Mitandao ya kijamii inatufanya tuishi maisha ya kufikirika, rasmi naanza maisha mengine

hermanthegreat

JF-Expert Member
Mar 2, 2021
853
2,037
Nilikuwa active sana mitandaoni, nilijifunza mambo mengi ya nadharia
hacking hahahaha Online friends hahahaha. Affiliate marketing hahahaha.

Nilivokuwa nazama zaidi kwenye mitandao na kutengeneza network ya watu wengi mtandaoni ndivyo upweke kwenye maisha ya kawaida ulivyoongezeka.

Nimegundua kuwa nakosa interaction na connection in real life, sasa nafuta baadhi ya social media, nikiwasha data mara mbili kwa siku inatosha.

Natengeneza real friends, nahudhuria maeneo yenye mikusanyiko kama church. Nimeona hii angalau itapunguza uraibu wangu wa mitandao., Itapunguza introversion level yangu pia.

Stop living in the world of imagination, come to reality and make great.​


"​

 
Nilikuwa active sana mitandaoni, nilijifunza mambo mengi ya nadharia
hacking hahahaha
Online friends hahahaha
Affiliate marketing hahahaha

Nilivokuwa nazama zaidi kwenye mitandao na kutengeneza network ya watu wengi mtandaoni ndivyo upweke kwenye maisha ya kawaida ulivyoongezeka.

Nimegundua kuwa nakosa interaction na connection in real life, sasa nafuta baadhi ya social media,
Nikiwasha data mara mbili kwa siku inatosha.

Natengeneza real friends, nahudhuria maeneo yenye mikusanyiko kama church,
Nimeona hii angalau itapunguza uraibu wangu wa mitandao., Itapunguza introversion level yangu pia

Stop living in the world of imagination, come to reality and make great.​




"​

Pole mkuu ilinikta miaka 10 iliyopita hali hiyo
 
Nilikuwa active sana mitandaoni, nilijifunza mambo mengi ya nadharia
hacking hahahaha
Online friends hahahaha
Affiliate marketing hahahaha

Nilivokuwa nazama zaidi kwenye mitandao na kutengeneza network ya watu wengi mtandaoni ndivyo upweke kwenye maisha ya kawaida ulivyoongezeka.

Nimegundua kuwa nakosa interaction na connection in real life, sasa nafuta baadhi ya social media,
Nikiwasha data mara mbili kwa siku inatosha.

Natengeneza real friends, nahudhuria maeneo yenye mikusanyiko kama church,
Nimeona hii angalau itapunguza uraibu wangu wa mitandao., Itapunguza introversion level yangu pia

Stop living in the world of imagination, come to reality and make great.​




"​

Kama umelitambua hili mkuu hongera 🤝. Mfano humu jamvini kuna watu wanapata stress kwa kukosa likes katika michango. Social media isichukue asimilia kubwa ya maisha yako ya kila siku.
 
Mwanadamu aliumwa ili afanye mambo matati.
1: Creation _ Aumbe au abuni vitu kwa uwezo aliopewa.


2: Contribution ~ Kuwa na mchango popote ulipo kwa kile Mungu alichoweka ndani yako.

3: Connection: _ Kuunganika na wenzake physically. Pamoja na Mungu kwa njia ya sala. Ndio maana adhabu aliyopewa kaini ni kutengwa na watu (Nod).


Kama hufanyi moja ya hayo hujaanza kuishi. Kama unajitenga na watu kisa mitandao, unajipa adhabu za maisha.


Ni hayo tu.
 
Uamuzi mzuri na ukiweza kuutekeleza basi utakuwa umefanya jambo la maana sana.

Mambo kila siku yanaongezeka...tulianza na Facebook, twitter, jamii forums, sijui kumekuka Instagram, tiktok mengine mie wala siijui najua tu kuwa ipo mingi.
Migongo na shingo zinauma kwa kukaa na misimu kutwa kucha. Macho nayo yanapoteza Nuru...zamani kuvaa miwani mpk uwe dingi.
Kinachouma kuliko yote Bando, bandooo nyoko, pesa inateketea huko sio kdg....
Tunahitaji maombi, au sio!!!!?
 
Uamuzi mzuri na ukiweza kuutekeleza basi utakuwa umefanya jambo la maana sana.

Mambo kila siku yanaongezeka...tulianza na Facebook, twitter, jamii forums, sijui kumekuka Instagram, tiktok mengine mie wala siijui najua tu kuwa ipo mingi.
Migongo na shingo zinauma kwa kukaa na misimu kutwa kucha. Macho nayo yanapoteza Nuru...zamani kuvaa miwani mpk uwe dingi.
Kinachouma kuliko yote Bando, bandooo nyoko, pesa inateketea huko sio kdg....
Tunahitaji maombi, au sio!!!!?
Halafu wenzetu waliogundua hiyo mitandao hawatumii kwa kiasi kikubwa hivyo

Kitu kingine kinachopumbaza watu duniani ni Football na Betting

Mpira wa miguu na kamari inawapumbaza vijana wengi hata hawafikirii kuhusu kulima wala kutumia resources zilizopo katika ardhi yao.
 
Kwa hio unataka kurudi vijiwe vya lahawa, draft na tangawizi, mipira.
Tegemea mazoea yasio na mipaka, majungu majingu, kupigwa mizinga kuhudhuria maulid, kipaimara, komunio, harusi, graduation, misiba. Andaa mkeka wa matukio na usipoenda lawama lawama.
Kuna banda umiza nilienda kidada cha hovyo kikakataka kunizoea kiajabu, hivyo sijarudi tena.
Hio muda fanya hata mazoezi au anzisha shughuli ya jioni. Dusi ni masikini sana jwa nini turndekee na mambo yanayochochea umasikini ?
 
Back
Top Bottom