Dola Iddy Wa Chelsea
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 2,114
- 1,485
Kuwa na msimamo katika maamuzi wewe umeenda kunyoa hayo mambo ya kuoshwa kichwa yanakujaje???
confidance ni ZERO
confidance ni ZERO
Kuwa na msimamo katika maamuzi wewe umeenda kunyoa hayo mambo ya kuoshwa kichwa yanakujaje???
confidance ni ZERO
Na sisi tutaendela kuweka wadada classic kwenye barbershop zetu. Hawa ndio asset namba moja katika biashara ya barbershop.
Unaingia bar inayohudumia watu 2000 kwa siku, au salani inayohudumia watu 40 kwa siku unakutana na mwanamke anakufanyia vimbwanga na wewe unajifanya una manyegezi unaingia kingi na kuamini kuwa wewe ndio wa kwanza kumuona kumbe umezoa furushi la maradhi na ukiugua unaanza kumalizia fedha kwa waganga wa kienyeji eti umerogwa, umeacha mke mzuri nyumbani na watoto wanamuonea huruma baba yao kakonda hoi kumbe tamaa tuu za kujifanya kila sketi lazima uifunua
Sema wana kera mno kulazimisha ma scrub yao mara ooh una mba na mambo mengi.
Wamekaa ki uporaji poraji kwa kutumia weakness ya wanaume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Badilika, uli uendelee kufurahia familia yako na yenyewe ikufurahie usije ukadanganjwa na mapaja baada ya kutumia dawa za ARV kuna watu hunenepa kweli kweli sasa ukizuzuka na hayo au kudanganywa na ma make up utaacha familia yako inateseka wakati una mke mzuri originalMkuu una elements za unabii maana umenigusa tabia zangu hizo huja acha hata moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema wana kera mno kulazimisha ma scrub yao mara ooh una mba na mambo mengi.
Wamekaa ki uporaji poraji kwa kutumia weakness ya wanaume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa ni msukuma huyoSi amesema ameshavurugwa toka atoke hapo
Sasa kwani ukiisema itakudhuru nn? Usikute ni buku jero halafu hapa unakuja kulialiaNimesema “sitaki kuisema mzee” mbn watu hampendi kusoma neno moja baada ya jingine
Happy dude
Siijui hiyo string theory na sio mbaya kutokuijua. Learning is an endless process and i'm not exceptional mkuu. I stay on my lane and invest in my dream. I 've got alot of knowledge in the area of my expertise na sijaitumia hata robo but siwaiti majina mabaya kwa wasiojua.
Siwezi kukuvunjia heshima mkuu hata ukiniita majina mabovu. You are one of the reasons nilijiunga na hii platform, i respect that. Nice day
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi jilipoenda hapo walinianzishia hizo gear, nikakaza nikawambia niosheni kichwa sina hela. Oooh sijui kichwa kina mba jamaniii..! Yaani hawa watu daaah
Happy dude
Ni hivi mkuu, mimi nataka 60k kwa wiki kila kiti, kunyoa kichwa ni 3,000/-. Unadhani kwa 3,000/- kwa kichwa nitaipata hiyo hela? Lazima niweke mdada classic mwenye kifua cha ukweli, behind matata na lazima awe wild kidogo.Duuh, kwahiyo mpango wenu wa kutukung’uta hadi walleti haujaisha.! Nitakuwa nanyoa na kuondoka hakuna cha kuoshwa
Happy dude
Ni hivi mkuu, mimi nataka 60k kwa wiki kila kiti, kunyoa kichwa ni 3,000/-. Unadhani kwa 3,000/- kwa kichwa nitaipata hiyo hela? Lazima niweke mdada classic mwenye kifua cha ukweli, behind matata na lazima awe wild kidogo.
Ukiingia kwake kuna mask, ped&mani cure, scrubbing, na makorokoro kibao. Pesa ipo hapa, ukiingia kwake kama upo na mentality ya kupendapenda lazima upigwe kama 10k ya chap, mkija 10 kama wewe kwa siku tayari ofisi imepata na vinyozi wamepata.