Miss Champagne
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,157
- 6,309
Umefaidikaje na kujipost mitandao ya kijamii?
Mitandao mfano Facebook Instagram,tik tok nk
Je unalinda vipi usalama wako wako ?kama vile mtu ana nia mbaya na wewe ama ugomvi,akitaka kukujua ukoje na details kuhusu wewe anazama tu mtandaoni akisearch anakupata,picha zako kibao Anazo.anajua umesoma wapi,unaishi wapi,familia zako,ndugu,watoto wako,mke,mume,unafanya kazi gani nk!?
Uhalinda vipi privacy yako kuepusha matumizi mabaya mfano mtu anachukua picha yako anaenda kutengeneza memes unaanza kyrend unageuka kichekesho mtandaoni?
Ukiachana na kufanya biashara na kumake money online..
Wewe binafsi account zako binafsi zimekupa faida gani?
Mitandao mfano Facebook Instagram,tik tok nk
Je unalinda vipi usalama wako wako ?kama vile mtu ana nia mbaya na wewe ama ugomvi,akitaka kukujua ukoje na details kuhusu wewe anazama tu mtandaoni akisearch anakupata,picha zako kibao Anazo.anajua umesoma wapi,unaishi wapi,familia zako,ndugu,watoto wako,mke,mume,unafanya kazi gani nk!?
Uhalinda vipi privacy yako kuepusha matumizi mabaya mfano mtu anachukua picha yako anaenda kutengeneza memes unaanza kyrend unageuka kichekesho mtandaoni?
Ukiachana na kufanya biashara na kumake money online..
Wewe binafsi account zako binafsi zimekupa faida gani?