Mishahara ya viongozi wa Tanzania

Mishahara ya viongozi wa Tanzania

ninasema hivi this week nimewaona wastaafu wengi wakelekea NY, na ninajua kua sasa wako huko, wamesafiri na makundi makubwa sana ya wasaidizi as opposed na sheria yako, sasa for that you can call me whatever you want lakini siwezi kubadili msimamo wangu kuwa hiyo sheria yako ya wasaidizi wawili is dead au haipo, kama haiku-expeire,

one thing huwezi fanya ni kuninyamazisha, that you can't!

Kwa hiyo kwa vile wakina Lowassa hawakufuata the Public Procurement Act ya mwaka 2004, hiyo sheria ni batili, imekufa, haipo au ime-expire? Mbona sheria hiyo hiyo ndiyo iliyotumiwa kuwahukumu?

Sina uwezo na sina haja ya kukunyamazisha. Kwa nini nifanye hivyo wakati kila ukiongea unazidi kuonyesha your ignorance?
 
Kuna kipindi mtu alianzisha thread ya kumkaribisha Dr. Slaa JF and at one point nikasikia tetesi kwamba na Mh. Zitto pia yumo humu, since wako kwenye system kwanini wasitupe mwangaza kidogo?
 
1.
Kwa hiyo kwa vile wakina Lowassa hawakufuata the Public Procurement Act ya mwaka 2004, hiyo sheria ni batili, imekufa, haipo au ime-expire? Mbona sheria hiyo hiyo ndiyo iliyotumiwa kuwahukumu?

- Tatizo ni kwamba unasema kuwa ipo sheria kuhusu mafao, as opposed na hoja zangu ya ninachokiona, tena now, sasa umeleta sheria ninakwambia kua sheria uliyoleta sio tu kwamba haifanani na lifestyle ya wastaafu wa sasa, bali hata huko nyuma mwaka 1999 kama inavyoonyesha hakuna aliyewahi kuitumia, lakini one thing for sure ni kwamba wote wanao onekana kuwa na lifestyle inayofanana, kilichonipelekea kusema kua lazima ipo sheria somewhere inayowaongoza, lakini sio hii unayoileta hapa JF that is still my argument tena mpaka kesho!

- Lowassa sina uhakika kama alihukumiwa na sheria yoyote, ninachojua ni kwamba alikimbia sheria ambayo ilikuwa kwenye process ya kumpeleka kwenye hukumu, lakini akaiwahi na kuikimbia unless kuna something I am missing! Lakini kama tatizo ni viongozi kua-abuse sheria, then fungua thread mpya on it tuvine!

2.
Sina uwezo na sina haja ya kukunyamazisha. Kwa nini nifanye hivyo wakati kila ukiongea unazidi kuonyesha your ignorance?

Haya ni too low kwa mtu kama mimi kuyajibu, maana nitaishia kushusha heshima yangu ambayo ni kubwa sana katika jamii, kwa hiyo ninakuachia ubaki nayo maana ni lowest I have ever seen before hapa JF, tena kwa such an-intellectual kama wewe!


Thanx!
 
Kuna kipindi mtu alianzisha thread ya kumkaribisha Dr. Slaa JF and at one point nikasikia tetesi kwamba na Mh. Zitto pia yumo humu .. since wako kwenye system kwanini wasitupe mwangaza kidogo ???

Wazo zuri sana, lakini just being curious unafikiri watakuwa na mwangaza kidogo on what sense?
 
Haya ni too low kwa mtu kama mimi kuyajibu, maana nitaishia kushusha heshima yangu ambayo ni kubwa sana katika jamii, kwa hiyo ninakuachia ubaki nayo maana ni lowest I have ever seen before hapa JF, tena kwa such an-intellectual kama wewe!

Sina la kusema. Nimetoka kuwa juha hadi sasa ni intellectual! Thanksa but no thanks. Huko kwa ma-intellectuals simo, sijawahi kuwemo wala sitegemei kuingia.
 
1
. re: Mishahara ya viongozi wa tanzania

2.
sina uwezo na sina haja ya kukunyamazisha. Kwa nini nifanye hivyo wakati kila ukiongea unazidi kuonyesha your ignorance?

3.
sina la kusema. Nimetoka kuwa juha hadi sasa ni intellectual! Thanksa but no thanks. Huko kwa ma-intellectuals simo, sijawahi kuwemo wala sitegemei kuingia.

??????????????????????????????????
 
jokaKuu

..jamani naomba kujua mishahara, na mafao[per diem] ya safari za ndani na nje ya nchi kwa watumishi wa umma wafuatao:

1.Raisi wa Jamhuri ya Muungano 2.Makamu wa Raisi 3.Waziri Mkuu 4. Mawaziri

5.Naibu Waziri 6.Makatibu wakuu wa wizara 7.Mabalozi 8.Maraisi wastaafu 9.Mawaziri wakuu Wastaafu

Originally, mimi nilikuwa ninamjibu huyu mkuu hapo juu, nikaamua kuongelea mafao ya marais wastaafu na mawaziri wakuu, anyways hayo mengine mnaweza kuendelea na nimekusikia mkuu.
 
Uwazi huo au dr slaa anasaka umaarufuuuu...

Pongezi dr kwa uwaziiii

jamii tujadiliii
 
Hebu zidisha Sh milioni 84 kwa wabunge 322 -- ni zaidi ya Sh 27 billion!

Halafu hebu fikiria -- mchango wa wabunge kwa miswada ya serikali kwa namna ya kuirekebisha kwa lengo la kuiboresha huwa si zaidi ya asilimia 5. Miswada mingi inapita kama ilivyotayarishwa na serikali.

Aidha miswada ya binafsi inyotolewa na wabunge (private Bills) na kupitishwa na Bunge ni almost NIL.

Hii ina maananisha kwamba serikali inatumia mapesa mengi ya walipa kodi kwa Bunge ambalo ni RUBBER STAMP!!!!!!

na hii ndiyo democracy, Tanzania style!
 
JF,

Mshahara na marupupupu ni milioni 7 kwa mwezi! Bado vikao vya kamati na maslahi mengine!

Wabongo kwa Udaku na Siasa Mingi Mingi!!!

Suala la mbunge kulipwa 7Millions ati zenyewe ziko nje ya Vikao... hii sio kweli hata kidogo ingawa of course mimi sio miongoni mwao...

Mtoa mada hebu tusaidie tuweze changia kitu halisi, unaweza kutupatia mchanganuao.... kama ifuatavyo...

1. Basic Salary xxx
2. Petrol xxx
3. Simu (airtime) xxx
4. Vikao xxx
5. House Allow xxx
Nina uhakika by 76% kwamba umechanganya madesa... kwa mfano hela ya petrol, airtime, etc ni kwa ajili ya kuhudumia wananchi wake... sasa kama wewe unachukulia hayo ni mapato kwa mfano...

Maana yake... mshahara wako pia una-include gharama ya simu unazopiga pale ofisini mwako, gharama ya gari la ofisini unapotumia kawa kazi etc etc. etc.

Hebu kidogo tuwe makini sio kila kitu siasa wajameni na tuwe makini kwa wanasiasa wetu... haiwezekani mwanasiasa makini anajadili tu namna ya kugawe hiki kidogo tulichokuwa nacho pia atumie muda stahiki kutuambia vyanzo vya kupata mapato mengine...

We have spent almost 3 years kuongelea matumizi hatuongelei kuongeza mapato... hivi tumelaaniwa?
 
JF,

Mshahara na marupupupu ni milioni 7 kwa mwezi! Bado vikao vya kamati na maslahi mengine!

Kwa mwaka Mbunge hupata Shilingi milioni 84!

Na akimaliza mda wa miaka mitano hupata milioni 30 kama kifuta jasho!

Mwal Msingi hulipwa 150,000 kwa mwezi na kwa mwaka hupata 1,800,000! Hebu angalia tofauti ni shilingi 82,8000,000 kwa mwaka!!!

Uwiii !!!!! Jamani hii tofauti kwa nchi maskini ni kubwa mno!!!

Ndo maana rushwa ktk uchaguzi haitaisha!

Hivi Jaji Mkuu, Spika, Raisi na PM kuna mtu ana data wanalipwa kiasi gani tz?



Source: Slaa akiongea Hedaru Bunge mradi wa ulaji

Nooooooooo!!!! I can't believe my eyes!

If real the figure is correct then we have a very big problem with all our leaders!
 
Kasheshe,

Nini hapo hakieleweki ndugu yangu?? Mbona unakuwa Tomaso??

Source nimekuwekea: sasa unanishikia bango mimi? Unaweza kumpigia Slaa ukamuuliza!

Mbunge wa kenya basi hulipwa Kshs 800,000 sawa na Tshs 14,000,000 kwa mwezi! Mshahara wa Mbunge wa Kenya ni mkubwa kuliko ule wa Mbunge wa UK!

Huu ndo ukweli!

Nina interest kujua PM, JK, Spika na Jaji Mkuu hulipwa kiasi gani?
 
JF,

Mshahara na marupupupu ni milioni 7 kwa mwezi! Bado vikao vya kamati na maslahi mengine!

Kwa mwaka Mbunge hupata Shilingi milioni 84!

Na akimaliza mda wa miaka mitano hupata milioni 30 kama kifuta jasho!

Hawa jamaa ndio maana huwa wakali sana kama unajitolea msaada (kusaidia shule, hospitali, visima nk) katika majimbo yao ama tu ukawa unatembelea na kuzungumza na wakongwe majimboni.

Wanapiga kelele kuwa unafanya kampeni ili umng'oe, jamani mtu anapata milioni 84 kwa mwaka. Unajua kama kweli ni watetezi wangeanzia hapo, sio kwamba walipwe kidogo, basi watetee na watu toka maeneo mengine nao angalau wafaidike.
 
Wabongo kwa Udaku na Siasa Mingi Mingi!!!

Suala la mbunge kulipwa 7Millions ati zenyewe ziko nje ya Vikao... hii sio kweli hata kidogo ingawa of course mimi sio miongoni mwao...

Mtoa mada hebu tusaidie tuweze changia kitu halisi, unaweza kutupatia mchanganuao.... kama ifuatavyo...

1. Basic Salary xxx
2. Petrol xxx
3. Simu (airtime) xxx
4. Vikao xxx
5. House Allow xxx
Nina uhakika by 76% kwamba umechanganya madesa... kwa mfano hela ya petrol, airtime, etc ni kwa ajili ya kuhudumia wananchi wake... sasa kama wewe unachukulia hayo ni mapato kwa mfano...

Maana yake... mshahara wako pia una-include gharama ya simu unazopiga pale ofisini mwako, gharama ya gari la ofisini unapotumia kawa kazi etc etc. etc.

Hebu kidogo tuwe makini sio kila kitu siasa wajameni na tuwe makini kwa wanasiasa wetu... haiwezekani mwanasiasa makini anajadili tu namna ya kugawe hiki kidogo tulichokuwa nacho pia atumie muda stahiki kutuambia vyanzo vya kupata mapato mengine...

We have spent almost 3 years kuongelea matumizi hatuongelei kuongeza mapato... hivi tumelaaniwa?

Mkuu wangu Kasheshe,
Pesa ya mafuta utatumia kuhudimia wananchi wa Ileje wakati unashinda Dar Es Salaam?

Hata pesa za mafuta, hawa waheshimiwa wanakula tu.
 
Msubirini Zitto atakuambia maslahi ya taifa....

Mkuu Yo Yo, ya Zito yametosha, jee kwa kila kitu Zitto ndio awe "punching bag". Unadhani kama wale wabunge wote wangejali maslahi si wangesema kuhusu hili.

Kwanza kumbuka wakati wa ukame 2006 walipoingia tu Bungeni walitaka kuongezewa marupurupu, kama sio kelele za wananchi ungekuta muda ule ule wameongezewa. Japo nahisi ndani ya hii miaka mitatu watakuwa wameongezewa.
 
Hawa jamaa ndio maana huwa wakali sana kama unajitolea msaada (kusaidia shule, hospitali, visima nk) katika majimbo yao ama tu ukawa unatembelea na kuzungumza na wakongwe majimboni. Wanapiga kelele kuwa unafanya kampeni ili umng'oe, jamani mtu anapata milioni 84 kwa mwaka. Unajua kama kweli ni watetezi wangeanzia hapo, sio kwamba walipwe kidogo, basi watetee na watu toka maeneo mengine nao angalau wafaidike.

Mfumwa,

Umeongea ukweli mtupu hapo juu, wengine wanazuia hata miradi ya maendeleo kwa kuhofia
wananchi wasije wakaona kumbe fulani anafaa.

Kuna waheshimiwa wanajaribu hata kushawishi vyombo vya fedha visisaidie baadhi ya miradi kwenye majimbo yao.

Ni ujinga mtupu.
 
Back
Top Bottom