Clear37
Senior Member
- Oct 25, 2023
- 102
- 145
Habari Zenu wadau, natumai mnaendelea kukaza na life popote mlipo. Swali langu ni Moja tu Tangu umeanza kuijua na kuitumia mitandao ya kijamii imekusaidia vipi kuunganisha na watu waliobadili maisha yako?.
Natamani kujua waliofanikiwa kupitia mitandao ya kijamii.
Sababu watu wa kada zote na status tofauti hupatikana mitandao.Vipi Kwa upande wako social media imeleta impact Gani kwenye maisha yako.
Thanks
Natamani kujua waliofanikiwa kupitia mitandao ya kijamii.
Sababu watu wa kada zote na status tofauti hupatikana mitandao.Vipi Kwa upande wako social media imeleta impact Gani kwenye maisha yako.
Thanks