Sheria haioni ndani kweli pesa. Mawakili wetu wanajua kuchangamkia fursa. Ndio maana Magu alikuwa hataki ujinga
Jamaa walikuwa wanavuta muda kidogo watanzania wasahau
Tafuta pesa sana Utaipenda hii nchi. Kesi ni Biashara nzuri Tanzania
Sasa mngefanyaje kwa mfano?
 
Hakimu anapomuachia mtuhumiwa hua anataja na "grounds“ alizotumia to make such decisions. Yaan vipengele vilivyompa doubt ni vipi.

Huyu wa hii kesi alisemaje kwani?
 
Hakimu anapomuachia mtuhumiwa hua anataja na "grounds“ alizotumia to make such decisions. Yaan vipengele vilivyompa doubt ni vipi.

Huyu wa hii kesi alisemaje kwani?
Huo ndo ulipaswa kuwa mjadala, watu wanaongozwa na hisia!
 
Kesi ya Mbowe afande Kingai na wenzake wapelelezi wabobezi yaani ndio wanategemewa na jeshi ila waligeuka kituko mbele ya mahakama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…