Kwanini unasema haiepukiki Mbu?
Kama hamna wa kumwatrakti mwenzake ndio basi tena.
BTW. . . .you've been missed around here.
Hivi inawezekana vipi akili yako ukiiseti kwenye kazi halafu ikuongoze kuwaza ngono? siamini hili,
Kama umekaa kinyegenyege basi wewe hata msibani wenzako wanaomboleza wewe utakuwa unawashwa tu na nyege zako, nimeshaona mara kadhaa watu wenye pepo wangono wanabadilishana contact hata makaburini kwenye mazishi.
Hehehhe pole mchakamchaka usioruhusiwa kuvaa bukta.
...missed you too guys & dolls,...e bana tunaharakati za kufunga mwaka huku...mchakamchaka si mchezo,
kila siku ya mungu ni mashughuli hapa na pale watu wa maofisini wanashereheka kumaliza mwaka...haijalishi ni apperentice au ni CEO wote wana misbehave bana...khaa...? ama tembea ujionee.
Hehehhe pole mchakamchaka usioruhusiwa kuvaa bukta.
I guess unaangalia ofisi na ofisi, sehemu na sehemu.Kuna maofisi ambayo ni full respect, kama ambavyo nimeshuhudia mimi.Co wokers wanasalimiana asubuhi, wakienda/toka lunch na muda wa kuondoka.Masaa yaliyobaki kila mmoja kajifungia kwenye kakibanda kake.
hahahAAAAAAAAAAAAAAAAAAAADah!....... hehehehe . Mute! kloro mute!
mbu limekusibu lipi tena mpenz wangu??! Lol!
Hapana naungana na mtm kuwa mapenzi kazini yanaepukika kwa mtu aliyeko serious na anayetambua thamani ya utu wake na heshma yake.
Mbona kuna wanaofikia hata kuacha kazi sababu ya kusumbuliwa?
Hata katika kapu la samaki waliooza uwezekano wa kumpata mzima upo sema tu tunakinzwa na ile harufu ya uozo na kujikuta tunaishia kulimwaga kapu zima.
By the way, nimekumiss.
of course haliwezi kuathiri wote, lakini lipo sana ofisi nyingi hebu tafakari
dahhh, aisee hapana bana....ndio maana nimeuleta hapa huu mjadala maana
kwa umri wangu na sehemu nilizozunguka kufanya kazi, ndani na nje ya inji yangu...mapenzi kazini ni kama
kawaida, yaani unakuta huyu anatembea na yule, ...mwingine yeye kila anayeajiriwa mpya anampokea utadhani ana kihirizi... mbaya zaidi kuna zile za kupokezana...
...balaa ndio siku kama hizi, office parties zimefululizana halafu watu wenyewe hawaji na partners basi...yaani ni fulu kujiachia 'wenyewe kwa wenyewe'aisee... halafu nashangaa kuna wataobisha as if hawajawahi kusikia haya, loh? labda mbu nimeyaona mengi...acha niuchune tu na hizi chumvi nilizokula.
MBu,
all the office stuffs will only affect you if you are not determined to be professional........ if you know what i am saying