Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Mimi nikinywa maji nakuona kwenye glass, siku yangu haijakamilika kama sijapitia nyuzi zako Jf, nikubali Faiza,
Wewe ndo Bi Aisha wangu,
Penzi langu kwako ni la milele km kisima cha Zamzam,
Imani yangu kwako ni kubwa zaidi ya Nabii Ibrahim,
Kama ningekua Nuhu, kwenye safina ningetaka tubaki wawili tu.
Nitalilinda penzi lako kwa ujasili kama khalid bin walid,
Nitandamana na wewe km Abuubkar na Mtume pangoni,
Ndugu zangu watakupokea vyema kama Ansari wa madina kwa Muhajirina,

Nipende Faiza, sitakua na furaha hata nikiwa Firdaus kama sitakua na wewe,
I love youuuu Faiza
 
Kwa sababu ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu utaokoka. Warumi 10:9.
 
Mimi nikinywa maji nakuona kwenye glass, siku yangu haijakamilika kama sijapitia nyuzi zako Jf, nikubali Faiza,
Wewe ndo Bi Aisha wangu,
Penzi langu kwako ni la milele km kisima cha Zamzam,
Imani yangu kwako ni kubwa zaidi ya Nabii Ibrahim,
Kama ningekua Nuhu, kwenye safina ningetaka tubaki wawili tu.
Nitalilinda penzi lako kwa ujasili kama khalid bin walid,
Nitandamana na wewe km Abuubkar na Mtume pangoni,
Ndugu zangu watakupokea vyema kama Ansari wa madina kwa Muhajirina,

Nipende Faiza, sitakua na furaha hata nikiwa Firdaus kama sitakua na wewe,
I love youuuu Faiza
Mistari yako haina mizani wala vina.
Kakojowe ujambe ulale.
 
Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.

Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana

Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM. Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Mbona unakua mkali , hujui kutongozwa ni sunnah ?
 
Hahhaah huu uzi umenifanya nicheke sana , yaani watu wanamtongoza mtu anayeweza kuwa bibi yao .

Ngoja niwe msomaji tu.
 
Wew km kweli ni mmama mtu mzima au mbibi basi kuwaga na staha kwenye majibu yko, naona km unazd kujishushia heshima humu ht km hatukufahamu kwa sura usijdai kuwa it doesnt matter to you madame...

Hekima muhimu kwa hyo status yko uliyo nayo mpenzi nakupenda ujue faiza jmn, nukubalie niwe nakugulia tu nguo zako za ndani bc ntaridhika tu [emoji39]
Nilisha kuambia wewe fungu lako ni kupiga puli tu yaani unanyota mbaya hadi kwenye I'd fake [emoji23][emoji23][emoji23]

Kwa ule upumbavu wenu hamji kula manzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] faiza umenifurahisha sana
 
Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.

Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana

Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM. Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Ila kulamba lishangazi kama hili lisilo malaya kuna raha yake sana .na subuhi linaanza ushuri huku linapika yesuu
 
Ambao hatutaki/hatujawahi/hatuna mpango wa kukutongoza tunaweka wapi comments zetu?
Bofya hapo chini:

 
Ila kulamba lishangazi kama hili lisilo malaya kuna raha yake sana .na subuhi linaanza ushuri huku linapika yesuu
Huyu nae, "Yesu" tena anapikwa? Mbona unafanya kufuru kijana.
 
Back
Top Bottom