ya Ujenzi kama Waziri kwa kipindi kirefu sana kuliko Waziri yeyote yule ktk Wizara hiyo. Kama angekuwa mpiga ndefu siku nyingi angekuwa hana haja hata ya ubunge au uwaziri - mwacheni afanye kazi yake!

Kuna kitu umekigusa ambacho utazidi kushusha credibilty ya tanroads. Mi sitaki kumgusa mtu mmoja au waziri kwa maana hafanyi kazi peke yake mi naigusa taasisi husika. Kuhusu kampuni ya progressive - higleig kufukuzwa ni aibu kwa tanroads katika mambo makuu mawili ambayo ntayasimamia.

1. Barabara zikisha designiwa huwa zinagawanywa katika vipande tofauti visivyozid km 100 kwa kimoja ili kuweza kitotoa kazi kubwa kwa kampuni mmoja ambayo ni rahisi kushindwa kufanya kwa wakati. Hii brbr ina km 193 na iligawanywa ktk lots 3, lakin cha kushangaza lots zote alipewa yeye. Na kuthibitisha hilo hiyo kazi sasa wamepewa wakandarasi watatu tofauti.

2. Hii brbr mkataba ulisainiwa toka mwaka 2010 kabla ya uchaguz, lakin amekuja kufukuzwa mwaka 2013. Wakati ktk kipindi hicho chote hajafany hata 5% ya kazi. Kwa taasisi makini miez sita tu ilitosha kumfukuza kazi mkandarasi kwa maana alikuwa tayar ameshakiuka mkataba. Kwa mfano mobilization huwa ni miez mitatu inatakiwa ikamilike kwa maana ulete vifaa vyote viluvyo andikwa kweny mkataba lakin yeye mpaka anafukuzwa hakukidhi hata 10 percent ya mobilization.
 
Back
Top Bottom