Mjadala wa DOWANS ITV waibua mapya!

Mjadala wa DOWANS ITV waibua mapya!

Kumbe tunayoyaandika hapa yanawafumbua macho Watanzania wengi katika sakata hili la ufisadi wa Richmond/Dowans. Hongera sana WanaJF. Mpaka kufikia kutajwa katika majadiliano makubwa kama haya si kazi ndogo na umaarufu wa JF ndiyo utazidi kuongezeka popote pale walipo wabongo duniani.

Naamini elimu ya kutosha tuliyonayo wana JF inachangia uzito ingawa kuna mapandikizi wanaojaribu kuvuruga umakini wa hoja lakini tunasonga. Big up JF but only for those with constructive contribution to the country.
 
huyu mzee mkinga akikaa na mtikila wataanzisha kanisa kubwa kuliko hata la kakobe. Mzee anaongea kwa uhakika bila woga utadhani alikuwepo.... Kweli huyu mzee ni noma!

mbona r1 kumpigia debe dad ake hukusema kitu? Au juzi huyu huyu r1 kuzungumzia swala la mauaji ya raia wema arusha kwa kuegemea chama cha familia hukusema kitu mkuu? Angalia huku na kule kabla ya kukatiza main road mkuu.
 
Tanzania iko mbioni kuingia katika vita vya wenyewe kwa wenyewe. Wana JF tafadhali nisaidieni katika hili. Ni suala la ufisadi ndilo litakalotufikisha huko ama udini?. Na tufanyenini ili kuweza kuepuka janga hilo?

Tamko:

Jibu ni moja kama utafanya maamuzi magumu: USIIPIGIE KURA CCM, CHAGUA SERA KULINGANA NA WAKATI. MFANO, SERA YA SASA NI KUIBADILI KATIBA ILI IKUTUMIKIE VYEMA KAMA MTZ. HAPO VIPI!
 
Mnatumia theory za relativity kumhukumu Rais. Hata kama kuna blunders zimefanyika hapa, lakini nchi ina sheria, kanuni na taratibu katika maamuzi.

Je, mwanasheria mkuu au ngeleja wana mamlaka ya kupitisha ulipwaji wa DOWANS? Nani ana uhakika kama DOWANS watalipwa au hawatalipwa bila kupitishwa na Bunge?[/QUO

Serikali inasema italipa unasubiri uambiweje ili uamini kwamba watalipa! Hakuna cha Baraza la mawaziri wala Bunge lililopitisha hiki kitu na hapo ndio uone Mkwere anatupeleka wapi!
 
wanaojua sheria, hivi kuna uwezekano wa kuifungulia kesi mahakama iliyoamua kesi ya DOWANS Vs Tanesco, maana inaonekana kana kwamba hjiyo kesi iliamuliwa kihuni na bila kufuata utaratibu, ni nani hasa aliyefungua hiyo kesi?
 
He will speak when he has something to say, not speaking because you want him to say something.

Anasubiri taarifa toka kwa watendaji wake ili awe na cha kusema.

Serikali haiendeshwi kwa pressure toka kwa anonymous mtandaoni.

Kazi ya mojawapo ya rais ni kuwasiliana na wananchi wake. Watanzania hatujui kuwa Rais ndiye mfanyakazi namba moja, na ndio maana ni mwajiri. Hivi ndugu yangu, JK ndani ya serikali hajui nini kiasi cha kusubiri taarifa za watendaji. JK amekuwa katika baraza la mawaziri kwa zaidi ya miaka 15, hakuna uozo uliolitafuna taifa ambao yeye haujui, tena baadhi ya uozo ulitokea akiwa ni kiongozi husika.
Yaweza kuwa anaumia lakini ukweli ni kuwa hana utashi, fadhila zinamponza!
 
wanaojua sheria, hivi kuna uwezekano wa kuifungulia kesi mahakama iliyoamua kesi ya DOWANS Vs Tanesco, maana inaonekana kana kwamba hjiyo kesi iliamuliwa kihuni na bila kufuata utaratibu, ni nani hasa aliyefungua hiyo kesi?

mkuu....pole sana... sijawahi sikia mahali mahakama inashitakiwa ..hatahivyo ICC si mahakama ila ni arbitrators..au chombo cha usuluhishi na hutoa hukumu.... hivyo basi tunatakiwa kupinga kwa kutumia vipengele vya sheria.... tujipange vizuri kuhakikisha tunazuia malipo hayo kwa kutumia sheria zetu za nchi na sio sheria za baraza la biashara la Kimataifa
 
Naamini elimu ya kutosha tuliyonayo wana JF inachangia uzito ingawa kuna mapandikizi wanaojaribu kuvuruga umakini wa hoja lakini tunasonga. Big up JF but only for those with constructive contribution to the country.

Mapandikizi hawafui dafu hata kama wanajifanya wao wanaishi peponi wakati umma umepigika. Tunawashukuru walioandaa mdahalo wa DOWANS tarehe 14 Januari. Kwa vile waliobahatika kusikiliza wameelewa hujuma za nchi hii.
 
Ni rais asiye na hekima ndiye anayeweza kuendelea na baraza la mawaziri lenye misimamo tofauti kuhusu suala zito kama la Dowans.

Mwenyekaya yotehaya hayajui? Au nikweli naye anachukuwa chake mapema inauma kwanini? Yeyeasitowe tamuko
 
Nyie watu mbona mmeshindwa kupiga simu kutetea hoja zenu? wazungumzaji wamezungumza hoja zao na walisubiri mpige simu kupeleka hoja zenu na mkanyamaza kimya. Alaaaaaaaaaa

Mkuu uliangalia Mdhamini wa kipindi alikuwa ni nani? au wewe unaongea tu think twice...
 
niliangalia jana nimemsifu sna Renatus Mkinga kwa ujasiri alionao na uchungu wa Nchi hii
 
Tamko:

Jibu ni moja kama utafanya maamuzi magumu: USIIPIGIE KURA CCM, CHAGUA SERA KULINGANA NA WAKATI. MFANO, SERA YA SASA NI KUIBADILI KATIBA ILI IKUTUMIKIE VYEMA KAMA MTZ. HAPO VIPI!

Asante mkuu, tupo pamoja.
 
It was hot and furious, the guys did a great job in iexplaining,...umebaki utendaji tuu.
NGELEJA anapaswa kuresign IMMEDIATELY.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom