Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Yule mtaka urais kutoka tanga si ndio anaongoza hii wizara labda anaweza kuja na tamko...tusubiri tuone.
 
Airtel bado wapo vyema,nilihamia huku kufuata ubora wa internet,bei ikanikuta huku,ni affordable kulinganisha na hao wengine,ukiwa na airtel huwazi kupiga kwenda mitandao mingine,sanasana utapata tu usumbufu wa beep beep kutoka kwa wateja wa voda wewe unatwang tu haha hahahAaaa mi mjanja long time
 
G O O D B Y E E E
VODACOM
KAZI IMEWASHINDAAAAA
Vifushi vya masaa 24 voda kwenda voda
Tsh 150=10 sms
Tsh 500= dk 15+250sms+8mb
Tsh 650= dk 30+300sms+8mb
Tsh 1000= dk 50+300sms+8mb
vodacom kwenda mitandao mingine
Tsh 150= sms 10
Tsh 499= dk 7+300sms+8mb
Tsh 649= dk13 +450sms+8mb
Tsh 999= dk 20+1000sms+8mb
vifurushi vya wiki voda kwenda voda
Tsh 1050= sms 70
Tsh 2000= dk 60+150sms+60mb
Tsh 2800= dk 85+700sms+60mb
Tsh 4000= dk 140+1750 sms+60mb
Tsh 7000= dk 250+2100sms+60mb
Tsh 10000= dk 360+2500sms+60mb
vodacom mitandao yote kwa wiki
Tsh 1050= sms 70
Tsh 1999= dk 29+500sms+6omb
Tsh 3999= dk 49+500sms+60mb
Tsh 4999= dk 91+1000sms+60mb
Tsh 9999= dk 190+1000sms+60mb
WEWE UNAEJIITA MARKETING MANAGER......HUU
SIO UBUNIFU ILA NI UMBUMBUMBU
YOUR FIRED!!!!.......... 👹 📌 🔧
MB 8 ............NAZIPELEKA WAPIIIIIIIII HATA
MUKTASARI WA GAZETI LA MWANASPORT SIPATI......sambaza had ifke voda😡
Hamia Airtel
Kwenda mitandao yote
500 dakika 15 + mb 125
1000 dakika 30 + mb 300
 
Wanatuamsha waTZ lakini sisi bado tumelala tu!!

Na hiki kimakamba kinapiga kampeni ya kutaka urais wakati wizara moja imemshinda si upuuzi?? Kilio kama hiki tutakimaliza kwenye sanduku la kura.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Duh kama tatizo ni Bei ya Mafuta, boro Bei irudi ile ile.
 
Yule mtaka urais kutoka tanga si ndio anaongoza hii wizara labda anaweza kuja na tamko...tusubiri tuone.

Kama ameshindwa wizara moja ataweza wizara zote?? Kuna wakati tunaanza kulea mizigo kama hii.
 
Hela Za Kampeni Hizo Kwa Siku Bilioni Moja Na Point Kadhaa Wanakusanya
 
hamia airtel yatosha babalao
airtel kwenda mitandao mingine masaa 24

Tsh 399= dk 5+50sms+15mb

Tsh 499= dk 10+300sms+75mb

Tsh 599= dk 15+350+100mb

Tsh 649= dk 17+459sms+125mb

Tsh 999= dk 25+1000sms+150mb

UJINGA WETU UNATUPONZA HAMIENI
HUKU....
AIRTEL YATOSHA
 
Vodacom ni moja kati ya mitandao ya simu ilokuwa ikiaminiwa na watanzania wengi lakini leo vodacom wamekuwa ni zaidi ya panya road kwa jinsi wanavyowaibia wateja wake.
Hayo yote yanafanyika hali ya kuwa TCRA wanajua na viongozi wa nchi hii wanajua jinsi wananchi wao tunavyoibiwa.
TCRA wamelala tena usingizi mzito lakini watanzania karibia watawahamsha wao na vodacom yao.
Baada ya kuwaibia watanzania kwa siri,sasa voda wamekuja na wizi wa wazi kabisa.
Hebu tazama baadhi ya post hizi :
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/803447-g-o-o-d-b-y-e-e-e-vodacom-kazi-imewashindaaaaa.html#post11901917

mwingine pia aliandika kama hivi:
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/803020-tigo-nao-wapunguza-kifurushi-cha-intaneti-hadi-mb-8-kwa-siku.html#post11894459https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/803020-tigo-nao-wapunguza-kifurushi-cha-intaneti-hadi-mb-8-kwa-siku.html#post11894459
yote haya yanafanyika kwa makusudi kabisa wala siyo bahati mbaya,watanzania tunaibiwa makusudi
zifuatazo ni sababu za voda kuwaibia wateja wake:
1)WAMESHAGUNDUA UDHAIFU WA SERIKALI YA TANZANIA KWAMBA HAIWEZI KUWAFANYA LOLOTE.
2)WAMEWAWEKA TCRA MFUKONI.
3)INAWEZEKANA KUNA VIGOGO WA SERIKALI WENYE HISA KATIKA KAMPUNI YA VODACOM.
4)WAMEGUNDUA WATANZANIA NI DHAIFU NA SERIKALI YAO HAIWAJALI.
5)LENGO LAO LA KUWAIBIA WATANZANIA LINATIMIA.
6)WAMEIKAMATA SERIKALI YA TANZANIA NA VIONGOZI WAKE.
Yote yanayofanyika vodacom ni mipango ya kifisadi iliyojengeka kwa muda mrefu.
OMBI KWA SERIKALI.
Ni vyema serikali ikafanya uchunguzi wa kina na kujua ni kiasi cha pesa kimeibwa kutoka wateja wa vodacom ili kujenga imani kwa serikali ya Tanzania.

USHAURI KWA ADMN WA JF ( www.jamiiforums.com )
ni vyema sana ndugu ADMIN ukaifutilia mbali sticky ya vodacom kwani haina faida yoyote na wala haisikilizi maoni ya wadau wenu.
VODACOM DELETE,FUTA KABISA.
 
kuanzia mwanzo nilikua napinga hivi vifurushi. sikuona mantiki ya uwepo wake zaidi sana ya kuwa manipulative. kwanini wasiweke gharama standard ambazo ni reasonable na affordable kwa wateja wao kuliko kuwa na ofa zisizoisha kila siku. hapa ndipo utaona umuhimu wa kuwa na umoja wa walaji wa bidhaa na huduma.

umeongea point , tunalazimishwa kuingia kwenye vifurushi, piga simu nje ya vifurushi balaa lake ni noma...!!
wangeshusha bei ya kupiga simu na mbs halafu kuingia kwenye vifurushi iwe ni optional sio kama ambavyo imekuwa ni lazima kwa sasa.
 
TTCL imemfia mkononi mwake, Voda na Tigo ndio hivyo tena, wametoka kufoji Airtime cards sasa wameamua kupunguza kabisa, tukimbilie wapi sie? halafu eti yeye yuko Busy kuandika Vitabu, subutuuuu yake, hivi Chakaza kule nyumbani Bumbuli bado wanapata ile huduma ya sms za bure? Hahahahaahhaaa
 
Last edited by a moderator:
tatizo tunawataalam wakuomba kura hatuna wataalam wakufutilia mambo mikila nikijitaidi niwaelewe haiwezekan hata vifurushi vyao saa 24 kwao sijui wanaisabu vp
 
hamia airtel yatosha babalao
airtel kwenda mitandao mingine masaa 24

Tsh 399= dk 5+50sms+15mb

Tsh 499= dk 10+300sms+75mb

Tsh 599= dk 15+350+100mb

Tsh 649= dk 17+459sms+125mb

Tsh 999= dk 25+1000sms+150mb

UJINGA WETU UNATUPONZA HAMIENI
HUKU....
AIRTEL YATOSHA
 
Back
Top Bottom