Monstgala
JF-Expert Member
- Aug 25, 2009
- 1,079
- 1,037
Kumbe tunayoyaandika hapa yanawafumbua macho Watanzania wengi katika sakata hili la ufisadi wa Richmond/Dowans. Hongera sana WanaJF. Mpaka kufikia kutajwa katika majadiliano makubwa kama haya si kazi ndogo na umaarufu wa JF ndiyo utazidi kuongezeka popote pale walipo wabongo duniani.
Naamini elimu ya kutosha tuliyonayo wana JF inachangia uzito ingawa kuna mapandikizi wanaojaribu kuvuruga umakini wa hoja lakini tunasonga. Big up JF but only for those with constructive contribution to the country.