Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

uwa najiuliza kashfa ya richmond na hii ya escorw in a tofauti gani? mpaka ikulu kuipigania kifua hivyo? lowasa ana mengi moyoni ngoja ayaseme siku.
 
Labda agombee ubunge jimbo la Monduli kupitia UKAWA
 
nampenda EL,ila sijui mema wala mabaya yake,sina
uwezo wa kuthibitisha any side
 
CCM mnalo hilo,Hiyo inaitwa "uchiteme wala uchimumunye..."Ha ha ha ha!
 
Hahaaa, taratibu Kaitampunu, usije ukasababisha "Mwaisapilelization", si watujua Wabongo lakini!?

Hivi huwa kuna supu ya mawe kweli? Kama ipo basi lazima itakuwa inaongeza nguvu za kiume.
 
kapige mswaki kaka maana inaonekana ulikuwa usingizi..

unadhani ukawa ni kwepesi kivile?..
akijiloga akaingia tu ataambiwa akagombee udiwani ili wampime imani km kweli ni kamanda
rugemaa ndio mana nikasema viongozi wa ukawa wakanushe huu uvumii hii itasaidia hata wananchi wasiunganishe dot za RICHMOND na ESCROW wakikaa kimya tutaamini kuna mazungumzo yanaendelea...
 
UKAWA waje hapa wakanushe hii taarifa...

Kwani wee ni ccm!!
Mzee ni ccm damu na jina lake alilopewa la fisadi limeanza kutoweka mawazo mwa ccm wengi
napenda apitishwe kugombea akichaguliwa tu six na washrika wake ajiandae kutoswa rasmi na kusulubiwa!!!
 
Mtoa mada umeongelea Lowassa 'kugawa pesa kama njugu' ili awe rais. Nakukumbusha kuwa UKAWA haihitaji mgombea mwenye sifa kama hiyo! Na siyo mgombea tu, bali haihitaji hata mwanachama wa kawaida tu kuwa na hiyo sifa ya kutoa rushwa.
 
Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .

Huyu ndiye aliyeamua kujiuzulu kashfa ya Richmond ili kumponya jamaa yake asiumbuke. Hata hivyo jamaa yake akawatuma vijana wake akina Nape wamuite Gamba mbele za watu bila kujali kuwa alijitoa muhanga kwa ajili yake.
Ndio maana Profesa Mwongo kakomaa hataki kujiuzulu kwani anajua ukijitoa muhanga huku unamsaidia mkulu yeye analeta uswahili anakutosa.
Hii CCM hii! We acha tuu. Ni kama kundi la mazimwi
 
Back
Top Bottom