Mitego ya wadada kwenye barbershops

Mitego ya wadada kwenye barbershops

[emoji25][emoji25][emoji25] sitaki kusema mzee aibu, demu anapitisha mikono hadi kifuani jmani[emoji23][emoji23]


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
Daah si ungekoroma kdgo kwan kifua nacho kilinyolewa, au ilikuwa kutiana nyeg* tu! [emoji3]
 
Daah si ungekoroma kdgo kwan kifua nacho kilinyolewa, au ilikuwa kutiana nyeg* tu!

Weee thubutu, ukikoroma ukazinzia unakuja kuamka unakuta wananyo na mdende alfu subiri bill yako kama hujaacha simu pale counter [emoji23][emoji23][emoji23]


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Kwa haraka haraka unakuwa umebeba ukurutu wa watu kutoka Asubuhi hadi muda ule daaah . Sioshwi tena na hawa wajinga [emoji23][emoji23]


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
ni hatar kwa afya mkuu bora uko uko kwa wadada[emoji23][emoji23][emoji23] wanakuosha na maji ya moto na kitambaa kinafuliwa onspot...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya maneno yanachoma kma pasi
Unaingia bar inayohudumia watu 2000 kwa siku, au salani inayohudumia watu 40 kwa siku unakutana na mwanamke anakufanyia vimbwanga na wewe unajifanya una manyegezi unaingia kingi na kuamini kuwa wewe ndio wa kwanza kumuona kumbe umezoa furushi la maradhi na ukiugua unaanza kumalizia fedha kwa waganga wa kienyeji eti umerogwa, umeacha mke mzuri nyumbani na watoto wanamuonea huruma baba yao kakonda hoi kumbe tamaa tuu za kujifanya kila sketi lazima uifunua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom