mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,771
- 4,656
bwamdogo anachokazana na ni kunyoa vipara tu huyu dogo
Hilo ndilo la msingi!!Makame mbarawa na January makamba hili tatizo wanaliju sana ndio mana hadi sasa wapo kimya,
Tukutane october
Makame mbarawa na January makamba hili tatizo wanaliju sana ndio mana hadi sasa wapo kimya,
Tukutane october
hamia airtel yatosha babalao
airtel kwenda mitandao mingine masaa 24
Tsh 399= dk 5+50sms+15mb
Tsh 499= dk 10+300sms+75mb
Tsh 599= dk 15+350+100mb
Tsh 649= dk 17+459sms+125mb
Tsh 999= dk 25+1000sms+150mb
UJINGA WETU UNATUPONZA HAMIENI
HUKU....
AIRTEL YATOSHA
Tunasubiri nini kuandamana ???
Mkuu huu wizi wa haya makampuni ya simu unaamuliwa na TCRA. Wao ndo wanawapangia nini cha kufanya. Huoni kuwa its just a coincidence kote wameamua the same??
Smartphone bila internet ni sawa ghorofa lisilokuwa na umeme.
TCRA chukueni changamoto hiiAjabu sana tz viongozi wanafanya biashara na haya makampuni ya simu za mikononi ndio maana gharama zinaongezwa kinyemela viogozi wamekaa kimya.Jiulize mtumiaji atalazimishwaje kununua bando yenye muda wa maongez,sms na internet badala ya kupewa option achague huduma anayotaka kulingana na mahitaji yake. je ni wangapi wenye simu za kutumia internet?. je hiyo budle ya internet isipotumika zinaenda wapi, na sms zinazobaki zinaenda wapi kama sio wizi wa mchana ni nini.utashangaa unalazimishwa kutumia bundle ndani ya muda viginenvyo unaporwa bila taarifa hata kama hukutumia kutokana na dharura kwa mfano maeneo mengi umeme unakatika mtu hawei kuchaji simu yake na kuitumia matokeo yake anakatwa budle yake yote. huu ni wiziiiiiiiiiii.
Nahamia rasm airtel o zantel, wanaojua bundle za zantel plz ili nkichagua nisibadili tena.. maana mpaka sasa airtel ndo wananishawishi