Mitandao ya simu inatengeneza mamilioni ya faida kila siku, lakini sijui kwa nini hawataki kuweka huduma rafiki kwa watumiaji!;!!!!?
😡
Makampuni ya simu kazi yao ni kufanya biashara ili kupata faida kubwa, hatupaswi kuwalaumu.
Tatizo ni TCRA, hii mamlaka ni hovyo sana.
Imeshindwa kusimamia makampuni ya simu, kuna uwezekano mkubwa wanapga 10% kwenye haya makampuni.
TCRA mnatia aibu na kinyaa.
Hao vijana unaowategemea leo wote wamekasirika vifurushi vya bundle vimeshushwa zaidi ya asilimia 400 kwenye upande wa internet, wakati huo huo serikali inatuambia tuko kwenye ulimwengu wa science na technolojia kwa gharama hizi hatuwezi ku-afford hata siku moja.Mb8 huwezi peruzi chochote kwenye internet.
Waziri wewe ndio una dhamana na hili, in this you are out brother, tegemea hata maandamano.
Urais tegemea kura za ambao hujawakwaza kwa hili.