Mjerumani amchambua Lowassa, awashangaa Watanzania

Mjerumani amchambua Lowassa, awashangaa Watanzania

watu wanamjadili mtoa hoja, badala ya kujadili hoja aliyoleta mtoa hoja.
 
Maswali aliyouliza huyu mzungu ni mazito, mtu makini atajifikirisha zaidi.......
 
Ninawasiwasi na elim pamoja na wasomi hawa wa siku hizi, maana huhitaji elim ya chuo kujua edo hafai, unachohitaji ni kujua kusoma na kuandika, au kusikia na kusikiliza..

Sasa watu wamelipwa pesa ya naul, wanataka tuweke nchi kwenye rehan kwa miaka 10? Sheme on u..

Ninaona watu wanacheza na maisha yetu, watz tusikubar kabisa
Tuseme HAPANA, HAPANA, HAPANA KWA EDWARD LOWASA
 
Kama utaki habari za wazungu mbona kuanzia nguo za ndani unavaa nguo za kutoka nchi zao, mbona sasa mnategemea misaada yao?

Muulize hata hiyo simu aliyotumia kubeza andiko lako imetoka kwa Wazungu. Whether you like or not, wazungu ndo wadau wakubwa
 
Mtu anataja tu Elimu,ila hasemi ni njia zipi atatumia ili kuimarisha Elimu na hatimae Elimu imkomboe Mtanzania.
Lowasa hajui kuwa social structure (ikiwemo Elimu) ya jamii yeyote ile inatambulishwa na Misingi imara ya kiuchumi (Economical base ).
 
Katika hali ya kunishangaza, nilikuwa nabadilishana mawazo na mzungu mmoja raia wa Ujerumani kwenye N.G.O yake. Katamka maneno yaliyonistaajabisha.

Tumeongea mambo mengi lakini baadae tukaanza kuongelea siasa. Akasema kuna yule aliekuwa waziri mkuu anaitwa Lowasa, nimeona sasa mnampenda sana. Mimi nikamjibu inaonekana kuna Watanzania wanampenda awe Rais. Yule Mzungu akaniuliza, si yule aliejiuzuru kwa sababu ya Corruption?, nikamjibu ndie huyo. Akasema, wakati ule alionekana amekula Rushwa, sasa anataka kuwa Rais na watu wanamuunga mkono!, akaongezea kwa kusema how can you easily forget?, how can you easily change your mind?, yaani mnawezaje kuwa wasahaulifu namna hii, mnawezaje kubadili fikra zetu haraka hivi juu yake?, hapo mimi nikabaki na kigugumizi. Akaongeza, au Lowasa amewahi kuwaelezea uhusika wake na hizo corruption?, mimi nikamjibu hapana. Akasema tena, Or was he cleared by the court? yaani, je Mahakama iliona hana hatia?, nikamjibu kesi haijawahi kwenda Mahakamani. Akauliza, then which criteria do you use support him?, yaani mnatumia kigezo gani kumuunga Lowasa mkono? nikamjibu kwakweli sijui wananchi wanatumia kigezo gani.

Yule mzungu akasema, anyway, you are such amazing country, with
 
We kweli ni boya, si ungeleta hata mawazo ya watz wanzako unajipendekeza kwa wazungu afu unakuja na swaga zako za ajabu, huyo hajui nchi hii....................... ongea na wazalendo kama G. Ulimwengu, Mzee Mkapa, Mzee Warioba, Msuguri na wengine hapo tutakuona unaijali nchi yako.
 
Mimi nimewasilisha tu, kama unadhani hafai mbona kila kukicha viongozi wanakwenda kuomba misaada kwao?
Na hata huyo Lowassa akipata atakwenda kupiga magoti kwao kuomba omba, as usual. Ni aibu na inahitaji uwe na moyo wa chuma kumsafisha huyu bwana
 
Ninawasiwasi na elim pamoja na wasomi hawa wa siku hizi, maana huhitaji elim ya chuo kujua edo hafai, unachohitaji ni kujua kusoma na kuandika, au kusikia na kusikiliza..

Sasa watu wamelipwa pesa ya naul, wanataka tuweke nchi kwenye rehan kwa miaka 10? Sheme on u..

Ninaona watu wanacheza na maisha yetu, watz tusikubar kabisa
Tuseme HAPANA, HAPANA, HAPANA KWA EDWARD LOWASA
kwanza atuambie hizo pesa za kulipia watu nauli kazitoa wapi? Na kama kakopa atazilipaje akiwa Ikulu. Tukimpa hii nchi ndio tumjiuza wenyewe. WaTz tuamke, tuachane na huyu adict wa rushwa
 
Who's that Mzungu kwa nchi yetu na kwako hadi uanzishe thread kabisa? So kwa kuwa kasema Mzungu ndo tuamini sio?

Wazungu kutoa comment sioni tatizo lolote kama inatusaidia kufikiri differently. Elimu na mfumo mzima wa elimu wameuleta wao na hata hapa anaonyesha anaweza kuendelea kutoa elimu.

Maswali yake nimeyapenda kwani yanatupa kufikiri zaidi na yote ni highly relevant
 
Katika hali ya kunishangaza, nilikuwa nabadilishana mawazo na mzungu mmoja raia wa Ujerumani kwenye N.G.O yake. Katamka maneno yaliyonistaajabisha.

Tumeongea mambo mengi lakini baadae tukaanza kuongelea siasa. Akasema kuna yule aliekuwa waziri mkuu anaitwa Lowasa, nimeona sasa mnampenda sana. Mimi nikamjibu inaonekana kuna Watanzania wanampenda awe Rais. Yule Mzungu akaniuliza, si yule aliejiuzuru kwa sababu ya Corruption?, nikamjibu ndie huyo. Akasema, wakati ule alionekana amekula Rushwa, sasa anataka kuwa Rais na watu wanamuunga mkono!, akaongezea kwa kusema how can you easily forget?, how can you easily change your mind?, yaani mnawezaje kuwa wasahaulifu namna hii, mnawezaje kubadili fikra zetu haraka hivi juu yake?, hapo mimi nikabaki na kigugumizi. Akaongeza, au Lowasa amewahi kuwaelezea uhusika wake na hizo corruption?, mimi nikamjibu hapana. Akasema tena, Or was he cleared by the court? yaani, je Mahakama iliona hana hatia?, nikamjibu kesi haijawahi kwenda Mahakamani. Akauliza, then which criteria do you use support him?, yaani mnatumia kigezo gani kumuunga Lowasa mkono? nikamjibu kwakweli sijui wananchi wanatumia kigezo gani.

Yule mzungu akasema, anyway, you are such amazing country, with this style it may take you so many years to change. Yaani ninyi ni nchi ya ajabu, kwa style hii itawachukua miaka mingi kupata mabadiliko.

Gambamala,
Sijui unachotaka kutueleza!
Hivi wewe ni mtanzania unayefuatilia siasa za nchi yako au unamuandalia njia mgombea unayempendelea?
Wakati niliamini kuwa 2008 Lowassa alichukua rushwa, baadae mambo yalibadilika kwa kauli iliyotolea kwenye mkutano wa NEC miaka michache baadae. Naomba kama wewe ni mtanzania, jibu lililotolewa Na Rais Kikwete baada ya Lowassa kujieleza kuwa alijiuzulu kwa manufaa ya CCM na serikali yake.
Bila shaka angekuwa ndani ya serikali tungeambiwa kuwa amehusika na TEGETA ESCROW ACCOUNT SCANDAL!
Tatizo si viongozi waliojiuzulu mpaka Leo hii bali uongozi wa juu wa nchi una matatizo na ungetakiwa kuwajibishwa ingawa ingeleta matatizo makubwa kitaifa.
Mungu ibariki Tanzania
 
Katika hali ya kunishangaza, nilikuwa nabadilishana mawazo na mzungu mmoja raia wa Ujerumani kwenye N.G.O yake. Katamka maneno yaliyonistaajabisha.

Yule mzungu akasema, anyway, you are such amazing country, with this style it may take you so many years to change. Yaani ninyi ni nchi ya ajabu, kwa style hii itawachukua miaka mingi kupata mabadiliko.

Aliyosema ni kweli,mbona hata Felix Mkosamali ametuambia jamani?Amesema atatushangaa sana watazania na itabidi atafute mpaka Consultant wakutupima UWEZO WETU WA KUFIKIRI......

Maneno ya Mkosamali yanatofauti gani na huyo Mjerumani?Ni kweli inabidi tuingizwe kwenye yale maajabu saba ya ulimwenguni..........:sad::sad:
 
Mkuu ujue na ushoga umeshamiri sana kwao. . . . .Sio kila la wazungu unahomola tu
Mbona tatizo la MSM hapa kwetu ni kubwa tu?! tatizo wewe ni mmoja wa wale ambao hamtaki kukubaliana na ukweli na hali halisi?
 
Katika hali ya kunishangaza, nilikuwa nabadilishana mawazo na mzungu mmoja raia wa Ujerumani kwenye N.G.O yake. Katamka maneno yaliyonistaajabisha.

Tumeongea mambo mengi lakini baadae tukaanza kuongelea siasa. Akasema kuna yule aliekuwa waziri mkuu anaitwa Lowasa, nimeona sasa mnampenda sana. Mimi nikamjibu inaonekana kuna Watanzania wanampenda awe Rais. Yule Mzungu akaniuliza, si yule aliejiuzuru kwa sababu ya Corruption?, nikamjibu ndie huyo. Akasema, wakati ule alionekana amekula Rushwa, sasa anataka kuwa Rais na watu wanamuunga mkono!, akaongezea kwa kusema how can you easily forget?, how can you easily change your mind?, yaani mnawezaje kuwa wasahaulifu namna hii, mnawezaje kubadili fikra zetu haraka hivi juu yake?, hapo mimi nikabaki na kigugumizi. Akaongeza, au Lowasa amewahi kuwaelezea uhusika wake na hizo corruption?, mimi nikamjibu hapana. Akasema tena, Or was he cleared by the court? yaani, je Mahakama iliona hana hatia?, nikamjibu kesi haijawahi kwenda Mahakamani. Akauliza, then which criteria do you use support him?, yaani mnatumia kigezo gani kumuunga Lowasa mkono? nikamjibu kwakweli sijui wananchi wanatumia kigezo gani.

Yule mzungu akasema, anyway, you are such amazing country, with this style it may take you so many years to change. Yaani ninyi ni nchi ya ajabu, kwa style hii itawachukua miaka mingi kupata mabadiliko.

wazungu ndo waliotufikisha kwenye hii mess,4get about them,lile lilikuwa ni zengwe la kumchafua sasa tutampa urais watake wasitake
 
Yaan tumwachie nchi mwizii na nasinga singa mabest zake maiziii hakiamungu nibora mniuwe
 
1. Waitaliano anakokaa baba mtakatifu kule vatican, wamekuwa wanamchagua kiongozi wao mara nyingi ingawa kumekuwepo madai ya rushwa kwake. Kama court haijamhukumu mtu hwezi kusema katenda kosa. Hata Japan haya mambo yalishatokea. Tulishasikia hata Dr Slaa na tuhuma za pesa za kanisa, lakini kwa kuwa hakuhukumiwa, hana hatia.
2. Je ni mahakama ipi aliyoshitakiwa Lowassa kwa kosa la rushwa na kuhukumiwa?
3. Wajerumani hawana uhalali wa kuingilia mambo ya tanzania. Watanzania wameridhika la lowasaa na hiyo ni shauri yetu. Wazungu wanamwogopa lowassa mfuta mikataba yao mibovu, kwa mfano lake victoria/nile water na kampuni ya maji dar. Pia alitaka kufuta mkataba wa richmond kabla ya wenye nao kumkatalia.
4. Kingunge ni kiongozi makini sana na kuwepo kwake kwenye kueleza nia ya lowassa ni pigo kwa wapinzani wa lowassa. Kasema kweli ndani na nje ya ccm hakuna mwenye sifa kama yeye. Ushahidi ni ule umati.
5. Lowassa ana vitu tangible vya kuonyesha watanzania alivyovifanya kuliko mgombea mwingine yoyote.
6. Kama lowassa si mpambanaji wa rushwa, mbona hata pesa za escrow ziliziobiwa hakuna aliyefikishwa mahakamani seriously na hawa mnaombeza lowassa walioko madarakani? Acaha aingie arudishe utendaji na uwajibikaji serikalini. Msimuogope yuko kwa ajili yetu zaidi.
7. Tunasema tunachukia utajiri tunasahau waliompeleka late julius nyerere uno kudai uhuru ni waliokuwa matajiri, hususan familia za kina bomani, rupia, mwapachu, sykes na zinginezo. Baadae familia hizi zilizaa viongozi pia. Kwa hiyo matajiri na utajiri ni vitu vizuri vikitumika vibaya. Nafurahi kina mwapachu wanampapoti mh. Lowassa. Tusione wivu. Ndio hali halisi.
8. Kama manafikiri atawafukuza tanzania timu wama, alishasema hashughuliki na kufukua makaburi. Tulieni.
9. Mkapa alishasema "tuhuma za kipuuzi zisitunyime rais bora mwaka 2015" unadhani mkapa anamuwaza nani kama sio lowassa? Tafakarini. Mkapa anajua lowassa ni jembe na wapinzani wake kijua hivyo ndio mnamwadhibu kwa richmond. Mbona sasa hiyohiyo richmond ndio rais wa usa obama na clinton (foreign secretary) waliiona deal na hata leo ndio tunayoitumia kama symbion? Tafakari.

Tumpishe lowasssa anaejua matatizo ya vijana tangu mbali afanye kazi. Asanteni.
 
Back
Top Bottom