...mitihani makazini, mwee!...

lol....king'asti....halafu dhambi hii inavyotafuna vibaya hata ukirudi kwa mumeo/mkeo huthubutu hata kumuhadithia yaliyokukumba huko!

Kwa kweli ukiangalia hizo mambo utachoka, hukawii kutaka mwenza awe baba wa nyumbani. Sasa kazi kwa wanaosafiri kikazi, mbu utachoka! Mnakutana watu wa kila taifa, baada ya chitchat za chai, lunch na evening tea. Ukienda kulala hako ka extensheni kanaita utadhani kwa daktari. Wanaanza kumwaga sera! Mwisho wa kazi siku ya kufunga mafunzo,kila mtu anatupa ndoano kwa zamu! U feel like wearing a tag 'I aint here for auction'
Nachoka pamoja nawe!

mwj1 bana,....tatizo lako wewe upo kiseminari zaidi....
kuna malalamiko hata hapa jf watu wanasumbuana kwa pm, sembuse hizi
flirts zinazoendelea hapa...

sasa imagine hii jf ndio ingekuwa live event, tunakutana kwenye ukumbi watu tunapiga soga weee,...
jioni tunarudi kwa kina baba/mama chanja wetu...aiseee!


Mkuu tuko pamoja. Sijabisha lakini ukisoma deep post ya mtoa mada ni kauliza kama haliepukiki.
 
On my opinion, there should be a framework for flirting to make sure it does not cause misunderstanding to the relationships.

Kwa hiyo ndugu Mbu sio lazima kuepuka flirts. Ikitokea, na kama unadhani unaihitaji, na unaweza kuihimili, mfahamishe mwenza wako (kama wewe sio single) na ucheze ka step usijemkanyaga mwenzio.


"....Baba/Mama nanihii kule ofisini kuna mdada/mkaka mmoja huwa anapenda sana kuflirt na mimi. Kama unijuavyo sina nia ya kukuumiza ila tu naomba unipe ruhusa ya kuendelea na hii shughuli yetu ya kuflirt." Hehehehe :):)

Mkuu FA unadhani hapa reaction ya mume/mke itakuwa chanya kweli!? Kutakuwa na maswali mengi sana ambayo mengine muhusika anaweza kabisa kushindwa kuyajibu na hivyo kuzua kasheshe mjengoni.
 
[/CENTER]
Nimeipenda the above pic.... there is som much love in their expressions.... (body language and the eyes....)... Umenikumbusha mbali na hicho kitambu cha ngoswe.... Mwandishi wake (Semzaba) yaani naona wakati wa ujana wake ni the typical Ngoswe type...lol... If you know what i mean... B2T

Fanya flirts and flings kokote kule but sio kazini/mahala unaishi/mahala unashinda hasa kama pakudumu. Ni mara chache saana flirts and flings huishia vizuri... Once you have sex ndo mwisho wa mchezo... Ama mwanzo depending na vipi imekua. Mara nyingi ni lazima mmoja wenu ama both mlizwe na kuumia vibaya... Hio inafanya mahala pa kazi panakua pagumu saana kufanya kazi. Wengine hata wamepoteza kazi zao. Labda otherwise woote mpo single... searching and Free!

Dah!......
 
ila kwa kweli mambo yanayofanyika safarini yanakatisha tamaa kabisa

ila na baadhi akina mama wanaendekeza hiyo tabia
kwa kupenda dezo
kuna watu na nafasi zaolakini wanayofanya unabaki mdomo wazi

usitoe rum number yako kwa stranger, only kwa wanaokuhusu
Kwa kweli ukiangalia hizo mambo utachoka, hukawii kutaka mwenza awe baba wa nyumbani. Sasa kazi kwa wanaosafiri kikazi, mbu utachoka! Mnakutana watu wa kila taifa, baada ya chitchat za chai, lunch na evening tea. Ukienda kulala hako ka extensheni kanaita utadhani kwa daktari. Wanaanza kumwaga sera! Mwisho wa kazi siku ya kufunga mafunzo,kila mtu anatupa ndoano kwa zamu! U feel like wearing a tag 'I aint here for auction'
Nachoka pamoja nawe!
 
Kwa kweli ukiangalia hizo mambo utachoka, hukawii kutaka mwenza awe baba wa nyumbani. Sasa kazi kwa wanaosafiri kikazi, mbu utachoka! Mnakutana watu wa kila taifa, baada ya chitchat za chai, lunch na evening tea. Ukienda kulala hako ka extensheni kanaita utadhani kwa daktari. Wanaanza kumwaga sera! Mwisho wa kazi siku ya kufunga mafunzo,kila mtu anatupa ndoano kwa zamu! U feel like wearing a tag 'I aint here for auction'
Nachoka pamoja nawe!

Lahaula!......
 
ila kwa kweli mambo yanayofanyika safarini yanakatisha tamaa kabisa

ila na baadhi akina mama wanaendekeza hiyo tabia
kwa kupenda dezo
kuna watu na nafasi zaolakini wanayofanya unabaki mdomo wazi

usitoe rum number yako kwa stranger, only kwa wanaokuhusu
Si ungetutolea kamfano hata kamoja?
 
...lol....mwj1 mantahofu soulmate,
mie mleta habari tu, sijanyewa na mvua vuli wala masika.



Wewe unazungumzia sexual harrassments mamie, hizo zinaendana na bullying behaviours.
Hapana, mimi nazungumzia zile za mahusiano mazuri kazini kiasi kwamba hata work mate wako
asipokuja kazini nawewe unajihisi mgonjwa siku hiyo...

BTW, kina mama wengi huenda extra mile katika kujipodoa na kuvaa nguo zenye mvuto wa majaribu waendapo kazini..
lengo ni nini jamani.. MNATUTEGA mbu wenye mioyo dhaifu!
Mbu unategwa? Kha!!! Watchout utanasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom