Mitego ya wadada kwenye barbershops

Mitego ya wadada kwenye barbershops

Daah si ungekoroma kdgo kwan kifua nacho kilinyolewa, au ilikuwa kutiana nyeg* tu!

Weee thubutu, ukikoroma ukazinzia unakuja kuamka unakuta wananyo na mdende alfu subiri bill yako kama hujaacha simu pale counter


Happy dude
 
Haya maneno yanachoma kma pasi
Unaingia bar inayohudumia watu 2000 kwa siku, au salani inayohudumia watu 40 kwa siku unakutana na mwanamke anakufanyia vimbwanga na wewe unajifanya una manyegezi unaingia kingi na kuamini kuwa wewe ndio wa kwanza kumuona kumbe umezoa furushi la maradhi na ukiugua unaanza kumalizia fedha kwa waganga wa kienyeji eti umerogwa, umeacha mke mzuri nyumbani na watoto wanamuonea huruma baba yao kakonda hoi kumbe tamaa tuu za kujifanya kila sketi lazima uifunua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom