Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,320
- 18,599
Unajidai adabu nyingi kumbe heshima kidogo.
Kuna adabu kwenye kutongozana? Kilikuleta nini huku? Nyooo.
Naamini akaunti yako imehakiwa na wahuni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unajidai adabu nyingi kumbe heshima kidogo.
Kuna adabu kwenye kutongozana? Kilikuleta nini huku? Nyooo.
Adabu nyingi heshima kidogo.
Mumm! Hapa patamu umefika.Unajidai adabu nyingi kumbe heshima kidogo.
Kuna adabu kwenye kutongozana? Kilikuleta nini huku? Nyooo.
Pesa sina kwani nani atapata rahaa!Una Dirham wewe,? pitia uzi uone wenzako wamefika ngapi, na wewe uweke dau lako au usepe.
Kama bibi upo hivi maasha Allah umejaariwa
Sisi atukodishi karibu Mbeya nitakupa ngombe wa kutosha
Umeweka mito ya kulalia
du!!!..kama ujaolewa nitafute wangu!!!!!...najua kwenye ndoa yetu ntakula raha kwa sababu wewe ni m2 wa RRRR,,,,
ahahahaaaaa!!!!!!....sasa hapa watoto si watatuona????,,,,,,,,,,,ngojea mangaribi ntakutumia namba ya wattsup!!Jukwaa ulilo-post hayo siyo la kutongozana, ukitaka kunitongoza, hapa ndiyo jukwaa sahihi.
Haya tema madini yako.
Aaah bana, huku hakuna watoto, kule uliko post kwanza ndiyo kuna watoto.ahahahaaaaa!!!!!!....sasa hapa watoto si watatuona????,,,,,,,,,,,ngojea mangaribi ntakutumia namba ya wattsup!!