Mji wa Arusha unakuzwa(overrated)

Mji wa Arusha unakuzwa(overrated)

Mimi nimeamia nina miezi sita hamna cha maana, mzunguko wa pesa wenyewe mdogo sana, mji qa kijinga sana..! Eti mji wa kitalii hahahah..! Watalii ni junction tu wanaishia kuwaona kwenye tours nimeboreka hapa mpk basi najipanga kurudi zangu jijini.
Kweli sifa nyingi cha maana hakuna .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
we ntu m1 hutuumizi kichwa mana dunia inaitambua Arusha na mazuri yake zaidi ya Dar.

Arusha home sweety home of mans
Usifanye ushabiki, leta hoja mzee. Mm mwenyewe natetea Arusha dhidi ya moshi lakini siweki mapenzi.

Mambo ya home sweet home yanatoka wapi. Kwanza ww ni Mbaga kwenu upareni hukooooo Sifia hedaru kamq unaweza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi hujakujua Arusha. Moshi ni kuzuri lakini si kufananisha na Arusha. Labda kama ungefananicha moshi na mikoa/ manispaa mingine.

Moshi hakuna majengo ya kusumbua kabisa. Arusha kama miji mingine ya zamani lazima kuwe na Some mipangilio mibovu.

Lakini all in all Moshi hamna kitu.

Sema kwamba. ARusha hajameet expectations zako. Lakini sio kufananisha na moshi

Sent using Jamii Forums mobile app
Yote Kwa yote nimesema Arusha ni mji mzuri,tatizo sifa inayopewa zimepitiliza kulingana na uhalisia wake
 
Hizo sehem unazosema umetembelea ni wapi...ssio unafikia mbagala kutoka mtwara unaanza piga kelele dar mbaya.
Nikuweke sawa tuu sijaona Arusha siyo pazuri ,tatizo ni kupewa sifa isiyostahili(sifa zilizopitiliza).
Definition ya Uzuri :Ni kitu chenye mvuto,au sifa za daraja la juu

READERS ARE LEADERS
 
Back
Top Bottom