Mitego ya wadada kwenye barbershops

Mkuu saloon iko maeneo gan maana huku kwetu saloon buku tu unanyoa, Hakuna mdada wala mdogo wake wote wanaume unanyoa utaenda kuoga kwenu
Sidhani kama hizo huduma mikoani zipo, mana hata huku kwetu kunyoa buku ukimaliza unajifuta futa kisha unajipaka spirit ya kuchakachua mwenyewe, kinyozi hana habari tena na wewe,
 
Sidhani kama hizo huduma mikoani zipo, mana hata huku kwetu kunyoa buku ukimaliza unajifuta futa kisha unajipaka spirit ya kuchakachua mwenyewe, kinyozi hana habari tena na wewe,

nazipata sana za aina hiyo. Nikunuoa kwa buku tu basiii


Happy dude
 
Tatizo sio kuoshwa kichwa bali Kugusishwa kichwa kwenye Nyonyo zake na anakuweka kati kabisa


Happy dude
Mi nikienda kunyoa nikakutana na hizo scenario, kesho nanunua machine yangu ya kunyolea nampa my lady awe anafanya kazi ya kuninyoa hiyo biashara ya kugusishana manyonyoo kwenye kichwa cha juu afu signal ziende kwenye kichwa cha chini mi siwezi kabisa.
 
Kweli leo nimeamini tuchunge sana either ndimi au vidole vyetu Yaani kwa hapa alikuvutia JF anakosa lugha sahihi juu yako ndio na Unamwambia yeye alikuwa sehemu ya wewe kujiunga bila shaka kuna Nondo sana kutoka kwake zilikufanya mpaka ukavutiwa nae ila safi Umemaliza vizuri sana kwamba Bado heshima yake ipo bado kwako kwa ilo la kukufanya ufike

Case closed.


Happy dude
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom