KadamaKadama
Member
- Oct 9, 2013
- 86
- 65
Uzalendo wako una mashaka makubwa sana......na inaonyesha upo kwenye "circles" za ulaji/ufisadi.....kwa sababu zifuatazo
- Umekuwa na taarifa ya upuuzi wa muajiri wako.....na umekuwa kimya hadi habari imewekwa hapa JF....Uzalendo unaodai uko wapi....
- Umeonyesha wazi kuwa maslahi yako binafsi kwanza pamoja na upuuzi wote huo wa huyo Mkandarasi wako
- Umeonyesha kukubalina na Poor Performance ya Mkandarasi wako unayemdai.....ulitegemea mpewe muda gani ili muweze kukamilisha kambi yenu
- Umeonyesha kutokuwa na upeo wa kuona HOJA YA MSINGI ya mleta mada...na kuanza kumu-attack pasipo kuwa na sababu yeyote ya msingi
- Hukuonyesha kwa namna yeyote ya kihoja kuelezea/kulaani/kukataa upuuzi uliotokea
Kufanyika kwa due diligence...taarifa kamili na za uhakika zinatakiwa awe nazo Client na vyombo vinavyotoa udhamini na si vinginevyo.......
The fact of the matter ni kuwa Mkandarasi amekuwa terminated....na madudu mengine yanafumuka....ikiwemo ya udhamini....kwa jinsi ulivyojibu hoja za mleta mada...nachelea kusema knowledge yako kwenye hayo mambo bado sana........
Back to the hoja ya msingi ya Mada
Kufuatia upuuzi kama huu CEO wa TANROADS inabidi aachie ngazi pamoja na maofisa husika kwa upuuzi wote huu....ifike mahala tusioneane huruma......that is where I miss "Fagio la chuma"......
Kuna jamaa yangu anawajua hawa - huyu contractor alianza kusuasua tangu aanze nasikia alipewa warning kibao kupitia kwa consultant supervisor sasa ilipoonekana hawezi wakaanza kuandaa taratibu za kumfukuza na ni hatari sana kumfukuza contractor hovyo hovyo inatakiwa kuwa makini ili kumfukuza, so delay huenda TANROADS walijiandaa vyema kabla!