fundiaminy
JF-Expert Member
- Jun 4, 2009
- 355
- 51
Umeme ulikatika msikitini.uliporudi ghafla imam akasema "kum*#e umeme huo umerudi" sheikh nae kajibu msen#e gani huyo anaetukana? Muumini nae kajibu "acheni usho*#" basi hapo ndo maalim akajibu kwa ukarimu "kwani mwafi*#wa nyie? Hamjui mpo msikitini hapa?"...amueni nyie naniataona pepo kwani kweli uswahilini ful vi2ko.