Kwanini Rais anakimbia ku-address issues zinazosumbua watu vichwa? Kwanini anakwepa zile issue zilizo na mijadala mikali kama ya DOWANS, RADA etc. Raisi ndio anatakiwa arudishe mindset za watu ziwe kwenye line moja, ukiona baraza lako linatofautiana kwenye sensitive issues solution sio kukaa kimya. Uongozi sio kuhudhuria sherehe ni pamoja na kuwa tayari na constructive arguments na kuweza kuzi-settle, ili wananchi wako wakuelewe na wawe na imani na wewe. Kama ni haki DOWANS walipwe aje atueleze kwanini: na pia apeleke shauri hilo kwenye baraza la mawaziri ili lizungumzwe! Mimi huyu mtu ananishangaza kabisa yaani ni kama vile watoto wanabishana kuhusu kitu alafu mzazi anaingia mitini then who is incharge of the house?