Mishahara ya viongozi wa Tanzania

IPO Haja Dr. SLAA kuonesha mfano kwa kipato hicho anachopata, either kukataa hizo pesa(ambazo zinazidi mapendekezo yake) au kuchukua then wanachi wa Jimbo lako wakanufaika in one way or another.
 
Chuma,

1. GOT kuuza nyumba zake ni blunder kubwa sana! Hii itaigharimu sana serikali kwa miaka mingi ijayo!

2. Hii nchi wanasiasa na viongozi wanaishi mbinguni..je kweli wako tayari kutetea maslahi ya wanyonge?

Nauliza tena hivi JK, PM, Speaker na Jaji Mkuu wao mshahara na marupurupu ni kiasi gani?
 
- Mkuu ulikuwa hujui kwamba viongozi kama yeye wanakuwa na nyumba mbili between Dar na Dodoma?

ES so hio nyumba uliyoitaja ipo wapi...?....Bado naamini kama anakaa nyumba ya serikali hakuna Tatizo kwa nafasi aliyonayo....labda awe kapewa kimagumashi...
 
ES so hio nyumba uliyoitaja ipo wapi...?....Bado naamini kama anakaa nyumba ya serikali hakuna Tatizo kwa nafasi aliyonayo....labda awe kapewa kimagumashi...

- Nyumba ya uwt ipo Dar mkuu, mbunge toka lini akakaa nyumba ya uwt? Wewe huoni kuwa ni mauza uza hayo, unaonekana kumjua vizuri sasa vipi hujui Dar anaishi wapi mkuu? Nyumba ipo Obey mkuu, unaijua nyumba aliyokuwa kiishi Mzee Mzena zamani kabla ya kuhamia Regent?

FMES!
 
Chuma,

1. GOT kuuza nyumba zake ni blunder kubwa sana! Hii itaigharimu sana serikali kwa miaka mingi ijayo!

2. Hii nchi wanasiasa na viongozi wanaishi mbinguni..je kweli wako tayari kutetea maslahi ya wanyonge?

Nauliza tena hivi JK, PM, Speaker na Jaji Mkuu wao mshahara na marupurupu ni kiasi gani?

Kuhusu GOT kuuza nyumba its a big blunder....i accept...!!!


Naona hakuna haja ya kujua mishahara ya watu hao...otherwise tutajenga picha za kuoneana wivu tukasahau utendaji wao...Muhim tu concentrate perfomance zao...Tukishaanza jua salary then what? tuta compare na watu gani...au nchi gani?

Otherwise kuwe na sheria maalum ambayo inataka mishahara ya hawa wakubwa kuwa Public...au Kiongozi mwenyewe aamue Kutangaza...

Ninavyokumbuka Aljazeera English waliwahi kuwa na kipindi kujadili mishahara ya baadhi ya wakuu, hasa baada ya rais wa Kenya kuhitaji pesa nyingi sana....inasemekana zaid ya Aliekuwa mtawala wa US---BUSH....

na Kiongozi alietajwa kupokea mshahara mdogo DUNIANI ni aliekuwa wazirMkuu wa Palestina Ismail Haniya $1500!!!
 
Ndo manake OB hata mie kwenye hilo ndo nataka kujua (Output), sio gharama kubwa wakati mtatizo yapo palepale. Kama kufunga mikanda tufunge wote. Nilionalo hapa ni kuwa tunagharamia kile tulichokula wakati wa uchaguzi.

Wabunge Hoyeeeeeeeeeeeeeee muendele hivyohivyo tutaonana 2010 mtupe pilau na maharage.

Mkuu hivi unakumbuka hawa jamaa walidai nyongeza ya mshahara na marupurupu kabla hata kazi yenyewe hawajaanza (Pale Ubungo Plaza?)
 
We have choices as a people don't we?Why are we letting these thieves run the affairs of our country and in doing so they pay themselves exhaustive salaries?

Why don't we punish them?
 
We have choices as a people don't we?Why are we letting these thieves run the affairs of our country and in doing so they pay themselves exhaustive salaries?

Why don't we punish them?

Alnadaby,

Tufanyeje? Je wananchi wangapi watamuunga mkono Slaa? Je how do we say no??

Ila kweli huu ni wizi na uporaji kama ufisadi mwingine!

Ni ufisadi kwa kuwa hapa Spika hataki hii hoja ijadiliwe eti wabunge wanaojadili wanaitwa ktk kamati za Nidhamu na kukanywa!!

Slaa should be a strong and bold leader!
 
Mapato ya Wabunge yanakatwa kodi ya PAYE ?

Mshahara hukatwa kodi ya PAYE!

Sema marupurupu ni makubwa sana na ni tax free! hata posho ya 135,000 kwa siku wakiwepo Dodoma ni taxi free!

Marupurupu yaweza kuwa hata mara 3 au zaidi ya mshahara!
 
Sina shida na pesa wanayopata output ipo?

Mkuu Obseva, hapo umesema mkuu!! je, wakuu wetu wakikutana Dom wanatimiza hata nusu ya mategemeo ya wananchi wao??? Kumbuka kwamba ukiwa unaangalia tv ya vikao vya Bunge mara nyingi (i repeat mara nyingi) kuna kama asilimia 30 ya wabunge wanaonekana kama hawapo (viti vitupu mingi sana kule mahali), kisha katika hiyo asilimia 70 iliyobaki kuna wale walalavi (at least 20%), wapiga soga (hawa jamaa ni wengi kidogo) kisha unamaliza na wale ambao wakiwa mule kwenye jumba kuu wao ni kama wasindikizaji tuuuuuuuuuuuuuuu

Haya, ndio maana kwenye uchaguzi watu wapo tayari kwenda Naija kudaka wataalamu wa ushindi manake ulaji wake si mchezo....

Tukiwa bado hapo, sasa kwa wale amabo ni "wabunge" aka "mawaziri/naibu" aka "board member wa mashirika yetu machovu" aka "wafanyabiashara", ina maana wanapakua kotekote au kuna some adjustment inafanyika??
 
duuuu......!
posho ya mwalimu 500/=
TENA KUIPATA MBINDE....!
basi yule mkuu wa wilaya aingie humu bungeni manake kuna wabunge WATORO, WALEVI, WASINZIAJI, WASIOCHANGIA....etc
"ZITTO 'dowans' KABWE" JE HAJALIONA HILI?
 
Mfumwa,

Umeongea ukweli mtupu hapo juu, wengine wanazuia hata miradi ya maendeleo kwa kuhofia
wananchi wasije wakaona kumbe fulani anafaa.

Kuna waheshimiwa wanajaribu hata kushawishi vyombo vya fedha visisaidie baadhi ya miradi kwenye majimbo yao.

Ni ujinga mtupu.

Mtanzania,

Nakupata ndugu yangu; lakini ukweli ni kwamba haya yote yana mwisho ...... it's just a matter of time ...... itafikia pahala itabidi waachie ngazi tu; usicheze na nguvu ya umma!
 
Kwani siku zote hamkujua kwa nini watu utoa millioni kama 20 jimboni ili apate ubunge?

Pigeni kelele na endeleeni kupinga mawazo ya Dr muone jinsi mtakavyofilisika!

Nchi inaliwa kiaina.
Kuna watu hapa kama Kasheshe katoa michanganuo ya ajabu ajabu. Hivi kwani wafanyakazi wengine ikiwa ni pamoja wa maafisa wa serikali kwana hawana matumizi ya aina aliyotaja Kasheshe?

Hapa ni kutafuta njia ya kuila nchi kiaina. Karne hii tutakufa na mtu.
 
- Wanasema kwa kupangisha nyumba kwa viongozi wanaendeleza uchumi wa taifa, maana hela zinazunguka.

Yes, wengi wamejipangisha kwenye nyumba wanazomiliki wao, wake zao, mabibi zao, watoto wao etc na upo sahihi kabisa, pesa inazungukia humo humo mwao.

Kweli mwenye nacho huongezewa...
 
Pata picha mume na mke ni wabunge, kwa mfano Mr and Mrs Malecela, Mr and Mrs Sita, familia yao ina make shilingi ngapi kwa mwezi?

Je kila mmoja wao analipwa house allowance?
 
We have choices as a people don't we?Why are we letting these thieves run the affairs of our country and in doing so they pay themselves exhaustive salaries?

Why don't we punish them?

How will we punish them?

Sheria wanatunga wao na serikali ni yao. Kila mtu aliye safi akishaingia humo, roho ya tamaa inamkumba na anasahau alipotoka.

Lakini ipo siku tu
 
Pata picha mume na mke ni wabunge, kwa mfano Mr and Mrs Malecela, Mr and Mrs Sita, familia yao ina make shilingi ngapi kwa mwezi?

Je kila mmoja wao analipwa house allowance?

Uwiano Maalum,

Wanakaa Sea View ni nyumba ya serikali sijui kama walishanunua/uziwa kwani aliwahi kuwa Waziri Mkuu!

Kodi ya nyumba hakuna!

Wanatengeneza pesa nzuri sana!

Sema pia mchango wao haswa wa Anna Bungeni unaifanya hii familia kuwa juu kisiasa!

Taabu kubwa kama wanavyosema wengi ni tija ya baadhi ya wabunge haswa bungeni.. kwani wengi huonekana bungeni wakiwa wamelala au kusinginzia..sasa mtu unalipwa pesa yote hii na unasinzia?

Na Miswada mingi tu wanapitisha bila kuichunguza vizuri!
 
Back
Top Bottom