Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

UKAWA si kimbilio la wahalifu .

Hayo magazeti yanakuza mambo bila sababu. Ukawa ya nini wakati anao mwaliko kutoka kwa Ayat.olah kujiunga na kupewa nafasi ya kugombea cheo anachokipenda kuliko ampendavyo mkewe?
Wasitusumbue na maugomvi yao wakati sie tunamachungu na ripoti ya CAG
 
Hivi hivi kundi la UKAWA limeshasajiliwa kisheria?
 
Wacha ujuaji unauhakika na uyazungumzayo au kuiga

Zitto amesema kuwa atagombea ubunge, kwa maana nyingine ni kwamba hatagombea urais,wakati huohuo kamkaribisha Lowassa kwenye chama cha ACT wazalendo kwa sharti la kutangaza mali zake kwanza,wakati ana jua fika kwamba shida ya Lowassa ni urais na siyo kutaka kuwa mwanachama wa chama chochote.

Kitendo cha Zitto cha kukataa kugombea urais na kumkaribisha Lowassa mtu ambae Zitto ana fahamu kuwa shida yake ni urais ni jibu tosha kuwa nafasi ya urais ndani ya ACT wazalendo ni ya Lowassa.
 
Hakuna mtu mwenye uwezo wa kumkataa Lowasa ndani ya ukawa wengi ni waganga njaa tu.

Mtakuwa vichaa mwaka huu Ukawa hakuna nafasi ya watu wachafu bora aende kubaki huko mafisadi wenzake huko ccm.
 
UKAWA hakuna nafasi ya mafisadi aende zake huko. UKAWA hawawezi kufanya makosa ya kipumbavu ya kumkaribisha huyu fisadi.

Heshima yako mkuu kama tulikuwa na wazo moja ccm wanafikiri Ukawa tuna nafasi ya kupokea watu wachafu labda akitoka ccm akaungane na kile chama cha wasaliti wenzake Act alishakaribishwa mapema.
 
amechelewa sana sisi kina gogo la shamba tulimshauri kuachana na ccm tangu 2014 lakini hakutuelewa hivyo kwa sasa hakuna chama kitakachomkubali maana amekuwa ni mzigo pamoja na pesa zake
 
Mi namshauri Edo akaze buti tu... kwa nini wanatapatapa? Kisasi mchezo!!
 
Back
Top Bottom