Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Yanafanya hivi alafu maoga hayataki kuja humu kuileza jamii nini maana ya uamuzi huu
 
Kutokana na watu wamekuwa na uelewa kuhusu mambo ya serikali na madudu yake kupitia mitandao ya kijamii, na pia taarifa kuwafikia wananchi kwa haraka sana kupitia mitandao ya kijamii , serikali imeona ni heri kutumia hii njia ili kupunguza mawasiliano na taarifa zinazohusu sekta binafsi na serikali kwa pamoja. Si bure mitandao yote itofautiane siku moja moja kupunguza hii ni amri kutoka juu. Serikali ya ccm imekuwa mwiba na sumu kali zaidi ya nyonga ya mamba kwa wananchi wake hakuna penye neema kabisa kila sehemu ni matatizo tu. Wananchi wenzangu mwezi october ndio kimbilio letu . Amina.
 
wanajua kazi ya social networks na internet kwa ujumla?
wengine hatuna ajira rasmi tunatumia hizi kuuza vitu,kutafuta kazi,kujua mwenendo wa nchi n.k
kinachofanyika hapa ni woga wa wanasiasa na kasi ya ukuaji wa social networks na usambaaji habari wa haraka.tukemeeni hili ndugu zangu.*** THEM ALL WANAOHUSIKA NA HUJUMA HIZI
 
Dunia ya kitu kinachotawala ni internet, miaka ya nyuma huko suala la internet lilikuwa hata halijulikani nini? Hata mtu akionekana na kopo la computer watu tunashangaa.

Tofauti na sasa hata mtoto mdogo anajuwa internet ni nini? Na inafanyaje kazi? Dunia ya leo ili uonekane wa kisasa basi na wewe uwe mmoja wa watumiaji internet. Nchi nyingi leo hii hata zetu za kiafrika suala la internet ni suala la kawaida tu tena ni nyingine ni free internet pia, hata kama unalipia basi ni kwa kiwango kidogo sana!

Tofauti na hapa kwetu tunaona mitandao ya simu jinsi inavyo zidi kupandisha gharama za internet kila siku, watu hawawezi tena kujifunza lolote kwenye mitandao kwa sababu ya gharama kubwa za kununulia bando.

Ndio maana nauliza, kwa Tanzania, Matumizi ya internet bado ni jambo la Anasa?
 
".....Wenye HAKI wakiwa na amri watu hufurahi, Bali mwovu atawalapo watu huugua....."- Mithali 29:2 ndiyo mjue kwamba waovu wanatawala sasa lazima muugue
 
Makame mbarawa na January makamba hili tatizo wanaliju sana ndio mana hadi sasa wapo kimya,

Tukutane october
 
Kutokana na watu wamekuwa na uelewa kuhusu mambo ya serikali na madudu yake kupitia mitandao ya kijamii, na pia taarifa kuwafikia wananchi kwa haraka sana kupitia mitandao ya kijamii , serikali imeona ni heri kutumia hii njia ili kupunguza mawasiliano na taarifa zinazohusu sekta binafsi na serikali kwa pamoja. Si bure mitandao yote itofautiane siku moja moja kupunguza hii ni amri kutoka juu. Serikali ya ccm imekuwa mwiba na sumu kali zaidi ya nyonga ya mamba kwa wananchi wake hakuna penye neema kabisa kila sehemu ni matatizo tu. Wananchi wenzangu mwezi october ndio kimbilio letu . Amina.

hii inawezekana kabisa...
 
TTCL imemfia mkononi mwake, Voda na Tigo ndio hivyo tena, wametoka kufoji Airtime cards sasa wameamua kupunguza kabisa, tukimbilie wapi sie? halafu eti yeye yuko Busy kuandika Vitabu, subutuuuu yake, hivi Chakaza kule nyumbani Bumbuli bado wanapata ile huduma ya sms za bure? Hahahahaahhaaa

Zamani nilikuwa nawashangaa wanaowakana ndugu zao kuwa sio! Nilikuwa sielewi ila sasa nimeelewa. Ndugu yetu ni mzigo ambao haubebeki kabisa na aibu kwa Shambalai nzima.
 
Last edited by a moderator:
Smartphone bila internet ni sawa ghorofa lisilokuwa na umeme.
 
Mtandao pekee ambao una haki ya kuulalamikia ni TTCL Hiyo mingine Biashara Huria. Hata wakikushushia ni kwa sababu za kibiashara.

Hapana sio kweli. Mbona sasa hivi serikali imekomaa na bei za mafuta mpaka kuna bei elekezi kwani Orxy, BP, Lake,nk ni Idara chini ya TPDC?
 
Haka kajamaa hakana uwezo wa kuongoza hata familia yake. Kana ruhusu wizi kama huu na hakasemi chochote. Wameanzisha TCRA lakini mpaka sasa hakuna cha maana taasisi kama hii imefanya zaidi ya kupewa mgao na haya mashirika. Viongozi wa Tanzania wezi sana.
 
Last edited by a moderator:
mnapoteza muda sana kumjadili mtu kma january makamba. uwezo wa huyu bwana ni mdogo anapwaya wanambeba lakini bado habebeki. mi sijaona amabcho amefanya mpaka sasa zaidi ya kututukana watanzania kuwa anataka kuwa rais wetu.
 
hiyo ni hofu ya kisiasa maana hawa maccm wameona upuuzi wao unasambaa kwa kasi sana kwa kutumia hizi social networks, lengo lao ni kipunguza kusambaa kwa taarifa kirahisi. hayo ndio maono yangu
 
Back
Top Bottom